Katiaka nchi ambazo hazina maendeleo makubwa kama Tanzania ni kitu muhimu sana kuangalia media inafanya nini. Media zinaweza zikatumiwa vibaya kama Rais mwenyewe ulivyosema. Pia tusipende kuilinganisha Tanzania na nchi zilizoendelea tunaweza pata shida kubwa, kwani wananchi wengi hawana elimu ya kuwafanya wawe na reasoning character hiyo unayo ifikiria.
Ni kweli media inaweza kutumika vibaya kupotosha. Lakini inaweza pia kutumika kuelimisha na kunyoosha mambo. Huu uwili (dichotomy) upo kwenye mambo mengi na chaguo letu kuendeleza yale mazuri na kuondoa mabaya kwa kuhakikisha sheria na taratibu zinafuatwa.