Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Naunga mkono wazo la mtoa mada. Utakuta baadhi ya wakuu wa mkoa/wilaya, Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Halmashauri wa mikoa ya pembezoni hawataki kutumia usafiri wa ndege wakati wanaitwa kwenye majukumu aidha Dodoma au Dar! Utakuta shangingi linaburuzwa mfano toka Kigoma hadi huko kwa pesa nyingi sana. Kuna pesa za mafuta, posho ya dreva,posho ya RC,DC,RAS,DED na pesa zingine za dharura! Ukipiga hesabu ni bora kutumia usafiri wa ndege! Kama hiyo haitoshi, magari hayo kila mwezi lazima yaende service utake, usitake! Matokeo yake, mashangingi mengi yameharibika kwa kipindi kifupi mno na hivyo kusababisha hasara kwa Taifa!
 
Atatumia katiba ipi? Mihemko soma kwanza katiba aliyoapa kuilinda inasemaje

Huoni kwamba ini wani wei or ze aza inaweza ikawa ni opochunite ya kupunguza ukubwa wa kebineti kibidi liwe na mawaziri kumi au chini ya hapo? maana katiba haitaji namba.
 
binafsi kuna mambo ya kumshauri rais wetu kwanza:apunguze baraza la mawaziri mpaka 15 pili:waziri mkuu awe prof muhongo kwani ni mchapa kazi na hana hofu na siasa uchwara kwani kakuta tansco ipo hoi tena inawakandamiza masikini ndani ya taifa lao,nguzo moja ilikuwa 1000000,sasa ni 195000!!!580000 nguzo mbili na umeme unapata,kaja na mpango wa umeme vijijini na ikawezekana,ni mbunifu tatu:futa uagizwaji serikalini magani aina ya v8 kwani ni milion 4800!!wakati hospitalini hakuna madawa na wagonjwa wanala chini!!!!mkurugenzi ana v8 !!!watumie landcruser pamoja na wakuu wa wilaya!!c ajabu!katibu wa ccm mkoa na wilaya wanatumia cruser!!hii tutapunguza matumizi ya serikali!! Nne😛unguza gharama za unit,futa misamaha kodi,punguza michango pamoja na kufuta karo,punguza kodi sisizo kuwa na tija kwa wajasiliamali na kuwabana wakwepa kodi!! Sasa tuna gas fufua viwanda vyote ila ajira kwa vijana ipungue kwani ni bomu litakarolipuka ukiwa madarakini!!! Asante
 
Kumekuwepo na desturi ya kutoka nje kipindi cha hotuba ya Rais kwenye bunge la Jamhuri ya Tanzania. Hii ilitokea kipindi cha Kikwete nadhani kwa nia ileile awamu hii inaweza kutokea kwa Magufuli.
Ushauri wangu, wabunge wa upinzani wasitoke nje kipindi hicho bali wawepo bungeni na kuzuia hotuba ya Rais wasiyemkubali kama walivyosimamisha bunge kipindi cha maamuzi ya kibabe yaliyokuwa yanatolewa na speaker.
Watakuwa wametuma ujumbe wa wazi kwa jumuiya za kimataifa juu ya udanganyifu uliofanywa na NEC.
 
wasiende kabisa bungeni hawamtambui Pombe hawawezi kuhudhuria bunge lililoitishwa na Pombe ambaye hawamtambui.
 
Sisi mbunge ambaye hatatimiza ahadi zake, tutamuonesha 2020
 
Mnajua kitu kianaitwa posho nyie....et wasiende kabisa bungeni!!?? kwanza kunawengine wanona muda wa kuingia bungen unachelewa yaan wwnataman hata leo tu bunge lifunguliwe wachome ndani...wengine hutaman hata kulala humo humo....posho yaan posho nyie vip
 
Wabunge wa ccm wanachaguliwa kwa asilimia kubwa na wasiojua kuxoma au kiufup ambao hawakupata hapa ile kayumba
 
sio kila sababu inamashiko na kutumika kususia hotuba ya rais bungeni. wito umefika wakati serikali kuwa chunguza ring leaders wa mipango hii na kujua their motives behind mambo kama haya. kama ni hujuma kwa taifa basi wapate stahiki zao.
 
Fanyeni mfanyavyo sisi tunachojua hatuna MAJI na tumekuchagua ulisema utaleta MAJI na tunataka MAJI.Tukutane 2020
 
Mnajua kitu kianaitwa posho nyie....et wasiende kabisa bungeni!!?? kwanza kunawengine wanona muda wa kuingia bungen unachelewa yaan wwnataman hata leo tu bunge lifunguliwe wachome ndani...wengine hutaman hata kulala humo humo....posho yaan posho nyie vip

Kugomea hotuba ya Rais hakuwanyimi posho wabunge bali kususia bunge.
 
sio kila sababu inamashiko na kutumika kususia hotuba ya rais bungeni. wito umefika wakati serikali kuwa chunguza ring leaders wa mipango hii na kujua their motives behind mambo kama haya. kama ni hujuma kwa taifa basi wapate stahiki zao.

Hapa hakuna hujuma kwa taifa, bali ni kuionyesha dunia dhuluma inayofanywa na serikali iliyopo madarakani kupoka maamuzi ya watanzania kwa nguvu.
Ikitokea hotuba ya Rais kuhutubia bunge imekwama lazima dunia iangalia kwa undani kuna nini nyuma ya pazia.
 
Hapa hakuna hujuma kwa taifa, bali ni kuionyesha dunia dhuluma inayofanywa na serikali iliyopo madarakani kupoka maamuzi ya watanzania kwa nguvu.
Ikitokea hotuba ya Rais kuhutubia bunge imekwama lazima dunia iangalia kwa undani kuna nini nyuma ya pazia.

Upuuzi at work, watu wanafikiria maendeleo nyinyi mnawaza majungu tu, hizo jumuiya za kimataifa zingekuwa na meno au ushawishi hali zilizopo sasa Burundi, south Sudan, Congo na kwingine zisingekuwepo,
Hebu punguzeni ujuha, uchaguzi umepita hata mkifanya nini hautarudiwa, muhimu sasa kutazama mustakbali wa Taifa na kutumikia wananchi sio kwenda kuonyeshana ubabe huko,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom