Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Bila kusahau ziara za wabunge nje ya nchi za kila wakati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akomae na Beno Ndulu tu anajua sababu
Secta ya bunge kitengo cha huduma na haki za mbunge kilichokuwa chini ya Chenge kilipangia bunge masulufu makubwa mno na bado wabunge kwa makusudi au kwa utovu wa adabu walikuwa wanaona haziwatoshi.
Mfano posho za kuhudhuria bunge ni shs 300.000 bado wabunge walikuwa wanaona hazitoshi ziongezwe chini ya Chenge
Mh. Rais kubana matumizi ya serikali iangalie sana secta hii ya bunge
Pia ninakuomba usitishe mikopo ya mashangingi, waheshimiwa wabunge wanunue RAV 4 au NOA kwa hela zao kwa sababu majimbo yamegawanywa na kuwa madogo yanayoweza kufikika kilaisi na usafiri huo.
Mh Rais fanya kazi ya ubunge iwe ngumu lli uchaguzi ujao wanachi wasiikimbilie
Ushauri huu pia nimekutumia kwa e.mail tafadhari naomba unijibu kama kutakuwa na ugumu katika utekelezaji wake
KIFUPI: Bunge linamega sehemu kubwa sana ya keki ya Taifa, serikali ya awamu ya tano liipunguze keki hiyo.
Najua kwa mujibu wa katiba ya nchi najua una viti kumi vya Rais. Naomba sana umteue kafulila Kuwa mbunge ili dhamira ya kupinga ufisadi ifanyike kwa vitendo pia atakusaidia kukamata majizi na mafisadi yaliyotufikisha hapa na pia imani yako kwa watanzania itaongezeka maradufu.
Kwakuwa kumeonekana kuwapo na utamaduni wa mtu kuwa waziri mkuu na baadaye kusimama majukwaani na kusema serikali haijafanya kitu,sasa namshauri Mh.Rais kupeleka hoja bungeni ya kufuta stahiki zote za waziri au Maziri mkuu ikititokea akawajibishwa na bunge kwa uzembe au utendaji mbovu uliolisababishia taifa hasara. Mala baada ya kujiuzuru nyazifa zake basi hayopata malipo ya waziri mkuu mstaafu. Nadhani hii itaongeza uwajibikaji. Naomba kuwasilisha
Amebebwa alikuwa hawezi kutembea mwenyewe? acha mwanaume atimize #HAPA KAZI TUmaeneo mengi hapa nchini hasa hotel wanakataa malipo kwa kutumia shilingi na wengi wao ndio wale waliochangia kampeni za chama naamini jp hana uwezo wa kukatataza hili, ukizingatia yeye mwenyewe amebebwa hadi hapo alipofika!
Usimfundishe kazi Rais Magufuli!
Secta ya bunge kitengo cha huduma na haki za mbunge kilichokuwa chini ya Chenge kilipangia bunge masulufu makubwa mno na bado wabunge kwa makusudi au kwa utovu wa adabu walikuwa wanaona haziwatoshi.
Mfano posho za kuhudhuria bunge ni shs 300.000 bado wabunge walikuwa wanaona hazitoshi ziongezwe chini ya Chenge
Mh. Rais kubana matumizi ya serikali iangalie sana secta hii ya bunge
Pia ninakuomba usitishe mikopo ya mashangingi, waheshimiwa wabunge wanunue RAV 4 au NOA kwa hela zao kwa sababu majimbo yamegawanywa na kuwa madogo yanayoweza kufikika kilaisi na usafiri huo.
Mh Rais fanya kazi ya ubunge iwe ngumu lli uchaguzi ujao wanachi wasiikimbilie
Ushauri huu pia nimekutumia kwa e.mail tafadhari naomba unijibu kama kutakuwa na ugumu katika utekelezaji wake
KIFUPI: Bunge linamega sehemu kubwa sana ya keki ya Taifa, serikali ya awamu ya tano liipunguze keki hiyo.
Inaonyesha anaongozwa kwa remote, vile vile ni kama ana ka-inferiority complex Fulani toka kwa mtangulizi wake, asipoondoka nacho kitamghalimu.
Usimfundishe kazi Rais Magufuli!
Kafulila huyu huyu aliyekuwa anasafisha mafisadi kwenye kampeni??
Rais wetu habari yako, ombi langu ni moja
Kuna tabia imeanza kukithiri na kushika kasi malipo mengi kufanyika kwa dola hapa nchini kuna baadhi ya huduma haziruhusu malipo kwa shilingi.
Mfano kwenye malipo ya mapango ya biashara na
baadhi ya shule (private schools) na mahoteli ya nafanyika kwa dola naamini matumizi ya fedha za kigeni hasa dola kwenye huduma nyingi za ndani yanachangia kudidimiza thamani ya shilingi na uchumi wetu kwa ujumla.
Tafadhali kemea hili jambo walau shilingi yetu ijinafasi
Si ukawa walisema hawatashirikiana na Raisi? sasa utateua vipi maadui zako walikataa hata kukutambua? Kumbe mpo mnaoamini huyu ndiye Rais wetu ila mnajitoa akili jua likiwa kali.
Najua kwa mujibu wa katiba ya nchi najua una viti kumi vya Rais. Naomba sana umteue kafulila Kuwa mbunge ili dhamira ya kupinga ufisadi ifanyike kwa vitendo pia atakusaidia kukamata majizi na mafisadi yaliyotufikisha hapa na pia imani yako kwa watanzania itaongezeka maradufu.
Haah haah toka rais wa mioyo ya watanzania mpaka omba omba