Maoni: Watu Kumi wenye nguvu zaidi Tanzania kwa sasa (Ten most powerfull people)

Maoni: Watu Kumi wenye nguvu zaidi Tanzania kwa sasa (Ten most powerfull people)

Habari,

Kila nchi ina watu wenye ushawish na watu wenye nguvu.

Wazungu husema power is no permanent and is always shifting, kwa sasa hawa ni watu wenye nguvu na ushawishi sana.

1. H.E Samia Hassan
2. Jakaya Kikwete
3. Abrahaman Kinana
4. Hussein Mwinyi
5. January Makamba
6. Freeman Mbowe
7. Mwigulu Nchemba
8. Ridhwan Kikwete
9. Innocent Bashungwa
10. Nape Nnauye.

Bonus
1. Rostam Aziz
2. Sylivester Koka
3. SS Bakheresa
.....
Extra..

1. Yuda Thadei Ruwaichi
2.George Mkuchika
3.George Simbachawene
4.Abubakar Zuber
5.Fedrick Shoo
6.Zitto Kabwe.


Kwa ground hizo ndio machinery zenye nguvu Tanzania kwa kipindi hiki..

This is so just you know, don't mess with any.
Umekariri, Powerful hapo ni police. Hakuna cha Samia Wala dagaa wengine wengine.

Bila police CCM ni wepesi kama mabua
 
Daaah! Ongea na mshua huyu na ding ake mama ndo kawatukuza haya bwana waache wavimbe wakati wao huu. Si wengine kulakula yetu2 yamashaka
 
Habari,

Kila nchi ina watu wenye ushawish na watu wenye nguvu.

Wazungu husema power is no permanent and is always shifting, kwa sasa hawa ni watu wenye nguvu na ushawishi sana.

1. H.E Samia Hassan
2. Jakaya Kikwete
3. Abrahaman Kinana
4. Hussein Mwinyi
5. January Makamba
6. Freeman Mbowe
7. Mwigulu Nchemba
8. Ridhwan Kikwete
9. Innocent Bashungwa
10. Nape Nnauye.

Bonus
1. Rostam Aziz
2. Sylivester Koka
3. SS Bakheresa
.....
Extra..

1. Yuda Thadei Ruwaichi
2.George Mkuchika
3.George Simbachawene
4.Abubakar Zuber
5.Fedrick Shoo
6.Zitto Kabwe.


Kwa ground hizo ndio machinery zenye nguvu Tanzania kwa kipindi hiki..

This is so just you know, don't mess with any.
Unawajua maaskofu wewe au umezaliwa juzi?
 
Habari,

Kila nchi ina watu wenye ushawish na watu wenye nguvu.

Wazungu husema power is no permanent and is always shifting, kwa sasa hawa ni watu wenye nguvu na ushawishi sana.

1. H.E Samia Hassan
2. Jakaya Kikwete
3. Abrahaman Kinana
4. Hussein Mwinyi
5. January Makamba
6. Freeman Mbowe
7. Mwigulu Nchemba
8. Ridhwan Kikwete
9. Innocent Bashungwa
10. Nape Nnauye.

Bonus
1. Rostam Aziz
2. Sylivester Koka
3. SS Bakheresa
.....
Extra..

1. Yuda Thadei Ruwaichi
2.George Mkuchika
3.George Simbachawene
4.Abubakar Zuber
5.Fedrick Shoo
6.Zitto Kabwe.


Kwa ground hizo ndio machinery zenye nguvu Tanzania kwa kipindi hiki..

This is so just you know, don't mess with any.
Wapo wapi akina Majaliwa Majaliwa Majaliwa Taslimu na Philips Mapambo?
 
Deep State Kwa Tanzania;
1. Jeshi + usalama Wa taifa na vyombo vingine.


2. Kanisa Katoliki.

3. Wakuu wa Vyombo vya dola (Rais, Jaji, Spika).

4. Watu wa CCM.

5. Wastaafu wenye akili, Butiku, Waryoba na wenzao.

6. Wafanyabiashara; Mo, Rostam etc


7. Mabalozi & Majasusi wa nchi za kijamaa na Kibepari (Note; Tanzania haina msimamo Kwa sababu ya umaskini wake).

Hayo ndio makundi 7 yanayoongoza show hapa nchini na sio mtu mmoja kama wengine wanavyodai.

