Maoni: Watu Kumi wenye nguvu zaidi Tanzania kwa sasa (Ten most powerfull people)

Umesahau lisu😂
 
Hao wengine ni wafuasi tu,wenyewe ni JK na Rostam Aziz!
 
Hujui kama Waziri wa Ulinzi ndiye Rais mwingine wa mipaka ya Nchi yako?
Hivi Rais anaweza shtushwa na kauli ya waziri wa ulinzi au mkuu wa majeshi???..

By the way hapa tunapiga soga tu, huwezi kujua nani ana nguvu kama haupo kwenye hiyo system of power

Mfano mimi naweza kuhisi Andrew Chenge ana power kuliko wengi waliopo kwenye hiyo list Ila watu wa system wakawa na list yao tofauti kabisa
 
Andrew chenge ni nani kwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…