jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Naona kuna baadhi yetu tunashabikia uchaguzi wa Kenya bila kuwa na critical analysis.
Kwangu mimi naona uchaguzi huu wakenya wameshafikishwa hatua ya kutokuwa na choice au niseme wana choice ya nani mzuri zaidi kati ya ubaya.
Hatuna la kujifunza hapo!!
SAD BUT TRUTH
Kwangu mimi naona uchaguzi huu wakenya wameshafikishwa hatua ya kutokuwa na choice au niseme wana choice ya nani mzuri zaidi kati ya ubaya.
Hatuna la kujifunza hapo!!
SAD BUT TRUTH