Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Ya hii kutokana kuwa ndio gari inayopendwa sana na wabongo Road zimejaaa mikoa yote ukienda unakutana nazo kwa wingi......


ukiangalia Report za magari Toyota harrier imeshika namba 2 huku namba 1 ikishikiliwa na Toyota IST..... Kwa kununukia kwa wingi.

Social>


Hizi Gari Comfortable sana.....View attachment 1052399View attachment 1052400View attachment 1052401View attachment 1052402View attachment 1052403View attachment 1052405


Hii gari ikiwa kwenye Foleni usipo kuwa makini unaweza kugonga.....inachanganya haraka sana......
Nadhani utamu wake umekolezwa na neno TAKO! [emoji87][emoji85][emoji848][emoji144]nimewaza tu kwa sauti[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Jr[emoji769]
 
Hazitulii barabarani...nbora mtu anunue kluger na sio harrier....watu wanafurahia vyenye iko inaweza kushika ,wendo kwa haraka ila wanasau kuwa stability yake njian sio poa. Sio gari za kununua kama unapenda mbio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me ninayo ni VVti engine 2400cc, Petrol namb CCL
Kilomita 78,000
Ina Screen Mbili, Na main ambayo ni tablet ina tumia internet, Wifi, Bluetooth Na mtungi mkubwa Nyuma.
Sport rims.
Ina tumia mafuta Kidogo...!
Haijawahi
Bei ya kawaida tu..
Nipo Pugu, Dar es salaam.
0746 785 704/ 0657 230355 zote natumia kwa whatsup, Calls na Msg.

IMG_20190224_162514.jpeg
IMG_20190224_162446.jpeg
IMG_20190224_162641.jpeg
IMG_20190224_162606.jpeg
IMG_20190224_162700.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me ninayo ni VVti engine 2400cc, Petrol namb CCL
Kilomita 78,000
Ina Screen Mbili, Na main ambayo ni tablet ina tumia internet, Wifi, Bluetooth Na mtungi mkubwa Nyuma.
Sport rims.
Ina tumia mafuta Kidogo...!
Haijawahi
Bei ya kawaida tu..
Nipo Pugu, Dar es salaam.
0746 785 704/ 0657 230355 zote natumia kwa whatsup, Calls na Msg.

View attachment 1053255View attachment 1053256View attachment 1053257View attachment 1053258View attachment 1053259

Sent using Jamii Forums mobile app
Bei gani?

Jr[emoji769]
 
Huyu jamaa nimemfata whatsApp eti gari anaiuza M25. Sasa sijui showroom wataiuza M50??!!!!. Mi naona kati ya M10 hadi 15 ndiyo hela inamfaa. Huo usajili wa CLL ni wa mwaka 2012 mwishoni au 2013 mwanzoni. Gari ushaitumia kama miaka 7 alafu inauzwa bei ya showroom!!!!.
Biashara ya magari ni ujuzi ambao wengi hawana

Jr[emoji769]
 
Be forward wanaziuza Fea sana hizi Gari M 15.970K CIF ya TANGA unaandaa ML 20 chuma kinakua Road lakini ukienda Showrooms za Bongo kuanzia M25-29

Ref No BG160346

Chassis #ACU35-0001781

Model Code UA-ACU35W

Find parts for this model code

Version / Class 240G L PACKAGE

Engine Code 2AZ

Mileage 94,599km

Engine Size 2,360cc

Registration Year * 2003 / 3

Manufacture Year **2003 / 3

Ext. Color Pearl

Wheel Drive 4wheel drive

Transmission Automatic

Location YOKOHAMA

Steering Right

Fuel Petrol

Seats 5

Doors 5



IMG_20190330_231229_672.jpeg
IMG_20190330_231315_481.jpeg
 
Ninayo na mimepanga kwenda nayo Mbeya from Dar na Kurudi nipite Dodoma ndo nirudi Dar mwezi wa nne. Kwa comments za watu humu inabidi nitembee not more than 100Km/h maana nitakuwa na familia. Honger Mshana Jr kwa bandiko lako.
Better not exceed 100km/h na kama unafamilia nashauri....NASHAURI......GO 70-90Km/h... Niamini mm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii gari nzito sana kwenye kuovertake na high speed cornering

Sent using Boeing 737-MAX 8
 
Back
Top Bottom