Maoni yangu kuhusu Paul Makonda na Kigamboni

Maoni yangu kuhusu Paul Makonda na Kigamboni

Kinga nini bna kikubwa ni succession plan tu iwe njema ndio itakuhakikishia usingizi wako mambo ya kinga huoni kilichotokea malawi
 
Wana Kigamboni msimpitishe mtu huyu tayari jumuiya ya kimataifa inamtuhumu kwa kupindisha haki za raia.
 
Wana jamvi,

Niseme tu kwamba ninayo yasema hapa ni maoni yangu binafsi naweza kusahihishwa au la, ni kwamba Paul Makonda anaingia kugombea kwenye Jimbo ambalo alikuwepo Aliye wahi kuwa Naibu Waziri wa Afya, je huyo Waziri mstaafu hagombei tena kwa jimbo hilo?

Makonda kuonekana kugmbea huko sidhani kama kuna uwezekano wa kukatwa ila Waziri mstaafu ndiye anaweza akakatwa.

Kugombea kwa Paul Makonda kuna weza kunipa dira kuwa anaweza akapita na kuhakikisha anakuwa mbunge ili apewe u spika katika Bunge la Jamhuri yote haya anayatafuta ili na yeye apewe kinga ya kutoshtakiwa endapo kuna madudu na mambo mengine aliwahi kuyafanya akiwa Mkuu wa Mkoa maana wote hawa wakuu wa mihimili tayari wana kinga ya kutoshtakiwa.

Sasa hapa ndio panakuwa pagumu maana kwa lazima anaweza akahakikisha anapita ili apewe kinga.
Nikusahihishe au kukuelewa tu kua sheria za nchi hii Spika wa Bunge sio lazima awe Mbunge.
 
Wana jamvi,

Niseme tu kwamba ninayo yasema hapa ni maoni yangu binafsi naweza kusahihishwa au la, ni kwamba Paul Makonda anaingia kugombea kwenye Jimbo ambalo alikuwepo Aliye wahi kuwa Naibu Waziri wa Afya, je huyo Waziri mstaafu hagombei tena kwa jimbo hilo?

Makonda kuonekana kugmbea huko sidhani kama kuna uwezekano wa kukatwa ila Waziri mstaafu ndiye anaweza akakatwa.

Kugombea kwa Paul Makonda kuna weza kunipa dira kuwa anaweza akapita na kuhakikisha anakuwa mbunge ili apewe u spika katika Bunge la Jamhuri yote haya anayatafuta ili na yeye apewe kinga ya kutoshtakiwa endapo kuna madudu na mambo mengine aliwahi kuyafanya akiwa Mkuu wa Mkoa maana wote hawa wakuu wa mihimili tayari wana kinga ya kutoshtakiwa.

Sasa hapa ndio panakuwa pagumu maana kwa lazima anaweza akahakikisha anapita ili apewe kinga.
Tunaolalamika nchi haindeshwi vizuri, malalamiko yetu ni vs individuals ktk uendeshaji, au mfumo mzima?

Kama ni mfumo, tusihadaike na huku kuangushwa individuals. Inaweza kuwa ni distraction tu, tuache kufikiria the bigger picture. Bashites wakitoka mfumo upo tu.

Tujihadhari
 
Makonda anawanyima Usingizi sana Mafirauni, Wauza Unga, Wasio na Marinda, Wazee wa Shisha, Wazee wa Kutelekeza Familia nk.
Kijana mwenzako kwanini umchukie badala tuombeane heri maana sote tumeumbwa kwa mfano wa Mungu!
Kila lakheri Baba Keagan.
Madhila wanayopata WA upinzani imani yako inakuwa kama hivi?
 
Wana jamvi,

Niseme tu kwamba ninayo yasema hapa ni maoni yangu binafsi naweza kusahihishwa au la, ni kwamba Paul Makonda anaingia kugombea kwenye Jimbo ambalo alikuwepo Aliye wahi kuwa Naibu Waziri wa Afya, je huyo Waziri mstaafu hagombei tena kwa jimbo hilo?

Makonda kuonekana kugmbea huko sidhani kama kuna uwezekano wa kukatwa ila Waziri mstaafu ndiye anaweza akakatwa.

Kugombea kwa Paul Makonda kuna weza kunipa dira kuwa anaweza akapita na kuhakikisha anakuwa mbunge ili apewe u spika katika Bunge la Jamhuri yote haya anayatafuta ili na yeye apewe kinga ya kutoshtakiwa endapo kuna madudu na mambo mengine aliwahi kuyafanya akiwa Mkuu wa Mkoa maana wote hawa wakuu wa mihimili tayari wana kinga ya kutoshtakiwa.

Sasa hapa ndio panakuwa pagumu maana kwa lazima anaweza akahakikisha anapita ili apewe kinga.
Na bado.. Paukwa,, pakawa. Asanteni Kigamboni
Screenshot_20200720-210205.jpeg
 
Tunaolalamika nchi haindeshwi vizuri, malalamiko yetu ni vs individuals ktk uendeshaji, au mfumo mzima?

Kama ni mfumo, tusihadaike na huku kuangushwa individuals. Inaweza kuwa ni distraction tu, tuache kufikiria the bigger picture. Bashites wakitoka mfumo upo tu.

Tujihadhari

Mkuu nashukuru sana na maoni yako, naomba uyasikie yangu na ninavyo fahamu mfumo unavyo fanya kazi: KINYUME KABISA NA NINYI WENGI MNAVOTOA MAONI YENU , KWA UFUPI HIVI NDIVYO ILIVYO.

Mfumo wa uendeshaji nchi kwa miaka mitano iliyo pita ndiyo system inavyo fanya kazi kwa usahihi. NUKUULIZE WEWE: Kipi ungependa , utakacho kitaka mfumo unakupa au kinyume chakae?

JEE UTAPENDA KUISHI NA KELELE: Mfumo wa leo umefanya Mkulu atawale bila kelele za distraction za wapinzani ?

UPINZANI UTASIKILIZWA TUU KAMA: Unasema kinacho sumbuwa wananchi, mafanikio wanayasema na kushangilia na siyo vinginevyo.

JEE WEWE UTAPENDA UNATAWALA : Lakini mazuri yote unayoyafanya yanafinyangwa kama vile hufanyi chocho ?

JEE UNAFURAHIA MBOWE AKIONYESHWA MLEVI: Naamini hautovumilia picha za Mbowe zinazo onyesha amelewa Mbwiiii na anaonekana kama mjinga fulani hivi.

Na hiyo ndio dunia, adui yako muombee mabaya au vitu visivyopendeza. NA HAYO NDIO MAISHA NA NDIO POLITICS.
 
Wana jamvi,

Niseme tu kwamba ninayo yasema hapa ni maoni yangu binafsi naweza kusahihishwa au la, ni kwamba Paul Makonda anaingia kugombea kwenye Jimbo ambalo alikuwepo Aliye wahi kuwa Naibu Waziri wa Afya, je huyo Waziri mstaafu hagombei tena kwa jimbo hilo?

Makonda kuonekana kugmbea huko sidhani kama kuna uwezekano wa kukatwa ila Waziri mstaafu ndiye anaweza akakatwa.

Kugombea kwa Paul Makonda kuna weza kunipa dira kuwa anaweza akapita na kuhakikisha anakuwa mbunge ili apewe u spika katika Bunge la Jamhuri yote haya anayatafuta ili na yeye apewe kinga ya kutoshtakiwa endapo kuna madudu na mambo mengine aliwahi kuyafanya akiwa Mkuu wa Mkoa maana wote hawa wakuu wa mihimili tayari wana kinga ya kutoshtakiwa.

Sasa hapa ndio panakuwa pagumu maana kwa lazima anaweza akahakikisha anapita ili apewe kinga.

Una akili ndogo, u spika.no
 
Mkuu nashukuru sana na maoni yako, naomba uyasikie yangu na ninavyo fahamu mfumo unavyo fanya kazi: KINYUME KABISA NA NINYI WENGI MNAVOTOA MAONI YENU , KWA UFUPI HIVI NDIVYO ILIVYO.

Mfumo wa uendeshaji nchi kwa miaka mitano iliyo pita ndiyo system inavyo fanya kazi kwa usahihi. NUKUULIZE WEWE: Kipi ungependa , utakacho kitaka mfumo unakupa au kinyume chakae?

JEE UTAPENDA KUISHI NA KELELE: Mfumo wa leo umefanya Mkulu atawale bila kelele za distraction za wapinzani ?

UPINZANI UTASIKILIZWA TUU KAMA: Unasema kinacho sumbuwa wananchi, mafanikio wanayasema na kushangilia na siyo vinginevyo.

JEE WEWE UTAPENDA UNATAWALA : Lakini mazuri yote unayoyafanya yanafinyangwa kama vile hufanyi chocho ?

JEE UNAFURAHIA MBOWE AKIONYESHWA MLEVI: Naamini hautovumilia picha za Mbowe zinazo onyesha amelewa Mbwiiii na anaonekana kama mjinga fulani hivi.

Na hiyo ndio dunia, adui yako muombee mabaya au vitu visivyopendeza. NA HAYO NDIO MAISHA NA NDIO POLITICS.
Wana Dar es Salam muwe makini na huyu jamaa kwasasa hana kazi yeyote.Isije mkasema sijawakumbusha wekeni vitu vyenu vizuri.Anaweza akajiajili kwenye kazi hatarishi ilimradi mkono uende kinywani.
 
Wana Dar es Salam muwe makini na huyu jamaa kwasasa hana kazi yeyote.Isije mkasema sijawakumbusha wekeni vitu vyenu vizuri.Anaweza akajiajili kwenye kazi hatarishi ilimradi mkono uende kinywani.
Nakazia pia bila kusahau lile angalizo la Secretary Pompeo
 
Ndugulile aliambiwa siku "wewe ni Naibu Waziri wa wizara ya afya, jimboni kwako hakuna madaktari wala madawa".

Hii kauli ilikuwa ni ujumbe tosha kumchonganisha na wapiga kura wake.

Kama ana akili na busara angekaa pembeni. Kuna msemo unasema " mwenye nguvu mpishe".

Bashite anashinda mchana kweupe kwa mbeleko ya baba.
Hahahaha watanzania wana akili kwa sasa
 
Makonda anawanyima Usingizi sana Mafirauni, Wauza Unga, Wasio na Marinda, Wazee wa Shisha, Wazee wa Kutelekeza Familia nk.
Kijana mwenzako kwanini umchukie badala tuombeane heri maana sote tumeumbwa kwa mfano wa Mungu!
Kila lakheri Baba Keagan.
Kunywa maji ulale relax
 
Mkuu hili ni suala pana kidogo lakini ukweli unabaki suala lolote linapopitishwa kuwa sheria basi tunalazimika kufuata hata kama hatulipendi.
hili suala ni la kisheria na napata taabu kuliweka kiswahili but you should read the following to be able to exactly know how the law works.

Scholars of the law, like myself, understand that law is politics. That in fact law is a servant of politics, and not the other way round.

This point should be completely uncontroversial because it’s Jurisprudence 101.

If you think of the law as an instrument for organizing, changing, regulating, perpetuating, governing and preserving a society and its basic civilisation, then your heart won’t be broken by this column.

But if you think of the law as some kind of church doctrine that’s pure, neutral, unbiased, apolitical, and beyond fallibility, then you are going to end up in tears.



CLASS IMPOSITION

The law doesn’t exist or live, in a vacuum. Nor does it materialise out of thin air. The law is based on a society’s norms, which are drawn from its dominant civilization. Norms are fountains of knowledge and wisdom in which the law is sheathed. The law can protect you, or harm you. Like a sword, it’s double-edged and cuts both ways. It’s indeterminate. That’s why laws and norms are end products of political processes. They are the distillation of social, ethical, religious or class-based interests of elites. Often, laws are a class imposition by a hegemonic group, or elites in society over subordinate, or subaltern, strata. Some examples are blatant.

Colonial laws were openly racist to preserve and perpetuate the exploitation and exclusion of blacks from the goods of society.

Laws are often gender-discriminatory. For instance, girls are often denied the right to inherit property.

In some countries, a woman citizen cannot by law pass her citizenship to a child with a non-citizen man, while the man can. Under versions of sharia law, a woman isn’t fully human with all rights.

PROCEDURE

In a modern society, even a democratic one, laws are made by the political branches of the state.

Laws are passed by the legislature through elected representatives or by factotums in the executive, which is also a political arm of the state.

Thus, politicians or executive bureaucrats known as civil servants make, or interpret the law. Legislatively, all laws are products of compromises among contending social forces in society.


There’s a misunderstanding about what courts do. The notion of judicial independence – where the courts are the guardians of legality – doesn’t mean that judges aren’t political.

Nor does the principle of the rule of law remove politics from the judicial process. The rule of law means that laws must have a basic core minimum of fairness to safeguard basic human rights and due process protections.

Crucially, the rule of law requires that courts not be subject to executive fiat, arbitrariness, discrimination and opacity.

THE BENCH

But the rule of law doesn’t mean that judges leave their political biases, religious bigotries and political ideologies at the door. No – that’s not humanly possible when judges interpret the law.

Judges are inherently political beings. That’s why courts are political institutions. Courts are an arm of the state, which is a political institution.

That’s why good lawyers often predict how certain judges will rule based on their ideology and political philosophy.

In the Supreme Court of the United States, like all other courts world over, judges harbour ideological biases.

There’s never a doubt how Justice Clarence Thomas, a staunch Christian conservative, is likely to rule on most cases.

That’s why the Supreme Court Of The United States (SCOTUS) is often split 5-4 based on the political ideologies of judges

Sijui ni kwa nini umekuja na extract hii ambayo in reality is very contradictory na dhana nzima tunayoijadili hapa.

Kuna kila dalili kuwa hujui tunajadili nini hapa....

Na ni wazi kuwa hujafuatilia mtiririko wa mjadala na wale tunajadiliana....

Well, nikukumbushe....

Mleta mada alikuja na mada hii 👇 👇👇
Wana jamvi,

Niseme tu kwamba ninayo yasema hapa ni maoni yangu binafsi naweza kusahihishwa au la, ni kwamba Paul Makonda anaingia kugombea kwenye Jimbo ambalo alikuwepo Aliye wahi kuwa Naibu Waziri wa Afya, je huyo Waziri mstaafu hagombei tena kwa jimbo hilo?

Makonda kuonekana kugmbea huko sidhani kama kuna uwezekano wa kukatwa ila Waziri mstaafu ndiye anaweza akakatwa.

Kugombea kwa Paul Makonda kuna weza kunipa dira kuwa anaweza akapita na kuhakikisha anakuwa mbunge ili apewe u spika katika Bunge la Jamhuri yote haya anayatafuta ili na yeye apewe kinga ya kutoshtakiwa endapo kuna madudu na mambo mengine aliwahi kuyafanya akiwa Mkuu wa Mkoa maana wote hawa wakuu wa mihimili tayari wana kinga ya kutoshtakiwa.

Sasa hapa ndio panakuwa pagumu maana kwa lazima anaweza akahakikisha anapita ili apewe kinga.
Response yangu ya kwanza ilikuwa hii👇👇👇
Yote "labda" ni sawa...

Lakini nani kakuambia kuna kitu kinaitwa "kinga ya kutoshitakiwa!!??'

Hakuna mtu ambaye atatenda makosa hapa duniani na hususani Tanzania halafu asiwajibike kwa makosa yake, HAYUUUPO....!

Hii ni " natural principle ", hakuna wa kuitengua, hakuna sheria inayoweza kutungwa na binadamu itaitengua kanuni hii...!!.

Waliojitungia kanuni hii, hakuna neno sahihi la kuwa - describe zaidi ya kusema, NI WAJINGA, hawakujua watendalo....!

Tuliendelea kujibishana na wajumbe tofauti tofauti. Lakini hoja yangu na msimamo wangu haujayumba...

Lakini nashangaa wewe from nowhere unaleta hoja ambayo ni very irrelevant just because ndani ya maandishi hayo ya lugha ya kiingereza uliyoya kopi mahali fulani kuna maneno " law"kadhaa...

Nina hakika kabisa kuwa hata wewe huelewi hiyo "English Extract" uliyoipachika hapa imebeba mantiki gani ndani yake...

You just blindly copied it from somewhere kisha ukai - paste hapa bila hata kujua kama inahusiana na kinachojadiliwa kwa kiasi gani...

Hoja ya mleta mada ni rahisi. Inahusu watawala kujitungia sheria za kujilinda na kufunika maovu yao eti wasiwajibike kwa matendo yao.....

Hoja hii hata mtu wa darasa la pili anaweza kuielewa kwa urahisi na ku - argue kwa kupingana nayo kwa urahisi kabisa.....

Haihitaji hiki kitu ulichokileta kutoka kusikojulikana ili ku - brain wash watu na kisha ignorantly kuipachika kwenye mjadala isiyohusiana nayo...

Jibu la yote hayo ni hili;

Hakuna popote watu wanaweza kujitungia sheria za kujilinda na kufunika maovu yao eti wasiwajike kwayo.....

Natural principle inakataa. Natural principle inasema, kila mtu anawajibika kwa matendo yake ktk maisha yake...

Sheria hizo zisizoendana na "nature", zitawasaidia kwa muda fulani tu kama njia yao ya kujifariji lakini mwisho wa siku matendo yao mabaya yatawafuata mpaka ndani ya makaburi yao....

Yes, ukitenda HAKI utalipwa kwa HAKI yako....

Ukitenda UBAYA utalipa kwa UBAYA wako. No law on earth can protect your evil deeds....
Mkuu akirudi na hoja akaipangua hii ya kwako tafadhali nitag

BUSH BIN LADEN
Mimi siyo kama wewe bendera fuata upepo. Mimi natumia brain kufikiri. Kila kitu nakichunguza na lazima nipate majibu ya maswali haya; Who? What? Why? Where? How? & Which? ...

Jenga hoja ama pita zako tu kama hujui kitu

Nimemjibu. Wewe una maoni gani?

Kuna sheria duniani na mbinguni inayoweza kutungwa na mtu ama kikundi cha watu fulani kulinda uovu wao halafu wakati huo huo kuurithi ufalme wa mbunguni?

Najua huwezi kunielewa....
 
Sijui ni kwa nini umekuja na extract hii ambayo in reality is very contradictory na dhana nzima tunayoijadili hapa.

Kuna kila dalili kuwa hujui tunajadili nini hapa....

Na ni wazi kuwa hujafuatilia mtiririko wa mjadala na wale tunajadiliana....

Well, nikukumbushe....

Mleta mada alikuja na mada hii 👇 👇👇

Response yangu ya kwanza ilikuwa hii👇👇👇


Tuliendelea kujibishana na wajumbe tofauti tofauti. Lakini hoja yangu na msimamo wangu haujayumba...

Lakini nashangaa wewe from nowhere unaleta hoja ambayo ni very irrelevant just because ndani ya maandishi hayo ya lugha ya kiingereza uliyoya kopi mahali fulani kuna maneno " law"kadhaa...

Nina hakika kabisa kuwa hata wewe huelewi hiyo "English Extract" uliyoipachika hapa imebeba mantiki gani ndani yake...

You just blindly copied it from somewhere kisha ukai - paste hapa bila hata kujua kama inahusiana na kinachojadiliwa kwa kiasi gani...

Hoja ya mleta mada ni rahisi. Inahusu watawala kujitungia sheria za kujilinda na kufunika maovu yao eti wasiwajibike kwa matendo yao.....

Hoja hii hata mtu wa darasa la pili anaweza kuielewa kwa urahisi na ku - argue kwa kupingana nayo kwa urahisi kabisa.....

