Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Nissan xtrail model ya 2008 inanitoa sana udenda, kwa mlowah kutumia vp speed yake ukifananisha na model ya zaman?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukijibiwa nitag. Maana mimi magar mengine hata siekewi. X trail ndyo ugonjwa wangu. Gar yangu ya kwanza ilikuwa x trail. Nkapiga mzinga. Na nikarudia kununua x trail nyingne.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan.

Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine

Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ulaji mdogo wa mafuta. Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza.

Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa kama sare ya taifa

Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo.Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka yule mwenye makalio mekundu.

Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard.

Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe. Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta.

Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari

Jr[emoji769]
Gari kupiga mzinga ni udereva wa mtu tu.. Niliendesha Cresta GX100 kipindi hicho wanaziita chinja chinja tena masafa marefu(Dar -Arusha/Dar-Tanga) na sikuwahi hata kukwaruzwa.. Watu wanaendesha gari zenye speed zaidi ya 200 na wanamaliza speedometer wasipate ajali ije kua harrier ya speed 180? Nadhani watu wananunua magari na kuanza mbwembwe kabla hawajazijua njia.. Kuna jamaa alivuta Mark X mpya kajifunza kuendesha alipojua kuendesha barabarani tu akataka kwenda kuonyesha kwao Lushoto.. Walishafukia!
 
Gari kupiga mzinga ni udereva wa mtu tu.. Niliendesha Cresta GX100 kipindi hicho wanaziita chinja chinja tena masafa marefu(Dar -Arusha/Dar-Tanga) na sikuwahi hata kukwaruzwa.. Watu wanaendesha gari zenye speed zaidi ya 200 na wanamaliza speedometer wasipate ajali ije kua harrier ya speed 180? Nadhani watu wananunua magari na kuanza mbwembwe kabla hawajazijua njia.. Kuna jamaa alivuta Mark X mpya kajifunza kuendesha alipojua kuendesha barabarani tu akataka kwenda kuonyesha kwao Lushoto.. Walishafukia!
Ndio maana mtoa mada alisema tatizo liko kwa madereva. Huwezi kuendesha Harrier kama unavyoendesha Crown Athlete ingawa zote zina 180kph.
 
Naliona Takola nyani hapa
1552912472566.png


1552912472566.png

1552912472566.png
Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan.

Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine

Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ulaji mdogo wa mafuta. Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza.

Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa kama sare ya taifa

Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo.Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka yule mwenye makalio mekundu.

Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard.

Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe. Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta.

Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari

Jr[emoji769]
 
Ndio maana mtoa mada alisema tatizo liko kwa madereva. Huwezi kuendesha Harrier kama unavyoendesha Crown Athlete ingawa zote zina 180kph.
Kwa hiyo shida ya Harrier ni nini? stability au mwendokasi? Maana zote zina 180kph lakini kwa mimi ambaye nimeendesha zote nitakwambia Crown athlete ina take of kubwa zaidi
 
Kwa hiyo shida ya Harrier ni nini? stability au mwendokasi? Maana zote zina 180kph lakini kwa mimi ambaye nimeendesha zote nitakwambia Crown athlete ina take of kubwa zaidi
Harrier iko juu, Crown iko chini. Nafikiri unajua centre of gravity ya Harrier iko juu kuliko Crown na effect yake kwenye stability unaijua.
 
Harrier iko juu, Crown iko chini. Nafikiri unajua centre of gravity ya Harrier iko juu kuliko Crown na effect yake kwenye stability unaijua.

Hapo umeongea ila kw amujibu wa Mshana Jr yeye hakuongelea hilo la stability aliongelea wepesi labda kama alimaanisha wepesi kama stability

Yeye Kasema:"Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari"
 
Ni tamu kisenge hio,lina features za ukweli sana kwa gari ya miaka ile shida tu ni hio 4.3l,V8 foleni zetu hizi ni balaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah yani liko kama Benz kabisa. By that time lilikuwa ahead of luxury cars of its class kama Kina Benz na Bmw.
Hahah ubaya wa V8 haina VVti manina! Wabongo lazma wengi watoke mbio!
 
Back
Top Bottom