Kwahiyo hayo magari yana ukimwi au huo ukimwi una magariDuh humu kila mtu ana gari ndo maana mademu wanaambukizwa mpk ukimwi!
Cc Dajane
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah subirieni tesla zifike beforward. Zile zinatumia battery. Mtabadili matairi tuZimeshuka bei sababu watu wanakimbia mafuta! kuna jamaa alitoka Dar kwenda Dom nakurudi katumia laki 4 asubuhi yake kaitia sokoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu million 6 ungenistua mkuu
Kuna jamaa mmoja wa comoro alikuwa anauza yake Milion 10 nikaja nikakutana na mzungu mmoja anauza yake anatafuta hela ya kuondoka kwao milion 6..... Hii gari kwa speed ndiyo mahali pake
Hata mm sikukubali labda Old Model ya 1999 - 2002 mbovu na ikiwa mpya Nchini ex Japan ni 14mDuu million 6 ungenistua mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Shikamoo madalaliHata mm sikukubali labda Old Model ya 1999 - 2002 mbovu na ikiwa mpya Nchini ex Japan ni 14m
lakini matako ya nyani bei ya chini 18m mwenye haraka hata km gea zinapandana
kuna jamaa kidogo abambikwe Body la kuchonga wali modified hapo nyuma wakamwambia 10m
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tafuta na hili tako la nyani,ukiyaweka pamoja,yanajichaj na kupunguziana mafuta
[emoji30][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tafuta na hili tako la nyani,ukiyaweka pamoja,yanajichaj na kupunguziana mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Saana. Kuna umuhimu saana kupita driving school inayoeleweka. Kuna mengi ya kujifunza.Na uelewa pia.. Wengi hawaendi driving school na hao wanaoenda wanaenda zile za vichochoroni
Jr[emoji769]
Usisahau kunitag. Mada muhimu saana hiyo.Ngoja nitaweka mada maalum ya driving school hapa... Nitaomba ushirikiano wako
Jr[emoji769]
Acha kuandika uchafu kwenye mambo ya msingiKwa pamoja Twende na JpM2020
Hiyo CC si ni uchokozi kweli huo????Duh humu kila mtu ana gari ndo maana mademu wanaambukizwa mpk ukimwi!
Cc Dajane
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea gari imetengenezwa nchi gani. Gari za Ulaya na Marekani ukiwa kwenye 130kph ni mwendo wa kawaida, tatizo magari ya Asia kama Japan ukiwa kwenye 130kph na zaidi hapo mwenyewe unaona gari linakimbia sana na zaidi inakulazimu ushikilie usukani kwa nguvu tofauti na magari kutoka Ulaya na MarekaniNashangaa eti mtu anakwambia 180kph ni ndogo eti anakushauri ununue gari yenye 260kph, sasa unajiuliza unanunua gari uende nayo kwenye rally? Me nijuavyo mtu ukitembea speed ya 160 tu ujue upo katika hatari ya kupoteza maisha incase anything happens. Me binafsi sy muumini wa mibio hata kama nasafiri mbali 100kph nimezidi sana 130kph basi.
Inategemea gari imetengenezwa nchi gani. Gari za Ulaya na Marekani ukiwa kwenye 130kph ni mwendo wa kawaida, tatizo magari ya Asia kama Japan ukiwa kwenye 130kph na zaidi hapo mwenyewe unaona gari linakimbia sana na zaidi inakulazimu ushikilie usukani kwa nguvu tofauti na magari kutoka Ulaya na Marekani.
Mimi nikiwa na gari ya Mjapani natembea 120kph wakati nikiwa na gari la Ulaya mwendo wangu ni kati ya 140kph na 160kph
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya hii kutokana kuwa ndio gari inayopendwa sana na wabongo Road zimejaaa mikoa yote ukienda unakutana nazo kwa wingi......Nimezikuta leo kama 6 hivi garage moja ya wachina DarView attachment 1052319View attachment 1052320View attachment 1052321
Jr[emoji769]