Haihitaji hiki kitu ulichokileta kutoka kusikojulikana ili ku - brain wash watu na kisha ignorantly kuipachika kwenye mjadala isiyohusiana nayo...

Jibu la yote hayo ni hili;

Hakuna popote watu wanaweza kujitungia sheria za kujilinda na kufunika maovu yao eti wasiwajike kwayo.....

Natural principle inakataa. Natural principle inasema, kila mtu anawajibika kwa matendo yake ktk maisha yake...

Sheria hizo zisizoendana na "nature", zitawasaidia kwa muda fulani tu kama njia yao ya kujifariji lakini mwisho wa siku matendo yao mabaya yatawafuata mpaka ndani ya makaburi yao....

Yes, ukitenda HAKI utalipwa kwa HAKI yako....

Ukitenda UBAYA utalipa kwa UBAYA wako. No law on earth can protect your evil deeds....


BUSH BIN LADEN
Mimi siyo kama wewe bendera fuata upepo. Mimi natumia brain kufikiri. Kila kitu nakichunguza na lazima nipate majibu ya maswali haya; Who? What? Why? Where? How? & Which? ...

Jenga hoja ama pita zako tu kama hujui kitu

Nimemjibu. Wewe una maoni gani?

Kuna sheria duniani na mbinguni inayoweza kutungwa na mtu ama kikundi cha watu fulani kulinda uovu wao halafu wakati huo huo kuurithi ufalme wa mbunguni?

Najua huwezi kunielewa....
Napata taabu, unavyodhani sio kweli. Mimi ni muandishi kwa kiasi changu mzuri kwa kiingereza na kiswahili wengi tunapata taabu katika kuwakilisha.
Ila nimengundua wewe ni mbishi na samahani inawezekana you are non _ professional. Pole. Hapa nilitaka nipate mawazo yako wewe na sio kuzungumzia what i have pen down. Nafikiri inatosha mimi sijakuelewa na sinto kuelewa.

KUMBUKA NA FUATILIA HILI.

Mwaka 1995 CCM ilishinda uchaguzi Kigoma, Chadema wakaenda Mahakamani kupinga Matokea, na point yao kubwa ni kuwa Mbunge aliyeshinda wa CCM alikuwa ana matatiza ya urai mbali ya kuwa amezaliza Kigoma.

Chadema walishinda kesi hiyo, na Walid Kaburu akawa Mbunge, na ndiye aliyekuwa Mbunge wa kwanza wa Chadema Jimbo la uchaguzi la Kigoma Mjini.

FUATILIA KILICHOTOKEA.

CCM wakalipiza kisasi, idadi ya wanasiasa wengi wa mipakani wa Upinzani ambapo Sheria hiyo ilikuwa hawaishughuliki wakasafishwa kwa Upande wa Upinzani. Wahanga ni wengi pamoja na Jenerali Ulimwengu, Mawaziri na watu wengi walio watilia shaka wapo upinzani wakawa kwenye taabu kubwa. Jenerali Ulimwengu Mbali ya kuwa alikuwa Balozi wa Tanzania Algeria lakini wakapoteza Uraia wa Tanzania. Na kikwete ndio aliyewarudishia uraia huo.

BAADA YA KUSAFISHA NA KULIPA KISASI

Sheria ya uhamiaji imebadilika na kuruhusu watu wengi ambao kabla wangekuwa sio raia, Uraia wao ukahalalishwa. Kwa kuwa kwa kusomeka vifungu vya sheria vya Zamani seriously, hata Mzee Mkapa alikuwa sio Mtanzania.
Serikali ika halilisha Uraia wa watu wengi kwa mara mnoja na tunakisia 15% ya Watanzania kwa wakati mmoja wakawa Raia halali wa Tanzania.

Na kuanzia hapo kesi za kumshitaki Mtu kuwa sio raia wa Tanzania aliyekuja nchi hii kabla ya mwaka 1961 utasumbuka sana kushinda Mahakamani, tofati sana na sheria ya urai ya kikoloni.
 
Back
Top Bottom