Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Serikali ikoseshwe Tsh bilioni 80 na mwizi halafu useme mhe. Presdaa aangalie dini ya huyo mwizi ndipo aamue kuchukua hatua lo! Mimi nasema watimuliwe tu hata kama ni waislamu 100 mfululizo, wakristu 1000 mfululizo au wasio na dini yoyote 10000 mfululizo. Mwizi hahukumiwi kwa dini yake bali kwa wizi wake,kwisha!
 
Nahisi nimekuelewa, ila ambacho cjaelewa, na itabidi unieleweshe, wakati wanateuliwa kupewa hizi nafasi uliwahi kuhoji kwanini waislam tu? Hakuna wakristo wa kuwapa nafasi
 
wacha waisome namba weee, magufuli washughulikie mafisadi wa ccm wote bila kuangalia ujinga wa mleta uzi.
 
Sasa kama kikwete aliowapa vyeo vikubwa ni waislam wenzake halafu wanaharibu wasiondolewe?
 
Nyie watu mkoje!!! Taifa liendelee kuwalea mafisadi na majizi kwa kuogopa lawama, eti kwa nini waislamu wanaguswa,sijui ulikuwa unafikiria nini kuleta mada hii ya kijinga,mimi nina hakika hakuna mstari wowote kwenye kitabu chenu cha dini unao toa kibali cha kuibia taifa, msilete mambo ya kutisha tisha watu hapa specifically dk.magufuli - jamani hata wizi mnangalia kama mwizi ni mkristo au mwisilaam
 
Kwa jinsi halo ilivyo mkuu peleka ushahidi tra unalala masikini unaamuka tajiri .
 
kichaka cha escrow,iptl,richmond, dowans...

mikataba mibovu, huduma mbovu, chanzo cha ufisadi!!.

Yote hayo yanafanyika huko Serikalini, sio TANESCO. Sasa hapo linahusikaje?

Mwacheni Mhe Rais afanye kazi kulingana na ratiba zake msimpangie.

Toka lini UKAWA mkawa washauri wa Mhe: RAIS
 
Wakuu,

Nimekuwa mkereketwa sana na hili jipu la NHC. Litapasuliwa lini? Mbona naona mkuu anachelewa wapiga dili wanazidi kunufaika?

Ni hili shirika rais wangu popote ulipo, huyu mgosi alivyochuma na kuiba vinatosha na naomba asiachwe hivi hivi tu, afilisiwe.
 
Silent ocean ndio mkwepaji kodi yaani ipo hivi home hii silent ocean imevaa koti la home shopping center wananchi wanachojua wao ni home shopping center but ndani yake Kuna kampuni kubwa inaitwa silent ocean ofisi zao zipo pale kwenye jengo la tra stesheni labda wawe wamehama hawa wana kwepa kodi na kuzulumu wateja

aisee!
mkuu unahasira mpaka maandishi yanatetemeka.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom