RA na R1 ni akina nani? Dadavua mkuu. Ila piq uwe na uhakika na unachoandika
regina mengi.
umeniwahi mkuu huyu mtu alipi kodi ila sijawahi kuona mtu yoyote, gazeti lolote linandika ufisadi wa rg kwenye migodi ya tanzanite
regina mengi.
Naanza na wachache;
1. Shubashi Patel
2. Salum Mpuchu
3. RA
4. R1
5. Home Shopping Centre
6. GMS
Ongeza unao wajua
kichaka cha escrow,iptl,richmond, dowans...
mikataba mibovu, huduma mbovu, chanzo cha ufisadi!!.
umeniwahi mkuu huyu mtu alipi kodi ila sijawahi kuona mtu yoyote, gazeti lolote linandika ufisadi wa rg kwenye migodi ya tanzanite
Hebu mwache rais wetu......kama wamedhan wanaogopwa..hao tanesendelee na usanii wao..then siku isiyo na jina.....!!
Silent ocean ndio mkwepaji kodi yaani ipo hivi home hii silent ocean imevaa koti la home shopping center wananchi wanachojua wao ni home shopping center but ndani yake Kuna kampuni kubwa inaitwa silent ocean ofisi zao zipo pale kwenye jengo la tra stesheni labda wawe wamehama hawa wana kwepa kodi na kuzulumu wateja