Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Jipu la Stanbick Bank a.k.a jipu la viroba vya pesa hilo haliwezi kulitumbua hata kwa kuuma meno.
 
Magufuli kaanza kutumbua majipu Kwa kasi ya ajabu, ni jipu gani unaona kabisa halitumbuliki, au hatakaza mikono, na uso Wakati Wa kulitumbua?

Aisee katika majipu yoote hili la madawa ya kulevya namwonea sana huruma Rais manake lina mkono mrefu wa mimafya yaani tumuombee avuke kiunzi hiki kwa usalama .
 
Uko sahihi Mkuu.., hvi anavyovitumbua saivi ni vipele . MAJIPU ni hayo mawili. Sema katiba inayapa kinga, hayaruhusiwi shikwa.
Majipu ya Vasco da Gama na Lodi Lofa yatampa shida.
 
Rasimu ya Warioba

Tume ya huru ya uchaguzi

Rais kushtakiwa baada ya kumaliza muda wake

Meremere, Epa, Escrow etc
 
akitumbua viroba vya stanbik apo ndo ntakubali atuongoze ka mugabe mpaka kifo chake. #viva magufuli
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom