Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole dingilai kwa kuzinguliwa...
Binafsi ni kuambie dunia ya sasa ya utandawazi hakuna chochote kinachozingua kama una hela....
Ila kama huna hela hata vitz old model utaiona ni jini.....Wengi wanahofia spea za hayo magari.
Kama umejipanga vuta chombo....
Watanzania tuna mentality moja mbaya sana na inatudumaza...
Inashangaza mtu anaingia mtandaoni anaagiza gari kwa milioni za hela....ikizingua spea ya laki tano ikakosekana madukana...akili inaziba katika suala la kuagiza..
Sijui tunakwama wapi..

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila kitu hela inaweza kununua Mkuu! Na pia sio kila mwenye concern ana tatizo la hela!

Ishu ni value for money ndo mana watu wanapata concern!

Ndo mana wanasema kuuliza sio ujinga!
 
Hapana kuna watu walinijambia Mkuu ndo mana mipango bado ila saivi kama kawa nimekuja na comeback ya hatari sio kwnye levo za Mk, B7 tena!.

saivi tuongee kuhusu F10.....we kama mtaalam wa hizi kazi ukinipa "Technical Go Ahead" nitashukuru sana.
Pia in comparison, unaruhusiwa kuongea kuhusu F30 mwaka uleule sishuki chini ya 2k13!

Stock location ni Singapore!

Karibu!
Boeing kakupa ushauri mzuri. Ukiniuliza mimi ushauri wangu gari ikiwa mpya matatizo yanapungua. Wengi tunapata shida kwasababu tunanunua gari kuukuu sana. Hata mimi bajeti ingeruhusu 2014 mwisho.(5yrs old or less)
 
Sio kila kitu hela inaweza kununua Mkuu! Na pia sio kila mwenye concern ana tatizo la hela!

Ishu ni value for money ndo mana watu wanapata concern!

Ndo mana wanasema kuuliza sio ujinga!
Nakubaliana na wewe....mashine yoyote ikiwa mpya au inakaribia upya nikimaanisha imetumika kidogo....inakuwa ni value for money.... especially kama utaagiza mwenyewe nje....si za humu ndani ya nchi...sisi hatuaminiki kabisaa.
Magari karibu yoye ya miaka ya karibuni ni value for money endapo utapata ambalo halijachokonolewa.

Ndiyo maana nilisema kama hela ipo we vuta chombo...mambo mengine sijui service, spare yatajiset automatically as long as pochi ina mbavu nene.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boeing kakupa ushauri mzuri. Ukiniuliza mimi ushauri wangu gari ikiwa mpya matatizo yanapungua. Wengi tunapata shida kwasababu tunanunua gari kuukuu sana. Hata mimi bajeti ingeruhusu 2014 mwisho.(5yrs old or less)
Sawa Mkuu nimekusoma vizuri ndo napenda kuomba ushauri kabla ya kujilipua.

Assume kua bajeti inaruhusu unaweza kununya ambalo sio kuukuu sana....sasa;

Unaweza kufanya overall comparison ya F10 na F30 ktk mazingira halisi ya hapa Tanganyika?

Ukiachana na fact kua moja ni kubwa moja dogo?

Tumia muda wako kunielezea kwa kirefu kama hutojali Mkuu!
 
Nakubaliana na wewe....mashine yoyote ikiwa mpya au inakaribia upya nikimaanisha imetumika kidogo....inakuwa ni value for money....especialky kama utaagiza mwenyewe nje....si za humu ndani ya nchi...sisi hatuaminiki kabisaa.
Magari karibu yoye ya miaka ya karibuni ni value for money endapo uyapata ambalo halijachokonolewa.

Ndiyo maana nilisema kama hela ipo we vuta chombo...mambo mengine sijui service, spare yatajiset automatically as long as pochi ina mbavu nene.

Sent using Jamii Forums mobile app
Service/Maintance/Spea inaweza kua gharama kubwa sema sio case mana ni mara moja kwa mwaka au muda fulani....

Ila kuna zile kila wiki upo gereji hata kama mfuko wenyewe japo ni mbavu lakini unachoka!

Ndo mana nikasema niulize sijekua ni kila wiki unahamia gereji. Ila nimekusoma.

Vp Mkuu ushawai kuagiza za Singapore?

Mbona gari nyingi za kule Singapore odometer inasomaga kilometer ndogo sana ama wamezichokonoa? Ama kule hawaendeshagi sana?

