Weka ushahidi na vielelezo watu wachukue hatua usiongee tu kama mnywa viroba.Au umeshakolea tayari?
RA na R1 ni akina nani? Dadavua mkuu. Ila piq uwe na uhakika na unachoandika
Sie Wenye Uislam wetu tunamuunga mkono, wewe Mkwepa Kodi usitumie kivuli cha dini yetu kutafutia Upenyo.