technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Huyu ndiye anaweza pambana na fyokofoko za mkuluNaunga Hoja kabisa,ikiwezekana awe rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ndiye anaweza pambana na fyokofoko za mkuluNaunga Hoja kabisa,ikiwezekana awe rais
Mkuu sasa unasema awe mwenyekiti mpaka 2026 si udikteta?.....kwa mengine yana ukweli japo watakuita msaliti,pili Tundu si chaguo la ofisi kuu za mikocheni.Baada ya Mbowe kufika at the point of no return, ni wakati sasa wa kuendesha chama kisomi.
Nashauri yafuatayo kutengeneza mstakabali wa CHADEMA mpya yenye nidhamu ya hali ya juu.
Tundu Lissu apewe uenyekiti wa chama kuanzia sasa mpaka baada ya uchaguzi mwaka 2026.
Tundu Lissu apewe majukumu yote ya kuongoza harakati za kutengeneza katiba mpya.
Sababu zangu za kumtaka Tundu Lissu ni kama zifutazo...
1: Ndiye mpinzani pekee aliyebaki anayeweza kuiangusha serikali iliyoko madarakani.
2: Ndiye msomi ambaye elimu yake si ya kutilia shaka hata kidogo
3: Ni mtetezi na nwakilishi wa mawazo ya watanzania walio wengi.
4: Anatoka maeneo ya katikati mwa nchi ambapo ni rahisi kwake kuanza kutengeneza network ya kushinda urais.
5: Ndiye mtu asiyependa Rushwa kwa tabia yake.
Mbowe kazi uliyoifanya imetosha kiukweli tuhuma ulizopewa zinatosha wewe kukaa pembeni na kufanya biashara zako maisha yakaendelea.
Muachie chama Tundu Lissu apambane na mkulu.
Lissu akiungana na msomi mwenzie Mashiji naamini chadema itaenda vizuri..
Awe mwenyekiti kwa miaka 10 kupambana na fyoko fyokoMkuu sasa unasema awe mwenyekiti mpaka 2026 si udikteta?.....kwa mengine yana ukweli japo watakuita msaliti,pili Tundu si chaguo la ofisi kuu za mikocheni.
Mkuu sasa unasema awe mwenyekiti mpaka 2026 si udikteta?.....kwa mengine yana ukweli japo watakuita msaliti,pili Tundu si chaguo la ofisi kuu za mikocheni.
Unamtafutia balaa wewe. Unataka ajenge bifu na Mtukufu Mwenyekiti ili afukuzwe uanachama? Unajua nini kilimuondoa Zitto Kabwe? Ama kilimuua Chacha Wangwe?
Kumbe kichaa!!Kama mkurupuko anaweza kwanini kichaa asiweze?
Wanajua ila kuwa Kibendera tatizo mkuuUnamtafutia balaa wewe. Unataka ajenge bifu na Mtukufu Mwenyekiti ili afukuzwe uanachama? Unajua nini kilimuondoa Zitto Kabwe? Ama kilimuua Chacha Wangwe?
Mpaka hapo wewe mwenyewe siyo mzima, ni kwa mujibu wa tafiti lakini.Kumbe kichaa!!
Kwa kila walipo wanne mmoja ni kichaaWanajua ila kuwa Kibendera tatizo mkuu
MBOWE atoke kwenye kiti!!
Wasahau
Yes Mbowe ana tena cha ziadaLisu The Master mind namkubali sana wakili msomi
Weeeeeeeh ajaribu aone anavoitwa msaliti na mtu wa kutumiwa na ccm... at list lidogo angekua anatoka kaskazin ingesaund... lakn hivi hivi ataitwa msaliti na mtumiwa na chama tawala kama ilivokua kwa zto na wangweeBaada ya Mbowe kufika at the point of no return, ni wakati sasa wa kuendesha chama kisomi.
Nashauri yafuatayo kutengeneza mstakabali wa CHADEMA mpya yenye nidhamu ya hali ya juu.
Tundu Lissu apewe uenyekiti wa chama kuanzia sasa mpaka baada ya uchaguzi mwaka 2026.
Tundu Lissu apewe majukumu yote ya kuongoza harakati za kutengeneza katiba mpya.
Sababu zangu za kumtaka Tundu Lissu ni kama zifutazo...
1: Ndiye mpinzani pekee aliyebaki anayeweza kuiangusha serikali iliyoko madarakani.
2: Ndiye msomi ambaye elimu yake si ya kutilia shaka hata kidogo
3: Ni mtetezi na nwakilishi wa mawazo ya watanzania walio wengi.
4: Anatoka maeneo ya katikati mwa nchi ambapo ni rahisi kwake kuanza kutengeneza network ya kushinda urais.
5: Ndiye mtu asiyependa Rushwa kwa tabia yake.
Mbowe kazi uliyoifanya imetosha kiukweli tuhuma ulizopewa zinatosha wewe kukaa pembeni na kufanya biashara zako maisha yakaendelea.
Muachie chama Tundu Lissu apambane na mkulu.
Lissu akiungana na msomi mwenzie Mashiji naamini chadema itaenda vizuri..
Baada ya Mbowe kufika at the point of no return, ni wakati sasa wa kuendesha chama kisomi.
Nashauri yafuatayo kutengeneza mstakabali wa CHADEMA mpya yenye nidhamu ya hali ya juu.
Tundu Lissu apewe uenyekiti wa chama kuanzia sasa mpaka baada ya uchaguzi mwaka 2026.
Tundu Lissu apewe majukumu yote ya kuongoza harakati za kutengeneza katiba mpya.
Sababu zangu za kumtaka Tundu Lissu ni kama zifutazo...
1: Ndiye mpinzani pekee aliyebaki anayeweza kuiangusha serikali iliyoko madarakani.
2: Ndiye msomi ambaye elimu yake si ya kutilia shaka hata kidogo
3: Ni mtetezi na nwakilishi wa mawazo ya watanzania walio wengi.
4: Anatoka maeneo ya katikati mwa nchi ambapo ni rahisi kwake kuanza kutengeneza network ya kushinda urais.
5: Ndiye mtu asiyependa Rushwa kwa tabia yake.
Mbowe kazi uliyoifanya imetosha kiukweli tuhuma ulizopewa zinatosha wewe kukaa pembeni na kufanya biashara zako maisha yakaendelea.
Muachie chama Tundu Lissu apambane na mkulu.
Lissu akiungana na msomi mwenzie Mashiji naamini chadema itaenda vizuri..
Yes Mbowe ana tena cha ziada
Wewe ni bonge la mnafiki! You should go to hellNAONA NA WEWE UMENUNULIWA KUKIVURUGA CHAMA CHETU CHA CHADEMA. KAMA UMEPEWA PESA BASI ONDOKA CHADEMA TU KIMYAKIMYA.HATUKUBALI CHADEMA KUONGOZWA NA WATU NJE YA UKATA WA ARUSHA NA MOSHI
Kwa kila walipo wanne mmoja ni kichaa
Sasa jiulize Lizaboni,Wakudadavua,Mudawote na wewe nani kichaa..?