Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #741
Wabunge wa CCM ni wanafiki kukemea maovu yaliyobainishwa na taarifa ya CAG wakati hawataki kurekebisha katiba na kubadilisha mfumo wa utawala ambao umezaa uwakilishi haramu ambao kazi yao kubwa ni wizi na ubadhirifu wa mali ya umma