MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 305
- 728
EWURA wangeifutilia mbali kbs haina tija hata robo. Akina Kaguo wapo kuneemesha ufupi tu. Wanalipana pesa ndefu sana TPDC angeweza kuifanya hii kazi.Kazi za EWURA ni zipi ambazo zina gharana kubwa kiasi hicho cha kupewa 9/= kwa kila lita ya mafuta mara mamiioni ya lita kwa mwaka?
Jwtz undercoverKazi za EWURA ni zipi ambazo zina gharana kubwa kiasi hicho cha kupewa 9/= kwa kila lita ya mafuta mara mamiioni ya lita kwa mwaka?
Jwtz undercover
Utajua unajuaBasi wapewe 20/= kabisa hawa ni moja ya Wazalendo waTz.
Mara ya mwisho Tanzania kununua vifaru ni lini, type na model gani na units ngapi. Meli za kivita ninachojua hatuna hatujawahi nunua kuna used tulipewa na China bure.Ushawahi kuuliza vifaru na meli za kivita tunanunuaje?
Ulitaka hizo procurement za jeshi zitangazwe itv? Toka tupate uhuru umeshawahi kusikia kwenye media jeshi limenunua vifaru? Acha kubalehe uzeeni.Mara ya mwisho Tanzania kununua vifaru ni lini, type na model gani na units ngapi. Meli za kivita ninachojua hatuna hatujawahi nunua kuna used tulipewa na China bure.
Bajeti ya wizara ya ulinzi ipo
Tuzitoe halafu tupe mbadala wa mapato1 Litre of Petrol
1.Total cost CIF to Dar port 1,162
2. Wharfage 20.5
3. Railway devl levy 19.4
5. Customs processing fee 6.0
5. Weights & measures fee 5.6
6. TBS charge 10.0
7. TASAC fee 8.7
8. EWURA fee 9.0
9. Fuel making 16.0
10. Demurrage costs 8.0
11. Surveyors cost 8.00
12. Financial cost 17.0
13. Evaporation losses 6.5
14. Fuel levy 513.00
15. Excise duty 479.0
16. Petroleum fee 180.0
17. Oil marketing companies 163.0
18. Charges to executive agencies 6.0
19. Service levy to LGA 6.7
20. Retailers margin (profit) 210.5
21. Transport charges (local) 50.5
Total Levy 1,743.4
Plus TC 1,162
Total cost 2,905.4 @Wabunge wetu,huo mzigo wa 1,743.4 yote mlaji wa mwisho,Wananchi wenu wanakwenda kulipa kwa kila lita moja ya mafuta, yaani kodi ni kubwa kuliko bei halisi ya mafuta𤣠Tanzania nchi yaanguu..!
Muta sema YOTE...where is BEN SAĆNANE1 Litre of Petrol
1.Total cost CIF to Dar port 1,162
2. Wharfage 20.5
3. Railway devl levy 19.4
5. Customs processing fee 6.0
5. Weights & measures fee 5.6
6. TBS charge 10.0
7. TASAC fee 8.7
8. EWURA fee 9.0
9. Fuel making 16.0
10. Demurrage costs 8.0
11. Surveyors cost 8.00
12. Financial cost 17.0
13. Evaporation losses 6.5
14. Fuel levy 513.00
15. Excise duty 479.0
16. Petroleum fee 180.0
17. Oil marketing companies 163.0
18. Charges to executive agencies 6.0
19. Service levy to LGA 6.7
20. Retailers margin (profit) 210.5
21. Transport charges (local) 50.5
Total Levy 1,743.4
Plus TC 1,162
Total cost 2,905.4 @Wabunge wetu,huo mzigo wa 1,743.4 yote mlaji wa mwisho,Wananchi wenu wanakwenda kulipa kwa kila lita moja ya mafuta, yaani kodi ni kubwa kuliko bei halisi ya mafuta𤣠Tanzania nchi yaanguu..!
Ulishawahi kuulizwa Ben Sanane Yuko wapiUshawahi kuuliza vifaru na meli za kivita tunanunuaje?
Mambo yanafanyika kwa siri hayo mkuuMara ya mwisho Tanzania kununua vifaru ni lini, type na model gani na units ngapi. Meli za kivita ninachojua hatuna hatujawahi nunua kuna used tulipewa na China bure.
Bajeti ya wizara ya ulinzi ipo
Aisee1 Litre of Petrol
1.Total cost CIF to Dar port 1,162
2. Wharfage 20.5
3. Railway devl levy 19.4
5. Customs processing fee 6.0
5. Weights & measures fee 5.6
6. TBS charge 10.0
7. TASAC fee 8.7
8. EWURA fee 9.0
9. Fuel making 16.0
10. Demurrage costs 8.0
11. Surveyors cost 8.00
12. Financial cost 17.0
13. Evaporation losses 6.5
14. Fuel levy 513.00
15. Excise duty 479.0
16. Petroleum fee 180.0
17. Oil marketing companies 163.0
18. Charges to executive agencies 6.0
19. Service levy to LGA 6.7
20. Retailers margin (profit) 210.5
21. Transport charges (local) 50.5
Total Levy 1,743.4
Plus TC 1,162
Total cost 2,905.4 @Wabunge wetu,huo mzigo wa 1,743.4 yote mlaji wa mwisho,Wananchi wenu wanakwenda kulipa kwa kila lita moja ya mafuta, yaani kodi ni kubwa kuliko bei halisi ya mafuta[emoji1787] Tanzania nchi yaanguu..!
Muulize bashite ana majibuMuta sema YOTE...where is BEN SAĆNANE