Maoni yangu: Tundu Lissu agombee uenyekiti wa CHADEMA taifa

Maoni yangu: Tundu Lissu agombee uenyekiti wa CHADEMA taifa

Baada ya Mbowe kufika at the point of no return, ni wakati sasa wa kuendesha chama kisomi.

Nashauri yafuatayo kutengeneza mstakabali wa CHADEMA mpya yenye nidhamu ya hali ya juu.

Tundu Lissu apewe uenyekiti wa chama kuanzia sasa mpaka baada ya uchaguzi mwaka 2026.

Tundu Lissu apewe majukumu yote ya kuongoza harakati za kutengeneza katiba mpya.

Sababu zangu za kumtaka Tundu Lissu ni kama zifutazo...

1: Ndiye mpinzani pekee aliyebaki anayeweza kuiangusha serikali iliyoko madarakani.

2: Ndiye msomi ambaye elimu yake si ya kutilia shaka hata kidogo

3: Ni mtetezi na nwakilishi wa mawazo ya watanzania walio wengi.

4: Anatoka maeneo ya katikati mwa nchi ambapo ni rahisi kwake kuanza kutengeneza network ya kushinda urais.

5: Ndiye mtu asiyependa Rushwa kwa tabia yake.

Mbowe kazi uliyoifanya imetosha kiukweli tuhuma ulizopewa zinatosha wewe kukaa pembeni na kufanya biashara zako maisha yakaendelea.

Muachie chama Tundu Lissu apambane na mkulu.


Lissu akiungana na msomi mwenzie Mashiji naamini chadema itaenda vizuri..
Mkuu sasa unasema awe mwenyekiti mpaka 2026 si udikteta?.....kwa mengine yana ukweli japo watakuita msaliti,pili Tundu si chaguo la ofisi kuu za mikocheni.
 
Mungu mtu kaanza kupinduliwa hahaha
Mtamtafuta mchawi
Wakati ni ninyi wenyewe wafuasi Vibendera
Msio jua kukosoa kila kitu ni ndioooo
 
Mkuu sasa unasema awe mwenyekiti mpaka 2026 si udikteta?.....kwa mengine yana ukweli japo watakuita msaliti,pili Tundu si chaguo la ofisi kuu za mikocheni.
Awe mwenyekiti kwa miaka 10 kupambana na fyoko fyoko
 
Mkuu sasa unasema awe mwenyekiti mpaka 2026 si udikteta?.....kwa mengine yana ukweli japo watakuita msaliti,pili Tundu si chaguo la ofisi kuu za mikocheni.

Kwanza Tundulisu anatokea wapi!?
Nikaribu na Moshi au Kilimanjaro?
 
Unamtafutia balaa wewe. Unataka ajenge bifu na Mtukufu Mwenyekiti ili afukuzwe uanachama? Unajua nini kilimuondoa Zitto Kabwe? Ama kilimuua Chacha Wangwe?
14705675_361590750840222_5080657536707894549_n.jpg
 
Unamtafutia balaa wewe. Unataka ajenge bifu na Mtukufu Mwenyekiti ili afukuzwe uanachama? Unajua nini kilimuondoa Zitto Kabwe? Ama kilimuua Chacha Wangwe?
Wanajua ila kuwa Kibendera tatizo mkuu
MBOWE atoke kwenye kiti!!
Wasahau
 
Ninachojua katibu mkuu atakua Lau Masha,mkuu sekretarieti ya maadili Lowassa ili waweze kukata majina ya chadema asili wote waliobakia
 
Baada ya Mbowe kufika at the point of no return, ni wakati sasa wa kuendesha chama kisomi.

Nashauri yafuatayo kutengeneza mstakabali wa CHADEMA mpya yenye nidhamu ya hali ya juu.

Tundu Lissu apewe uenyekiti wa chama kuanzia sasa mpaka baada ya uchaguzi mwaka 2026.

Tundu Lissu apewe majukumu yote ya kuongoza harakati za kutengeneza katiba mpya.

Sababu zangu za kumtaka Tundu Lissu ni kama zifutazo...

1: Ndiye mpinzani pekee aliyebaki anayeweza kuiangusha serikali iliyoko madarakani.

2: Ndiye msomi ambaye elimu yake si ya kutilia shaka hata kidogo

3: Ni mtetezi na nwakilishi wa mawazo ya watanzania walio wengi.

4: Anatoka maeneo ya katikati mwa nchi ambapo ni rahisi kwake kuanza kutengeneza network ya kushinda urais.

5: Ndiye mtu asiyependa Rushwa kwa tabia yake.

Mbowe kazi uliyoifanya imetosha kiukweli tuhuma ulizopewa zinatosha wewe kukaa pembeni na kufanya biashara zako maisha yakaendelea.

Muachie chama Tundu Lissu apambane na mkulu.


Lissu akiungana na msomi mwenzie Mashiji naamini chadema itaenda vizuri..
Weeeeeeeh ajaribu aone anavoitwa msaliti na mtu wa kutumiwa na ccm... at list lidogo angekua anatoka kaskazin ingesaund... lakn hivi hivi ataitwa msaliti na mtumiwa na chama tawala kama ilivokua kwa zto na wangwee
 
NAONA NA WEWE UMENUNULIWA KUKIVURUGA CHAMA CHETU CHA CHADEMA. KAMA UMEPEWA PESA BASI ONDOKA CHADEMA TU KIMYAKIMYA.HATUKUBALI CHADEMA KUONGOZWA NA WATU NJE YA UKATA WA ARUSHA NA MOSHI

Baada ya Mbowe kufika at the point of no return, ni wakati sasa wa kuendesha chama kisomi.

Nashauri yafuatayo kutengeneza mstakabali wa CHADEMA mpya yenye nidhamu ya hali ya juu.

Tundu Lissu apewe uenyekiti wa chama kuanzia sasa mpaka baada ya uchaguzi mwaka 2026.

Tundu Lissu apewe majukumu yote ya kuongoza harakati za kutengeneza katiba mpya.

Sababu zangu za kumtaka Tundu Lissu ni kama zifutazo...

1: Ndiye mpinzani pekee aliyebaki anayeweza kuiangusha serikali iliyoko madarakani.

2: Ndiye msomi ambaye elimu yake si ya kutilia shaka hata kidogo

3: Ni mtetezi na nwakilishi wa mawazo ya watanzania walio wengi.

4: Anatoka maeneo ya katikati mwa nchi ambapo ni rahisi kwake kuanza kutengeneza network ya kushinda urais.

5: Ndiye mtu asiyependa Rushwa kwa tabia yake.

Mbowe kazi uliyoifanya imetosha kiukweli tuhuma ulizopewa zinatosha wewe kukaa pembeni na kufanya biashara zako maisha yakaendelea.

Muachie chama Tundu Lissu apambane na mkulu.


Lissu akiungana na msomi mwenzie Mashiji naamini chadema itaenda vizuri..
 
Tatizo hambadili fikra zenu upepo upo kwa lisu kwa sasa na siasa inataka hivyoe
 
NAONA NA WEWE UMENUNULIWA KUKIVURUGA CHAMA CHETU CHA CHADEMA. KAMA UMEPEWA PESA BASI ONDOKA CHADEMA TU KIMYAKIMYA.HATUKUBALI CHADEMA KUONGOZWA NA WATU NJE YA UKATA WA ARUSHA NA MOSHI
Wewe ni bonge la mnafiki! You should go to hell
 
Back
Top Bottom