Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli nimekaa na kutafakari kwa kina juu ya nani hasa anayeweza kufaa kuchukua nafasi ya Mbowe ya uenyekiti wa CHADEMA taifa na kujiridhisha kuwa ndugu Tundu Lissu anaweza sana kuitwaa nafasi hiyo na kukiongoza chama kwa mafanikio zaidi kuelekea 2015.
kimsingi Vigezo muhimu nilichotumia ni
1.umahiri wa ndugu Lissu awapo bungeni na hata nje ya bunge katika kujenga hoja na kuisimamia.
2. Pia Lissu sijasikia akitajwa kwenye yanayodaiwa kuwa makundi ya wanaodaiwa kuusaka urais ndani ya cdm na hata nje ya cdm.
3.ana msismamo usioyumba wala kutikiswa na nguvu ya fedha wala umaarufu wa bandia.
4.hatoki pia kanda ya kaskazini hivyo atawazima wale wachache wanaobeba hoja mufilisi ya ukanda ndani ya cdm
5.atasaidia kuiinua CHADEMA katika kanda ya kati yaani mikoa ya singida,dodoma na manyara kwa kuleta hamasa
6.sio mtu mwenye ndimi mbili katika jambo moja.
Hizi ni baadhi tuu ya sifa chache nilizoziona kwa ndugu huyu mabazo kwakweli pamoja na nyingine nyingi nimeshawishika na kuamini kuwa anaweza kuiongoza CHADEMA kwa mafanikio makubwa.
Naomba maoni yenu
Hayakuhusu tuachie wenyewe wewe endelea na wizi wenu wa nyara za serikalihee!! umetumwa wewe si bure
Swala siyo nani anaweza kuwa mwenyekiti mzuri. Swala ni je Mtei atamkubali?
Mzee wa watu kaanzisha chama kwa gahrama kubwa sana, msimuingilie kwenye maamuzi yake.
Lema atafit uenyekiti. Ana kila sifa - hekima na kipaji cha uongozi. Ni mtu makini asiyekurupuka. Lema ni zaidi ya Mbowe.
Kwakweli nimekaa na kutafakari kwa kina juu ya nani hasa anayeweza kufaa kuchukua nafasi ya Mbowe ya uenyekiti wa CHADEMA taifa na kujiridhisha kuwa ndugu Tundu Lissu anaweza sana kuitwaa nafasi hiyo na kukiongoza chama kwa mafanikio zaidi kuelekea 2015.
kimsingi Vigezo muhimu nilichotumia ni
1.umahiri wa ndugu Lissu awapo bungeni na hata nje ya bunge katika kujenga hoja na kuisimamia.
2. Pia Lissu sijasikia akitajwa kwenye yanayodaiwa kuwa makundi ya wanaodaiwa kuusaka urais ndani ya cdm na hata nje ya cdm.
3.ana msismamo usioyumba wala kutikiswa na nguvu ya fedha wala umaarufu wa bandia.
4.hatoki pia kanda ya kaskazini hivyo atawazima wale wachache wanaobeba hoja mufilisi ya ukanda ndani ya cdm
5.atasaidia kuiinua CHADEMA katika kanda ya kati yaani mikoa ya singida,dodoma na manyara kwa kuleta hamasa
6.sio mtu mwenye ndimi mbili katika jambo moja.
Hizi ni baadhi tuu ya sifa chache nilizoziona kwa ndugu huyu mabazo kwakweli pamoja na nyingine nyingi nimeshawishika na kuamini kuwa anaweza kuiongoza CHADEMA kwa mafanikio makubwa.
Naomba maoni yenu
Lema ni mpwa wa Mtei pia. Hiyo pia ni sifa muhimu kwa nafasi hiyo.
sio lazima lakini kama nimejiridhisha na sifa zake kwanini nisimpendekeze?hata wewe una haki ya kumpendekeza unayefikiri anafaa na uweke sifa zakesawa mawazo yako ni mazuri ni vizuri ukamshauri. Lakini kwa qualities zote hizo ni lazima mtu awe mwenyekiti?
Nilijua tu mada hii ni kutaka tu kumchafua ZITTO, siasa feki hizo, usipende sana kuongelea watu, ongelea mambo ya msingi.
Ahsante sana kwa mapendekezo mkuu, ni vema ungeainisha na udhaifuwa huyu wa sasa na kwa nini asiendelee kuwa mwenyekiti!??
Kama mkurupuko anaweza kwanini kichaa asiweze?Tanzania hatuwezi kuongozwa na kichaa