Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #41
Fanya mpango ukachanjwe. Wanadai inaongeza zile nguvu zetu zile…Bado Nyani. Lakini sio kwa kupenda.
Amandla...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya mpango ukachanjwe. Wanadai inaongeza zile nguvu zetu zile…Bado Nyani. Lakini sio kwa kupenda.
Amandla...
Kwa dada zetu inaongeza nini?Fanya mpango ukachanjwe. Wanadai inaongeza zile nguvu zetu zile…
Unyevunyevu..Kwa dada zetu inaongeza nini?
Amandla...
Hasa wanaume wa Dar 😂😂😂Waambie chanjo inaongeza nguvu za kiume, watu watahakikisha wamechanjwa chanjo za Kampuni zote
sinovac, Astrazeneca, pfizer, moderna, johnson, novavax nk
Watachanjwa zaidi Dar es Salaam, sababu shida ya nguvu za kiume ipo huko. Ushasikia mikoani wanalia nguvu za kiume? Hata Tafiti ya muhimbili ulisema Dar es Salaam ndio ina shida ya nguvu za kiume.Waambie chanjo inaongeza nguvu za kiume, watu watahakikisha wamechanjwa chanjo za Kampuni zote
sinovac, Astrazeneca, pfizer, moderna, johnson, novavax nk
Chanzo ya Ebola ilichukua muda gani?. Ni kipindi kifupi tu. Wasibeze juhudi za wataalam.Mbona wapo waliosema kuwa wanaipinga kwa sababu ni ya mwendokasi…
Kwahiyo kama si Magufuli hao wanakataa chajo wote wangekubali kuchanjwa?Magufuli alishawaaminisha kuwa chanjo haifai!
Hata kwa Mwendazake ilisemwa hivyo hivyo ila alipokufa ikasemwa aliidharau corona.Ukute Gwajima boy naye kashachanjwa anatuzuga tu...
Wanaume mpo?
Wanaume mpo?
Baba ana nguvu hata akiwa kaburini, hii inamtesa sana timu dhaifu na genge lake.Rais wetu Magufuli alitukataza.
Sichanjwi.
Teh
Tupeane connection ya chanjo best
Maana nchi ishakua ngumu hii bila connection utabaki kuangaza sharubu ati[emoji23][emoji4]
Tina hadi kwa chanjo wataka connection!
Zitafika tu kipande yenu na utapata...
Maana nchi ishakua ngumu hii bila connection utabaki kuangaza sharubu ati[emoji23]
Kidding lol
Okay wacha tuvute subira sie wazee chini ya miaka hiyo[emoji28]Kwa dozi hizo walizoleta mwanzo nadhani zitaishia kwa makundi maalum na raia wachache kwa ile mikoa vipaumbele