Kuna gari zinachanganya haraka. Kuna siku nilitoka pale Terminal one hadi nafika hapo jet nina 160kph(wakati huo hapo hamna traffic lights) ilikuwa usiku naendesha Verossa.Weeeeee Tz hii hii !?? Barabara gani!?Ya kutoka wapi kwenda wapi!??? Na jamaa wa kukubetisha vikaratasi vya overspeed kwa tsh 30000 fine bill wapo wapi wakat wewe unatembea 200km/h????View attachment 1058575View attachment 1058577
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu kama hujaelewa kitu uliza upate ufafanuziHakunaga gari ya pekeyako, labda ukaagizie kiwandani, Hata hiyo BMW ulonayo watu wanazo kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa nyingi mjini ndio sababu ilisababisha nisiinunue na kuchukua bmw ingawa nilikuwa naipenda sana harrier
Hakuna barabara TZ unaweza kuendesha hizi spidi.....Hizi spidi ni za wenzetu huko Ujerumani na kwingineko ulimwenguni ambapo njia zao zina mpaka Six lanes upande mmoja...Mimi na bmw na naenda 200km/hr na gari haipepesuki ni imara barabarani
Kuna kipande ukitoka kabuku kuelekea njia panda ya handeni nilishawahi kutembea 210 na BMW na pia Mombo ukienda SameHakuna barabara TZ unaweza kuendesha hizi spidi.....Hizi spidi ni za wenzetu huko Ujerumani na kwingineko ulimwenguni ambapo njia zao zina mpaka Six lanes upande mmoja...
Kwa miundo mbinu ya TZ ukiweza kiendesha 200/kph naamini hauta dumu na mwendo huo kwa zaidi ya dakika 3.....ndiyo maana maximum speed recommended kwa nchi yetu ni 80/kph kulingana na miundo mbinu....kona za hapa na hapa, mara punda anavuka...bumps za hapa kwa hapa...malori bila kusahau tochi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naaam GX110 ndio gari ya safari...unatembea 180 na bado gari inadaiKweli mkuu,
Nilienda mkoa na harrier old model yaan speed ikishapita 120 unaliskia kabisa linakimbia hadi unaogopa,
Ila gx100 au 110 unamaliza kisahani lkn unaona upo mwendo wa kawaida tu, yaan ruti ndefu siwezi enda na gari kubwa kwa kweli najionea kero saana maana mimi mbio ndio falsafa yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipande ukitoka kabuku kuelekea njia panda ya handeni nilishawahi kutembea 210 na BMW na pia Mombo ukienda SameHakuna barabara TZ unaweza kuendesha hizi spidi.....Hizi spidi ni za wenzetu huko Ujerumani na kwingineko ulimwenguni ambapo njia zao zina mpaka Six lanes upande mmoja...
Kwa miundo mbinu ya TZ ukiweza kiendesha 200/kph naamini hauta dumu na mwendo huo kwa zaidi ya dakika 3.....ndiyo maana maximum speed recommended kwa nchi yetu ni 80/kph kulingana na miundo mbinu....kona za hapa na hapa, mara punda anavuka...bumps za hapa kwa hapa...malori bila kusahau tochi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie pia ni mlevi wa Magari, najua KAMA umemaanisha kuchanganya fasta NAAKUBALIANA NA WEWE, sababu huwa nakuwaga na safar za usiku kwenda korogwe, na ninauzoefu huo wa kujua gar inayachanganya haraka ILA HILO LA KUFIKA MWENDOKASI WA 200Km/h KWA HAPA BONGO, USIWAONGOPEE WATU HUMU WAKAJA Kupigwa mi tochi na fain juu au kuhatarisha maisha.Kuna gari zinachanganya haraka. Kuna siku nilitoka pale Terminal one hadi nafika hapo jet nina 160kph(wakati huo hapo hamna traffic lights) ilikuwa usiku naendesha Verossa.