Na Japan vs Singapore wapi gari zao quality?
 
Sawa Mkuu nimekusoma vizuri ndo napenda kuomba ushauri kabla ya kujilipua.

Assume kua bajeti inaruhusu unaweza kununya ambalo sio kuukuu sana....sasa;

Unaweza kufanya overall comparison ya F10 na F30 ktk mazingira halisi ya hapa Tanganyika?

Ukiachana na fact kua moja ni kubwa moja dogo?

Tumia muda wako kunielezea kwa kirefu kama hutojali Mkuu!
F10 vs F30 faida ni ukubwa wa F10 kwasababu engine ni zile zile. Mtu mzima unahitaji F10.
 
Service/Maintance/Spea inaweza kua gharama kubwa sema sio case mana ni mara moja kwa mwaka au muda fulani....

Ila kuna zile kila wiki upo gereji hata kama mfuko wenyewe japo ni mbavu lakini unachoka!

Ndo mana nikasema niulize sijekua ni kila wiki unahamia gereji. Ila nimekusoma.

Vp Mkuu ushawai kuagiza za Singapore?

Mbona gari nyingi za kule Singapore odometer inasomaga kilometer ndogo sana ama wamezichokonoa? Ama kule hawaendeshagi sana?

Na Japan vs Singapore wapi gari zao quality?
Hapana sijawahi kuagiza Singapore....mwisho wangu Japan ndipo nilipoagiza....
Ila nimewahi kusoma huku watu wakisema tofauti ya Singapore na japan ni bei...
Mara nyingi Singapore wana bei kubwa....
Kwa mfano unaweza kukuta gari Beforward linauzwa mfano CIF 3000 usd...gari hilo hilo na sifa hizo hizo kule Singapore unaweza kuta lina CIF 4000usd.

Kuhusu kuchokonoa Odometer wenzetu hawana hizo tabia ...ni nadra sana..

Tatizo la kuchezea Odometer lipo hapa nyumbani na Dubai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana sijawahi kuagiza Singapore....mwisho wangu Japan ndipo nilipoagiza....
Ila nimewahi kusoma huku watu wakisema tofauti ya Singapore na japan ni bei...
Mara nyingi Singapore wana bei kubwa....
Kwa mfano unaweza kukuta gari Beforward linauzwa mfano CIF 3000 usd...gari hilo hilo na sifa hizo hizo kule Singapore unaweza kuta lina CIF 4000usd.

Kuhusu kuchokonoa Odometer wenzetu hawana hizo tabia ...ni nadra sana..

Tatizo la kuchezea Odometer lipo hapa nyumbani na Dubai.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Mkuu....ndo mana nikauliza kabda kule kwakua bei zao ni kubwa mayb quality yao ni kubwa zaidi ya Japan..

Okay Mkuu, kati ya F10 na F30 mwaka 2013, your pick please and why!

Thank You.
 
Asante Mkuu....ndo mana nikauliza kabda kule kwakua bei zao ni kubwa mayb quality yao ni kubwa zaidi ya Japan..

Okay Mkuu, kati ya F10 na F30 mwaka 2013, your pick please and why!

Thank You.
Tunaharibu uzi wa TAKO LA NYANI
 
F10 vs F30 faida ni ukubwa wa F10 kwasababu engine ni zile zile. Mtu mzima unahitaji F10.
"Mtu mzima" unamaanisha mzee ama mwenye kuanzia 18?

Kuachana na faida ya ukubwa,

assume normal maintainance cost ya f30 ni Tsh 1, ya F10 inaweza kua Tsh 2 yani dabo ya F30 ama kwakua engine ni almost the same basi running & maintanance costs zinaweza kua sawa?
 
Asante Mkuu....ndo mana nikauliza kabda kule kwakua bei zao ni kubwa mayb quality yao ni kubwa zaidi ya Japan..

Okay Mkuu, kati ya F10 na F30 mwaka 2013, your pick please and why!

Thank You.
Kulingana na taarifa za watumiaji wa haya magari huko mitandaoni...
If I were you, I would go for F10 coz ina space ya kutosha kuliko F30 na ni confortable zaidi kutokana na weelbase yake na ni luxury na sport while f30 ni sport.
Moreover, zote zinatumia engine moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Braza mshana hy harrier new model ya mkononi kwa namba D chini ya 20 kwenda mbele hupati, na hy 20 ni kwa zile zenye cc 3000.
 
Back
Top Bottom