idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Tatizo Upinzani tulio nao unaombea Rais ashindwe ili wapate hoja... kifupi upinzani hasa Chadema ni kama hawana nia njema na nchi hii.
Upinzani umepoteza mwelekeo, sasa hivi wapo Nyuma ya Magufuli kazi yao ni kukosoa kauli za Magufuli tu.
Hawana sera za kulisaidia Taifa..... Nawapongeza ACT wazalendo kwa kujipambanua na kuanzisha mjadala kuhusu Katiba Mpya.
Wapinzani wanapaswa kubadilika sio kutafuta umaarufu wa mda mfupi.
Upinzani umepoteza mwelekeo, sasa hivi wapo Nyuma ya Magufuli kazi yao ni kukosoa kauli za Magufuli tu.
Hawana sera za kulisaidia Taifa..... Nawapongeza ACT wazalendo kwa kujipambanua na kuanzisha mjadala kuhusu Katiba Mpya.
Wapinzani wanapaswa kubadilika sio kutafuta umaarufu wa mda mfupi.