Maisha yana gharama zake, vinginevyo tutaishia kuendesha baiskeli ili kukwepa matumizi ya weseDaaah Brevis AI 300 kama ni kwa matumizi ya hapa mjini tu,jiandae vzr kisaikolojia mkuu,au pengine mambo ya wese kwako sio inshu kiongozi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zikizungumziwa gari usiongelee huo uchafu tafadhali!
Hii Toyota Celsior ni kama mbadala we Lexus Ls 3rd generation ile ya mwaka 2003 ni mnyama V8Mkuu Kwny hii list ongezea
Toyota Progress(IJZ-FSE 2.5L na 2JZ-FSE 3.0L)
Toyota celsior(3uz-FE 4.3l) hizi na zenyewe naanza kuziona mjini kiaina hivi).
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha sio mchezo, sema uber ndio wamesababishaIST imekaza lakini mwaka wa nne sasa na ushee kampiku Carina Ti
Jr[emoji769]
Hahah kitchen partyZikizungumziwa gari usiongelee huo uchafu tafadhali!
Harrier yenyewe ni CC ngapi?Tofauti kabisa mark X ni engine kubwa 2.5- 3000 tofauti kabisa na harrier
Jr[emoji769]
Ni tamu kisenge hio,lina features za ukweli sana kwa gari ya miaka ile shida tu ni hio 4.3l,V8 foleni zetu hizi ni balaa.Hii Toyota Celsior ni kama mbadala we Lexus Ls 3rd generation ile ya mwaka 2003 ni mnyama V8
Ukijibiwa nitag. Maana mimi magar mengine hata siekewi. X trail ndyo ugonjwa wangu. Gar yangu ya kwanza ilikuwa x trail. Nkapiga mzinga. Na nikarudia kununua x trail nyingne.Nissan xtrail model ya 2008 inanitoa sana udenda, kwa mlowah kutumia vp speed yake ukifananisha na model ya zaman?
Sent using Jamii Forums mobile app
Batavus ni official name......Mgongo wa chura je? Unazifahamu hizi VW? au zile vespa za Zenji huku zinaitwa bata V[emoji85][emoji87]
Jr[emoji769]
Gari kupiga mzinga ni udereva wa mtu tu.. Niliendesha Cresta GX100 kipindi hicho wanaziita chinja chinja tena masafa marefu(Dar -Arusha/Dar-Tanga) na sikuwahi hata kukwaruzwa.. Watu wanaendesha gari zenye speed zaidi ya 200 na wanamaliza speedometer wasipate ajali ije kua harrier ya speed 180? Nadhani watu wananunua magari na kuanza mbwembwe kabla hawajazijua njia.. Kuna jamaa alivuta Mark X mpya kajifunza kuendesha alipojua kuendesha barabarani tu akataka kwenda kuonyesha kwao Lushoto.. Walishafukia!Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan.
Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine
Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ulaji mdogo wa mafuta. Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza.
Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa kama sare ya taifa
Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo.Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka yule mwenye makalio mekundu.
Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard.
Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe. Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta.
Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari
Jr[emoji769]
Hizi mashine ni balaa...unaweza kuwa 190kph bila kujua ukiangalia speedometer ndio unashtuka!Dah! Kitu cha AUDi
Ndio maana mtoa mada alisema tatizo liko kwa madereva. Huwezi kuendesha Harrier kama unavyoendesha Crown Athlete ingawa zote zina 180kph.Gari kupiga mzinga ni udereva wa mtu tu.. Niliendesha Cresta GX100 kipindi hicho wanaziita chinja chinja tena masafa marefu(Dar -Arusha/Dar-Tanga) na sikuwahi hata kukwaruzwa.. Watu wanaendesha gari zenye speed zaidi ya 200 na wanamaliza speedometer wasipate ajali ije kua harrier ya speed 180? Nadhani watu wananunua magari na kuanza mbwembwe kabla hawajazijua njia.. Kuna jamaa alivuta Mark X mpya kajifunza kuendesha alipojua kuendesha barabarani tu akataka kwenda kuonyesha kwao Lushoto.. Walishafukia!
Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan.
Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine
Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ulaji mdogo wa mafuta. Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza.
Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa kama sare ya taifa
Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo.Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka yule mwenye makalio mekundu.
Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard.
Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe. Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta.
Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari
Jr[emoji769]
Kwa hiyo shida ya Harrier ni nini? stability au mwendokasi? Maana zote zina 180kph lakini kwa mimi ambaye nimeendesha zote nitakwambia Crown athlete ina take of kubwa zaidiNdio maana mtoa mada alisema tatizo liko kwa madereva. Huwezi kuendesha Harrier kama unavyoendesha Crown Athlete ingawa zote zina 180kph.
Harrier iko juu, Crown iko chini. Nafikiri unajua centre of gravity ya Harrier iko juu kuliko Crown na effect yake kwenye stability unaijua.Kwa hiyo shida ya Harrier ni nini? stability au mwendokasi? Maana zote zina 180kph lakini kwa mimi ambaye nimeendesha zote nitakwambia Crown athlete ina take of kubwa zaidi
Harrier iko juu, Crown iko chini. Nafikiri unajua centre of gravity ya Harrier iko juu kuliko Crown na effect yake kwenye stability unaijua.
Yeah yani liko kama Benz kabisa. By that time lilikuwa ahead of luxury cars of its class kama Kina Benz na Bmw.Ni tamu kisenge hio,lina features za ukweli sana kwa gari ya miaka ile shida tu ni hio 4.3l,V8 foleni zetu hizi ni balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukijibiwa nitag. Maana mimi magar mengine hata siekewi. X trail ndyo ugonjwa wangu. Gar yangu ya kwanza ilikuwa x trail. Nkapiga mzinga. Na nikarudia kununua x trail nyingne.
Sent using Jamii Forums mobile app