mwisho2016
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 724
- 625
ungefafanua MkuuHizi gari nyingine muwe mnaachia akina dada. Kwasababu wanawake wako makini(waoga). Mwanaume mguu mzito chukua gari ambayo iko stable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ungefafanua MkuuHizi gari nyingine muwe mnaachia akina dada. Kwasababu wanawake wako makini(waoga). Mwanaume mguu mzito chukua gari ambayo iko stable
Sister vp kwani?
Mshana hujaweza picha ya hilo tako.Kwa wale wasiojua Harrier TAKO LA NYANI hii hapa
Jr[emoji769]
Mshana hujaweza picha ya hilo tako.Kwa wale wasiojua Harrier TAKO LA NYANI hii hapa
Jr[emoji769]
1st page ipoMshana hujaweza picha ya hilo tako.
Tuwekee tuifahamu na sie wa Shinyanga
Kama unapenda mabio nunua Sedan kama Crown,Brevis,Mark X. Gari za juu kama Harrier,Rav 4 sio nzuri kwa racing.ungefafanua Mkuu
Resend please. Inawezakua ni macho yangu lkn 1st page sijaona kitu.1st page ipo
Hizi mashine ni balaa...unaweza kuwa 190kph bila kujua ukiangalia speedometer ndio unashtuka!
Tupia kapicha mkuuNi gari nzuri sana ila ni family kind of car, chini suspension zote mpaka engine wana share na harrier.
Picha yake ikojeHizi gari ni ngumu sana na zinatulia barabarani. Kama wewe ni mpenzi wa Toyota huwezi elewa.
bora toyota fortunerNi gari nzuri sana ila ni family kind of car, chini suspension zote mpaka engine wana share na harrier.
kama ndo hivi sinunui harrier duh tako la nyani baya hivo.