Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishawahi kuulizwa Ben Sanane Yuko wapi
ĶATIBA MPYAA SIO HISANI...
Vya nini badala ya kununua matreka yakainue kilimoUshawahi kuuliza vifaru na meli za kivita tunanunuaje?
Kama kuwateka kangoye, azori na Ben sa8 na kuwachinja ni siri pia??
Tnataka katiba mpya
Hawa jamaa ni wapuuzi hawana hata exposure dunia inaendaje. Nchi zote zenye akili bajeti za wananchi zinajulikana, nchi inayoficha matumizi ya jeshi siku zote huwa ina performance mbaya mno ikifikiwa kuhitajika kutumia hilo jeshi kujilinda. Mnavyodhania mnavyo mnajikuta hamna siku mkivamiwa.Matumizi ya kodi zetu hayatakiwi yawe siri
Wezi tu,kuna siri duniani?Hawa jamaa ni wapuuzi hawana hata exposure dunia inaendaje. Nchi zote zenye akili bajeti za wananchi zinajulikana, nchi inayoficha matumizi ya jeshi siku zote huwa ina performance mbaya mno ikifikiwa kuhitajika kutumia hilo jeshi kujilinda. Mnavyodhania mnavyo mnajikuta hamna siku mkivamiwa.
Si waone hata South Africa jeshi lao lilivyo na transparency na bunge linaunda kamati kuchunguza matumizi na matatizo yaliyopo
Kazi za EWURA ni zipi ambazo zina gharana kubwa kiasi hicho cha kupewa 9/= kwa kila lita ya mafuta mara mamiioni ya lita kwa mwaka?
Hawa jamaa ni wapuuzi hawana hata exposure dunia inaendaje. Nchi zote zenye akili bajeti za wananchi zinajulikana, nchi inayoficha matumizi ya jeshi siku zote huwa ina performance mbaya mno ikifikiwa kuhitajika kutumia hilo jeshi kujilinda. Mnavyodhania mnavyo mnajikuta hamna siku mkivamiwa.
Si waone hata South Africa jeshi lao lilivyo na transparency na bunge linaunda kamati kuchunguza matumizi na matatizo yaliyopo
Chungulia barabarani uone foleni za magari, umepaki starlet yako (baby walker) unataka kumjumuisha na naniLinchi lako la kiboya, kila kitu ni kuwakamua wananchi, mara miamala, ohh tozo na ushenzi mwingine kt mafuta,
sasa magari tumepaki na miamala tnafanya kwa mbaali tuwaone nyie mbwa mtamkata nani.
Mbwa nyie mnaokeraa bana