Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1001 likes!!Kuiongoza Tanzania ni rahisi kama kumsukuma mlevi, watanzania ni watu wa ajabu sana, watu wamekaa vyuoni lakini walichofaidi ni kutoka na makalatasi tu na kakingereza ka uongo na ukweli lakini vichwani hamna kitu, tanzania umeme unakatika mwezi mzima ukiwaka wiki moja wanachangilia na kumpongeza meneja huku wakilipa bil hata ile umeme ulikuwa hauwaki, hiyo unaikuta tanzania tu, watu wanachangishwa michango ya kujenga shule, wanafyatua tofali wenyewe, lakini ileta mabati tu wanashangilia na kusema selikali inawajali hiyo unaikuta tanzania tu, watanzania hawajui haki zao, watanzania tumeitwa majina mengi ya aibu na marais wa mataifa mbalimbali, sasa hivi magufuli kafanya katukio kidogo tu, tumesahau shida zote mpaka watu wanamkufulu Mungu wakimwita masihi, magufuli kazi kwako lakini mimi bado nalia na tanzania yangu.
Huu ni mwanzo tu mkuu.
Majipu zaidi kutumbuliwa.
Hoja yako ya kizee sana. Imeishia kutoa mfano hapo number 3 tu badala ya hoja na maelezo ya kubeba hoja yako. Taja maamuzi mangapi na yapi yaliyoliigiza taifa hasara?
Hoja yako ya kizee sana. Imeishia kutoa mfano hapo number 3 tu badala ya hoja na maelezo ya kubeba hoja yako. Taja maamuzi mangapi na yapi yaliyoliigiza taifa hasara?
Ndio maana nimeona ana mawazo mgando. Amezoea mitizamo fulani ambayo hana nafasi ya kubadilika.
Hao ambao hawakutumia staili kama ya Magufuli hawajaliigizia taifa hasara?
Tulia basi uandike kinachoeleweka usirukeruke kama popcorn kikaangoni
So this is your best eh?