Siku ingine nimetoka mataa ya chang'ombe hadi nafika hapo Sigara nina 160kph. Ukipata sehemu imenyooka km 2-3 gari nzuri za Europe 200kph sio issue
Kama ni mpenda mwendokasi/speed hizo ndio gar maana Ukilifungua linakubali.......VIVA GX 110Naaam GX110 ndio gari ya safari...unatembea 180 na bado gari inadai
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji12] [emoji107]Kuna kipande ukitoka kabuku kuelekea njia panda ya handeni nilishawahi kutembea 210 na BMW na pia Mombo ukienda Same
Jr[emoji769]
Weekend mbili zilizopita nilikuwa Tanga. Nimeenda usiku na siku narudi nimetembea usiku. Nafikiri unajua usiku hamna tochi. Sio kila usichojua hakipo.Mie pia ni mlevi wa Magari, najua KAMA umemaanisha kuchanganya fasta NAAKUBALIANA NA WEWE, sababu huwa nakuwaga na safar za usiku kwenda korogwe, na ninauzoefu huo wa kujua gar inayachanganya haraka ILA HILO LA KUFIKA MWENDOKASI WA 200Km/h KWA HAPA BONGO, USIWAONGOPEE WATU HUMU WAKAJA Kupigwa mi tochi na fain juu au kuhatarisha maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana unapoteza muda na huyo mjuaji.Kuna kipande ukitoka kabuku kuelekea njia panda ya handeni nilishawahi kutembea 210 na BMW na pia Mombo ukienda Same
Jr[emoji769]
Ukweli ni kuwa huwezi kushikilia mwendo huo kwa muda mrefu. Ila unafikisha. Mbona hapa hapa Dar tu usiku tunatembea hadi 160kph.....kuna gari dakika chache mshale unalalaHakuna barabara TZ unaweza kuendesha hizi spidi.....Hizi spidi ni za wenzetu huko Ujerumani na kwingineko ulimwenguni ambapo njia zao zina mpaka Six lanes upande mmoja...
Kwa miundo mbinu ya TZ ukiweza kiendesha 200/kph naamini hauta dumu na mwendo huo kwa zaidi ya dakika 3.....ndiyo maana maximum speed recommended kwa nchi yetu ni 80/kph kulingana na miundo mbinu....kona za hapa na hapa, mara punda anavuka...bumps za hapa kwa hapa...malori bila kusahau tochi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unambishia mwenye BMW kufikisha 200kph unasifia GX110 kufikisha 180kph! SMHKama ni mpenda mwendokasi/speed hizo ndio gar maana Ukilifungua linakubali.......VIVA GX 110
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari zenyewe hizo za Toyota.......fuatilieni kwa makini baadhi ya magari ya toyota ...hovyo sana....mshale unalala160kph lakini kiuhalisi lipo 120Ukweli ni kuwa huwezi kushikilia mwendo huo kwa muda mrefu. Ila unafikisha. Mbona hapa hapa Dar tu usiku tunatembea hadi 160kph.....kuna gari dakika chache mshale unalala
Oh labda, mimi sio mtaalamu wa calibration. Sometimes Toyota sometimes Germany machineGari zenyewe hizo za Toyota.......fuatilieni kwa makini baadhi ya magari ya toyota ...hovyo sana....mshale unalala160kph lakini kiuhalisi lipo 120
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuuNaaam GX110 ndio gari ya safari...unatembea 180 na bado gari inadai
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie huyo, hajawahi pita hiyo njia labda, mimi ilo eneo nilimaliza speed zote 180 na gx100 chaserKuna kipande ukitoka kabuku kuelekea njia panda ya handeni nilishawahi kutembea 210 na BMW na pia Mombo ukienda Same
Jr[emoji769]
Hajui tuu huyo, hata kipande kutoka m'buyuni hadi africana njia ya tegeta unajikuta uko 150kphUkweli ni kuwa huwezi kushikilia mwendo huo kwa muda mrefu. Ila unafikisha. Mbona hapa hapa Dar tu usiku tunatembea hadi 160kph.....kuna gari dakika chache mshale unalala