Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Weeeeee Tz hii hii !?? Barabara gani!?Ya kutoka wapi kwenda wapi!??? Na jamaa wa kukubetisha vikaratasi vya overspeed kwa tsh 30000 fine bill wapo wapi wakat wewe unatembea 200km/h????View attachment 1058575View attachment 1058577

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna gari zinachanganya haraka. Kuna siku nilitoka pale Terminal one hadi nafika hapo jet nina 160kph(wakati huo hapo hamna traffic lights) ilikuwa usiku naendesha Verossa.
Siku ingine nimetoka mataa ya chang'ombe hadi nafika hapo Sigara nina 160kph. Ukipata sehemu imenyooka km 2-3 gari nzuri za Europe 200kph sio issue
 
Mimi na bmw na naenda 200km/hr na gari haipepesuki ni imara barabarani
Hakuna barabara TZ unaweza kuendesha hizi spidi.....Hizi spidi ni za wenzetu huko Ujerumani na kwingineko ulimwenguni ambapo njia zao zina mpaka Six lanes upande mmoja...

Kwa miundo mbinu ya TZ ukiweza kiendesha 200/kph naamini hauta dumu na mwendo huo kwa zaidi ya dakika 3.....ndiyo maana maximum speed recommended kwa nchi yetu ni 80/kph kulingana na miundo mbinu....kona za hapa na hapa, mara punda anavuka...bumps za hapa kwa hapa...malori bila kusahau tochi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna barabara TZ unaweza kuendesha hizi spidi.....Hizi spidi ni za wenzetu huko Ujerumani na kwingineko ulimwenguni ambapo njia zao zina mpaka Six lanes upande mmoja...

Kwa miundo mbinu ya TZ ukiweza kiendesha 200/kph naamini hauta dumu na mwendo huo kwa zaidi ya dakika 3.....ndiyo maana maximum speed recommended kwa nchi yetu ni 80/kph kulingana na miundo mbinu....kona za hapa na hapa, mara punda anavuka...bumps za hapa kwa hapa...malori bila kusahau tochi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipande ukitoka kabuku kuelekea njia panda ya handeni nilishawahi kutembea 210 na BMW na pia Mombo ukienda Same

Jr[emoji769]
 
Kweli mkuu,
Nilienda mkoa na harrier old model yaan speed ikishapita 120 unaliskia kabisa linakimbia hadi unaogopa,
Ila gx100 au 110 unamaliza kisahani lkn unaona upo mwendo wa kawaida tu, yaan ruti ndefu siwezi enda na gari kubwa kwa kweli najionea kero saana maana mimi mbio ndio falsafa yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naaam GX110 ndio gari ya safari...unatembea 180 na bado gari inadai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna barabara TZ unaweza kuendesha hizi spidi.....Hizi spidi ni za wenzetu huko Ujerumani na kwingineko ulimwenguni ambapo njia zao zina mpaka Six lanes upande mmoja...

Kwa miundo mbinu ya TZ ukiweza kiendesha 200/kph naamini hauta dumu na mwendo huo kwa zaidi ya dakika 3.....ndiyo maana maximum speed recommended kwa nchi yetu ni 80/kph kulingana na miundo mbinu....kona za hapa na hapa, mara punda anavuka...bumps za hapa kwa hapa...malori bila kusahau tochi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipande ukitoka kabuku kuelekea njia panda ya handeni nilishawahi kutembea 210 na BMW na pia Mombo ukienda Same

Jr[emoji769]
 
Kuna gari zinachanganya haraka. Kuna siku nilitoka pale Terminal one hadi nafika hapo jet nina 160kph(wakati huo hapo hamna traffic lights) ilikuwa usiku naendesha Verossa.
Siku ingine nimetoka mataa ya chang'ombe hadi nafika hapo Sigara nina 160kph. Ukipata sehemu imenyooka km 2-3 gari nzuri za Europe 200kph sio issue
Mie pia ni mlevi wa Magari, najua KAMA umemaanisha kuchanganya fasta NAAKUBALIANA NA WEWE, sababu huwa nakuwaga na safar za usiku kwenda korogwe, na ninauzoefu huo wa kujua gar inayachanganya haraka ILA HILO LA KUFIKA MWENDOKASI WA 200Km/h KWA HAPA BONGO, USIWAONGOPEE WATU HUMU WAKAJA Kupigwa mi tochi na fain juu au kuhatarisha maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie pia ni mlevi wa Magari, najua KAMA umemaanisha kuchanganya fasta NAAKUBALIANA NA WEWE, sababu huwa nakuwaga na safar za usiku kwenda korogwe, na ninauzoefu huo wa kujua gar inayachanganya haraka ILA HILO LA KUFIKA MWENDOKASI WA 200Km/h KWA HAPA BONGO, USIWAONGOPEE WATU HUMU WAKAJA Kupigwa mi tochi na fain juu au kuhatarisha maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Weekend mbili zilizopita nilikuwa Tanga. Nimeenda usiku na siku narudi nimetembea usiku. Nafikiri unajua usiku hamna tochi. Sio kila usichojua hakipo.
 
Hakuna barabara TZ unaweza kuendesha hizi spidi.....Hizi spidi ni za wenzetu huko Ujerumani na kwingineko ulimwenguni ambapo njia zao zina mpaka Six lanes upande mmoja...

Kwa miundo mbinu ya TZ ukiweza kiendesha 200/kph naamini hauta dumu na mwendo huo kwa zaidi ya dakika 3.....ndiyo maana maximum speed recommended kwa nchi yetu ni 80/kph kulingana na miundo mbinu....kona za hapa na hapa, mara punda anavuka...bumps za hapa kwa hapa...malori bila kusahau tochi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni kuwa huwezi kushikilia mwendo huo kwa muda mrefu. Ila unafikisha. Mbona hapa hapa Dar tu usiku tunatembea hadi 160kph.....kuna gari dakika chache mshale unalala
 
Ukweli ni kuwa huwezi kushikilia mwendo huo kwa muda mrefu. Ila unafikisha. Mbona hapa hapa Dar tu usiku tunatembea hadi 160kph.....kuna gari dakika chache mshale unalala
Gari zenyewe hizo za Toyota.......fuatilieni kwa makini baadhi ya magari ya toyota ...hovyo sana....mshale unalala160kph lakini kiuhalisi lipo 120

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gari zenyewe hizo za Toyota.......fuatilieni kwa makini baadhi ya magari ya toyota ...hovyo sana....mshale unalala160kph lakini kiuhalisi lipo 120

Sent using Jamii Forums mobile app
Oh labda, mimi sio mtaalamu wa calibration. Sometimes Toyota sometimes Germany machine
IMG_20190331_094747.jpg
 
Back
Top Bottom