Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #621
Je anajua kila shilingi mia inayokwenda kwenye mfuko wa bima ya afya shilingi 40 huishia kuliwa na gharama za kiutawala na hivyo kamwe mfuko wa bima hautamletea unafuu mlaji wa hii huduma?