NB. Nimetoa hiyo elimu bure kwa sababu ya mwezi mtukufu vinginevyo nisingekubali.
 
Habari,

Kila nchi ina watu wenye ushawish na watu wenye nguvu.

Wazungu husema power is no permanent and is always shifting, kwa sasa hawa ni watu wenye nguvu na ushawishi sana.

1. H.E Samia Hassan
2. Jakaya Kikwete
3. Abrahaman Kinana
4. Hussein Mwinyi
5. January Makamba
6. Freeman Mbowe
7. Mwigulu Nchemba
8. Ridhwan Kikwete
9. Innocent Bashungwa
10. Nape Nnauye.

Bonus
1. Rostam Aziz
2. Sylivester Koka
3. SS Bakheresa
.....
Extra..

1. Yuda Thadei Ruwaichi
2.George Mkuchika
3.George Simbachawene
4.Abubakar Zuber
5.Fedrick Shoo
6.Zitto Kabwe.


Kwa ground hizo ndio machinery zenye nguvu Tanzania kwa kipindi hiki..

This is so just you know, don't mess with any.
Kwenye orodha yako ingepaswa pia kuwa na watu kama Mohamed Enterprise na Gharib Said. Nguvu zao katika uwekezaji ikiwemo soka unajidhihirisha kwa uwazi kabisa. Aidha hawakosekani pia baadhi ya viongozi wa kidini kama vile Mwamposya na
Gwajima ambao wakiamua kufanya mihadhara ya kidini utaona kwa udhahiri kabisa nguvu za mvuto wao.
 
Ridhiwani Kikwete mnajaza upepo wa bure hana influence yoyote zaidi ya kivuli cha JK
Hata Bashite alithubutu kumtaja kati ya wauza "sembe" wakubwa.
Fact, hata Diamond wa Bongo flavor ana influence zaidi ya Ridhiwani. Huyu dogo mikoani ndanindani wala hawamtambui.
 
Deep State Kwa Tanzania;
1. Jeshi + usalama Wa taifa na vyombo vingine.


2. Kanisa Katoliki.

3. Wakuu wa Vyombo vya dola (Rais, Jaji, Spika).

4. Watu wa CCM.

5. Wastaafu wenye akili, Butiku, Waryoba na wenzao.

6. Wafanyabiashara; Mo, Rostam etc


7. Mabalozi & Majasusi wa nchi za kijamaa na Kibepari (Note; Tanzania haina msimamo Kwa sababu ya umaskini wake).

Hayo ndio makundi 7 yanayoongoza show hapa nchini na sio mtu mmoja kama wengine wanavyodai.

NB. Nimetoa hiyo elimu bure kwa sababu ya mwezi mtukufu vinginevyo nisingekubali.
Inatafakarisha.
 
Deep State Kwa Tanzania;
1. Jeshi + usalama Wa taifa na vyombo vingine.


2. Kanisa Katoliki.

3. Wakuu wa Vyombo vya dola (Rais, Jaji, Spika).

4. Watu wa CCM.

5. Wastaafu wenye akili, Butiku, Waryoba na wenzao.

6. Wafanyabiashara; Mo, Rostam etc


7. Mabalozi & Majasusi wa nchi za kijamaa na Kibepari (Note; Tanzania haina msimamo Kwa sababu ya umaskini wake).

Hayo ndio makundi 7 yanayoongoza show hapa nchini na sio mtu mmoja kama wengine wanavyodai.

NB. Nimetoa hiyo elimu bure kwa sababu ya mwezi mtukufu vinginevyo nisingekubali.
Eti usingekubali, 😂😂😂😂 wapi ww
 
Useless list.
If yes, is it necessary?.
There's only one most powerful person in the country: The president.
 
Hakuna nguvu hapo ni vyeo tuu vya kupita, miaka 2 iliyopita alikuwa Makonda na wapuuzi wenzake ambao sasa wanajificha kama pacha wanaowindwa msituni
 
Back
Top Bottom