Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Kiingereza mkuu ambacho amekitumia hadi kufikia ngazi ya udaktari kwa kusoma na kufanya utafiti sio wa kupewa. Nyingine ni kisukuma. Anakifahamu vizuri lakini sio lugha rasmi kitaifa na kimataifaKwani kuna lugha nyingine mbadala ambayo angeweza kuitumia zaidi ya kiswahili?