Nadhani utamu wake umekolezwa na neno TAKO! [emoji87][emoji85][emoji848][emoji144]nimewaza tu kwa sauti[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Ya hii kutokana kuwa ndio gari inayopendwa sana na wabongo Road zimejaaa mikoa yote ukienda unakutana nazo kwa wingi......
ukiangalia Report za magari Toyota harrier imeshika namba 2 huku namba 1 ikishikiliwa na Toyota IST..... Kwa kununukia kwa wingi.
Social>
Hizi Gari Comfortable sana.....View attachment 1052399View attachment 1052400View attachment 1052401View attachment 1052402View attachment 1052403View attachment 1052405
Hii gari ikiwa kwenye Foleni usipo kuwa makini unaweza kugonga.....inachanganya haraka sana......
Bei gani?Me ninayo ni VVti engine 2400cc, Petrol namb CCL
Kilomita 78,000
Ina Screen Mbili, Na main ambayo ni tablet ina tumia internet, Wifi, Bluetooth Na mtungi mkubwa Nyuma.
Sport rims.
Ina tumia mafuta Kidogo...!
Haijawahi
Bei ya kawaida tu..
Nipo Pugu, Dar es salaam.
0746 785 704/ 0657 230355 zote natumia kwa whatsup, Calls na Msg.
View attachment 1053255View attachment 1053256View attachment 1053257View attachment 1053258View attachment 1053259
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa nimemfata whatsApp eti gari anaiuza M25. Sasa sijui showroom wataiuza M50??!!!!. Mi naona kati ya M10 hadi 15 ndiyo hela inamfaa. Huo usajili wa CLL ni wa mwaka 2012 mwishoni au 2013 mwanzoni. Gari ushaitumia kama miaka 7 alafu inauzwa bei ya showroom!!!!.Bei gani?
Jr[emoji769]
Biashara ya magari ni ujuzi ambao wengi hawanaHuyu jamaa nimemfata whatsApp eti gari anaiuza M25. Sasa sijui showroom wataiuza M50??!!!!. Mi naona kati ya M10 hadi 15 ndiyo hela inamfaa. Huo usajili wa CLL ni wa mwaka 2012 mwishoni au 2013 mwanzoni. Gari ushaitumia kama miaka 7 alafu inauzwa bei ya showroom!!!!.
SureWatu wamezinunua mno zitakuwa kama sare ya taifa sasa
Jr[emoji769]
Hakunaga gari ya pekeyako, labda ukaagizie kiwandani, Hata hiyo BMW ulonayo watu wanazo kibaoBMW exclusively the beast... Not for everybody [emoji848][emoji848][emoji144]
Jr[emoji769]
Better not exceed 100km/h na kama unafamilia nashauri....NASHAURI......GO 70-90Km/h... Niamini mmNinayo na mimepanga kwenda nayo Mbeya from Dar na Kurudi nipite Dodoma ndo nirudi Dar mwezi wa nne. Kwa comments za watu humu inabidi nitembee not more than 100Km/h maana nitakuwa na familia. Honger Mshana Jr kwa bandiko lako.
Weeeeee Tz hii hii !?? Barabara gani!?Ya kutoka wapi kwenda wapi!??? Na jamaa wa kukubetisha vikaratasi vya overspeed kwa tsh 30000 fine bill wapo wapi wakat wewe unatembea 200km/h????Mimi na bmw na naenda 200km/hr na gari haipepesuki ni imara barabarani