NYANYADO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 3,804
- 2,482
dah! kazi kwelikweli,vijana wenzangu tuna Kazi kubwa sana,kwani na sisi pia hatufanyi utafiti wala upekuzi wa kawaida tu,yaan tumeshikiwa akili zetu na wanasiasa,na ndio maana humu tunatukanana bila ya sababu za Msingi,Mimi nimemsikia Tundu Antipas lissu mwanasiasa machachari kabisa,lakini sasa ilikuwa ni jukumu letu vijana kabla ya kulishabikia hili tulichunguze kiundani,na kujiuliza maswali mengi,je kama UN hawatutambui kama jumhuri ya muungano wa tanzania, huwa tunafanya nao Kazi vipi? au nao hawajui wanachokifanya? maana lissu alitaja watu wawili tena kwa majina na si UN kama UN, na pia lissu anasema watu waliozoea uongo vya ukweli hawaviwezi,naye tumuulize alipokuwa kwenye bunge la budget na kusema shirikisho haliwezekani,vipi Leo anapigania shirikisho!
Hivi kipindi kile ulipoacha shule tukiwa darasa la nne, kisa somo la uraia , ulijiendeleza? hivi Zanzibar ni member wa FIFA