👏👏👏👇👇
Kwanza nitoe PONGEZI KUBWAAAA.. kwa Mh. Rais Magufuli na Mh. Waziri Mkuu Majaliwa...!! Good job so far but NOT THE BEST YET... ila najua, best starts from GOOD...!!
Ebu ongezaaa speed kabisa... hasa ktk mashirika haya... na mje na mtindo huo huo wa kuwa na MAJIBU SAHIHI MKONONI YA SHIRIKA HUSIKA, kisha UNAENDA KWA KUSHTUKIZA na kujifanya hujui chochote, kumbe una data zoteee mkononi za uhakika... ila unaenda kama mjinga vile, hujui kitu... kisha UNAWASHUKIA KAMA ELNINO...!!
1: TANESCO... hapa sielezi kitu.. mnajua kila kitu... esp. IPTL saga.. and still wanakula CAPACITY CHARGES BIL 4 KILA MWEZI... hii ni tofauti na bei ya UMEME, ambayo wanalipwa Tshs. 8 bil... so hata bunge lilisema Capacity charges ZIFUTWEEEEEEEEEEEEE... Plz vamia Tanesco na IPTL... ASAP..!!
2: TTCL... vamia hapo, madudu yake utazimia bure...
3: ATCL... hapa siongei hata ww Rais unajua kupita mm, i just wanna remind you, ongeza speed jamani..😨
🙆
4: NCAA- Ngorongoro... nenda haraka haraka jamani, plz.. be fast, fanya kama TRA vile, uwe na majibu ya kiintelijensia ya uhakika, na najua mnayo, kisha mnavamia... lazima adabu na heshima ya nchi yetu irudi..!!
5: TCRA... hapa kuna issue ya MTAMBO wa kujua mapato halisi ya kila kampuni ya simu, kisha serikali ipate kodi kubwa.. ila cha ajabu huo mtambo wameanza kujua tu sms na calls tu, sbb kuna hongo hapa, ili SERIKALI ISIJUE MAKAMPUNI YA SIMU YANAPATA SH. NGAPI, KWANI ni trillions of tshs. na serikali inakosa billions hapa, sbb kuna kamchezo ili huo MTAMBO usiweze kujua mapato halisi ya makampuni ya simu, na ina uwezo huo, ila wamebakia kujua sms na calls za watu tu... na purposely wanafanya hivyo kukosesha Serikali BILLIONS of Tshs... perhaps hapa Serikali itapata fedha zaidiii na zaidiiii ya BANDARI... naapa kabisa.. we lose trillions ktk makampuni ya simu... i swear to Almighty God.. Magufuli wahiiiiiiiiiiii TCRA..!! 😨🙆👣
6: TANAPA... hahaaa.. wataka niseme, tembo wameisha.. alafu wamebaki kucheza na media tu.. vamia, tupa kuleeee, chunguza, kamata, mashtaka ASAP.. Twiga walienda kwa Ndege Mh. Rais... wahiiiii TANAPAAAAA.. Ongezaaa speed ...🚀🚀
7: TRL, TRA ushaanza nao, ila TRL kuna nyumba mali ya TRL, mwarab mmoja kachukua zoooooteeee hapo TAZARA Dar, muulizie Halima Mdee, atakupa data zote, na alitoa BUNGENI... na Nyumba hizo mali ya TRL, zimeuzwa kifisadi balaaa, ziko hapo Tazara Dar...hata ww Mh. MAGUFULI UNAZIJUA... ni nyingiiiii...ila zimeuzwa kifisadiiiiiii... plz kula nao sahani moja..!! Zirudishweeeee...!!
8: UDA.... UDAAA... UDAAAA... naona kama huoni hii kampuni.. au sbb ni ya Riz1...? Sijaona umeigusa kabisaaa... Mh. Magufuli, ya UDA huyaoni jamani.. au unataka lecture hata kwa hili....😨💨
9: TGFA, wahi hapo, wanakubeba, ila hujataka hata kujua, fedha zinaliwa hovyo hapo, wahi jamani, hakuna shirika la umma ambalo halina madudu.. wahi hapo, uwe na data ndio ufike.. ongeza speed.. ulizia mafunzo ya marubani wako huko, wanalipwa kidogo mno nasikia, muulizie Katibu Mkuu uchukuzi Mwinjaka, atakupa data zote, marubani nasikia wanakimbia kazi hapo kwa sbb ya malipo madogoooo sana.. serikali inasomesha, inashindwa kulipa hao wataalam nadra sana kuwapata, hiyo ni aibu.. walipe vizuri waruke na viongozi vema
10: TANROAD, najua umeshawanyoosha, ila keep ur eyes and ears on.... sio uondoke umekuwa Rais uwaache, hapo ndiko kwenyewe.. ukizubaa unapigwa za mbavu..
11: TAMISEMI... huko sisemi, Majaliwa anajua sanaaaa... Mabwana Halmashauri wanakula hadi basi... wanaweka vikao kila siku wanalipana maposho ya vikao kila siku, kwa wiki moja bwana Halmashauri unakuta ana VIKAO 10, na vyote anajilipa posho milioni kadhaa kwa wiki moja...huko ndiko kumuozaaa.. tenda za kujuana, kugawiana, na kuzidisha gharama zaidiiiii... Mradi wa bil 1 ukiuona utaambiwa nyumba 3 za walimu tu.. utalia.. Majaliwa akupe data..!! FUKUZA KATIBU MKUU Jumanne Sagini... naona ana haha kweli kweli... fukuzaa..!!
12: WIZARA YA ARDHI.. haaaa.. sio nacheka, nalia, Magufuli anajua hili, nitaharibu nikisema... nakumbusha tu, 😨 roho inaniuma..haaa😨😨😭😭😭😭😭🙆🙆
13: TAA, unawajua au..!! Mfuate Mkurugenzi Mkuu, Suleiman Suleiman... mbane mbavu, kuna uchafu uchafu mwingi tu... go fast, and be straight 1, 2, 3, 4... kama TPA mlivyo fanya...!!
14: TPDC... ebu just ulizia hints kidogo tu, ila Mh. Rais usije pata mshtuko wa Moyo bure... ukaanza kuumia moyo vibaya kama Muhimbili, hadi ukasema MUNGU ATAWALIPA TU, watangulizi wako.. na kusema alafu watu wanaumia hovyo MNH huku wengine wakisafiri nje kila siku...!!
OMBI MAALUM:
Mh. Rais, umeanza vizuri, ila ILE KATIBA YA WARIOBA ITAKUSAIDIA SANAA SANAAAA.... sbb ww ukiondoka na Majaliwa, watakuja majitu mengine yanaharibu, so TUNARUDI NYUMA NYUMA KABISAAA... So ili tuzidi kwenda mbele weka system ambayo hata Rais wa ajabu akija HAWEZI KUHARIBU NCHI, na utaweza hilo kwa KUWEKA KATIBA YA WARIOBA
..nchi itasimama vyema ktk misingi yake...!! Sbb ww ukiondoka, likija mla rushwa tutarudi zama za JK...
Mungu mbariki Rais Magufuli... Mungu ibariki Tanzania...
Na kwaheriiiiiiiii....
.......😨😨👋👋💃💃🚶🚶🚶🔥🔥