Umaarufu wa Magufuli ulikuwa juu kipindi walipokuwa mapacha watatu, JohnMagufuli,Kasim Majaliwa ,Ombeni Sefue,ilikuwa kama neyma,suarez na messi
Mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na mawaziri
alipoanza teuzi tu watu wakaanza kuguna ,
kila anapoteua watu wanaguna mmmmmm
sasa chunusi zinatumbuliwa majipu yanaachwa
amebaki messi peke yake,majaliwa hajulikani aliko
mama samia nae kaibukia mwenge wakati tulitarajia mwenge huoungewekwa makumbusho
katibu mkuu kiongozi mpya hata sura yake watu hawamjui