Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Maoni yangu binafsi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea duniani

Kampuni ya Yapi Markezi haina uwezo tena wa kifedha kuendeleza huu mradi na ni wazi kuna mambo yanafichwafichwa sana juu ya nini chanzo na nani yuko nyuma ya hili jambo baya kabisa kuwahi kutokea. Yaani hela za mradi zimeibwa halafu tunakwenda kukopa nyingine kufidia zilizoibwa!.

Mradi huu una mikopo lukuki na yote tulitangaziwa hapa na tunajua fedha zote za kukamilisha mradi huu zilipatikana zote na ili kuweka angalizo kwa watanzania tunawakumbusha kuwa huu ni mkopo na watakaolipa ni watanzania hawa masikini.

Leo mradi umesimama na mkandarasi kaweka wazi kuwa hana fedha!. tunachukulia jambo hili kiwepesi sana na kama ni jambo dogo na hakuna shida yoyote lakini leo nataka niseme kuna WIZI MKUBWA sana umefanyika kwenye huu mradi mpaka mkandarasi kakosa fedha kuendelea na mradi na kazi imesimama. Hii ni kashfa kubwa sana na hatuwezi kukaa kimya hata iweje.

Vyanzo vyetu vinasema MAJIZI hayo yakichukua hela yao "in advance" mara tu mkataba uliposainiwa na ndiyo maana Yapi Markezi wamefika mahali hela waliyotoa rushwa kwa lazima imeleta nakisi kwenye utekelezaji.

Hatuwezi kulitazama hili kirahisi tu na kuona ni jambo la kawaida na sasa tunatafuta nkopo mwingine kama nchi ili kumalizia mradi! Swali ni kuwa nani kaina fedha za mwanzo? Nani yuko nyuma ya hii michezo kiasi kwamba anaogopwa kutajwa na kushughulikiwa mpaka nchi inaingia kwenye mchakato wa kutafuta mkopo mwingine kumalizia mradi? Huyu MWIZI special hivi ni nani mpaka anapewa ulinzi wa hivi?

CAG hivi upo kweli? Yaani huu mradi kinachojufanya usiukague ni kitu gani? Bunge hivi mpo kabisa yaani na haya yanatokea mnaona sawa tu? Mnashindwa nini kutoa azimio la kumtaka CAG akague na kuweka wazi shida iko wapi?

Sisi tunajua nani yuko nyuma ya hasara hii kubwa kwa hili taifa na tunajua nguvu inatumika kumficha na kumlinda lakini watanzania hawa pamoja na ujinga wao na ulofa wao hawapaswi kupitishwa kwenye njia hii na kama vyombo husika hasa wewe CAG hamtachunguza hili basi tutawasaidia ifikapo 1 January 2024 siku ya mkesha wa mwaka mpya! (Siku hii utakuwa ni ukurasa mpya unafunguliwa)

Haiwezekani kuwatia watanzania kwenye shida ya deni jingine kubwa hivi huku tunamjua mtu aliye katikati ya haya madili na tunaogopa kumsema!. Watanzania siyo malofa na wajinga kiasi hicho hata kama wanakaa kimya.

Hatuwezi kukaa wa watu kama Kadogosa pale TRL badala ya kufanya kazi wao wako hapo kwa ajili ya kusaidia watu kuiba fedha za watanzania na wanaogopa kuwasema kwa kuwa wanataka kulinda nafasi zao na vyeo vyao na wengine wameahidiwa ubunge kama Kadogosa. Nyie kama mnawaogopa ni vizuri lakini sisi Kigogo Media hatujawahi kumuogopa mtu na hili linajulikana na tutasema waziwazi ili kila mtu ashinde mechi zake.

Watanzania kuna wizi na kashfa ya kutisha kwenye mradi wa SGR na chanzo cha Yapi Markezi kukwama kuendelea na kazi ni mabilioni ya fedha yamekwapuliwa na wakubwa wakati wa kuwapa tenda sasa hawana hela.
 
MONDAY, OCTOBER 16TH 2023.

TWENTY EIGHTH WEEK IN ORDINARY TIME YEAR A.

MEMORIAL OF SAINT MARGARET MARY ALACOQUE, Virgin

FIRST READING
Through Christ we received grace and apostleship to bring about the obedience of faith among all the nations.
ROMANS 1: 1 - 7

Paul, a servant of Jesus Christ, called to be an apostle, set apart for the gospel of God which he promised beforehand through his prophets in the holy Scriptures, the gospel concerning his Son, who was descended from David according to the flesh and designated Son of God in power according to the Spirit of holiness by his resurrection from the dead, Jesus Christ our Lord, through whom we have received grace and apostleship to bring about the obedience of faith for the sake of his name among all the nations, including yourselves who are called to belong to Jesus Christ; to all God’s beloved in Rome, who are called to be saints: Grace to you and peace from God our Father and the Lord Jesus Christ.

The Word of the Lord.


RESPONSORIAL PSALM
Psalm 98: 1, 2 - 3ab, 3cd - 4 (R.) 2a.

R/. The Lord has made known his salvation.

O sing a new song to the Lord,
for he has worked wonders.
His right hand and his holy arm
have brought salvation. R/.

The Lord has made known his salvation,
has shown his deliverance to the nations.
He has remembered his merciful love
and his truth for the house of Israel. R/.

All the ends of the earth have seen
the salvation of our God.
Shout to the Lord, all the earth;
break forth into joyous song,
and sing out your praise. R/.


GOSPEL ACCLAMATION
Psalm 95: 7.

Alleluia.
Today, harden not your hearts, but listen to the voice of the Lord.
Alleluia.


GOSPEL
“No sign will be given to this generation. Except the sign of Jonah.”
LUKE 11: 29 - 32

At that time: When the crowds were increasing, Jesus began to say, “This generation is an evil generation; it seeks a sign, but no sign shall be given to it except the sign of Jonah. For as Jonah became a sign to the men of Nineveh, so will the Son of man be to this generation. The queen of the South will arise at the judgement with the men of this generation and condemn them; for she came from the ends of the earth to hear the wisdom of Solomon, and behold, something greater than Solomon is here. The men of Nineveh will arise at the judgement with this generation and condemn it; for they repented at the preaching of Jonah, and behold, something greater than Jonah is here.”

The Gospel of the Lord.
 
Back
Top Bottom