Maoni yangu: Usiingie mkenge wa router za 5G za mitandao ya simu

Maoni yangu: Usiingie mkenge wa router za 5G za mitandao ya simu

GHarama za router zimetofautiana mkuu ila vifurushi

Tigo 100k 20mbps (wezi)
Voda 115k 20mbps
Airtel 110 30mbps
The cheapest of them all ni airtel, kwa mantiki wanakupa 30mbs kwa 110, voda ni 20mbps kwa 115, japo speed yao una stream 4k video bila shida
 
Kama taifa tunaelekea wapi? Sasa hivi ni saa 8 usiku mnene upo jamvin JF unachangia mada kweli hii ni sawa? Tendea mwili wako haki bana kuwa mfano mzuri kwa vizazi vijavyo kwa kupanua wigo mpana.

Nimekereka sana asee
🤣
Rafiki wa kweli aliyebaki ni simu
Hawa wengine tunawakaribishia dhiki tu
 
The cheapest of them all ni airtel, kwa mantiki wanakupa 30mbs kwa 110, voda ni 20mbps kwa 115, japo speed yao una stream 4k video bila shida
20240818_152417.jpg


Napeta na Airtel kwa sasa Voda nimeituliza kidogo.

Naipenda airtel maana ni movable naitia kwa bag au back seat ya gari njiani ni upo tu duniani.
 
20240810_150058.jpg

Kwa wale wanaopenda Limited packages, Uwe na Tin namba, nakuunganisha na Huduma.
 
Mimi ni mtumiaji wa 5G router zote Airtel,voda na Tigo.

Ukweli katika hizi router 3 mitandao ya ukweli ambayo naweza mshauri mtu atumie ni miwili tu.

Airtel na Vodacom.

Tigo ni wezi sio unlimited wanakupa unlimited kwa speed uliyolipia kisha wakiona unakamua kweli kweli bando kwa limit walokuekea wanashusha speed up to 0.1kb/sec.

Hii speed itakua hovyo mpaka saa 6 usiku ikibadilika siku wana reset wanakuoa tena speed yako. Ukiendelea kupakua matonge unabugia ukifikisha limit yao wanakata tena mpk kesho yake.

Dont go for tigo...kama unaipenda pesa yako. Kwa mnaotaka LIMITED PACKAGe speed yao iko njema.

Airtel

Hawa ni pure unlimited hawana janja janja unaserereka utakavyo ila tu router yao ili i perform vizuri hakikisha haipati joto, ikipata joto ikichemka inaathiri speed kwakua ofisini kuna AC huwa naitega sehemu ambapo najua itapgwa barid haswa naiongezea na fan inakua baridi muda wote.

Ina perform vizuri sana na zaidi ninachoipendea airtel ni power bank hao ya router inayokupa uwezo wakuzurura na router yako kwa begi anywhere.

Go for airtel,na recommend.

Vodacom

HAwa wako poa sana tena wana pure unlimited ila na wao router yao hakikisha isipate joto ila kuna muda notification light inawaka tu red ujue isha heat unachotakiwa ni kui zima na kutulia dk 1 unaiwasha tena unaendelea kuserereka.

Voda wako njema hawana shida go for it... wana router yao ya NOKIA tamu sana kali mnoo..

Faida ya voda kwenye malipo mwezi ukiisha huduma inaendelea hawakati huduma unaweza usilipe hata miezi mi 3.

Ila Airtel na Tigo mwisho wa mwezi ukifika huduma inazima kama umeme wa tanesco.

Airtel ukifanya malipo inawaka on spot.. tigo mpka uwasiliane nao sjui nn ki ufupi TIGO NI HOVYO.
Voda wao nao ukisubiri wakuzimie ukifanya malipo lazima upge simu wakuwashie ila airtel ni ukishajiunga tu unasererekA..

VODA na TIGO kipengele kwenye kuwashiwa huduma utapga wee hadi ukome.
Nilikuwa natukia router ya 5G ya Airtel nilipokujaa kulipia mara ya pili speed ilikuwa hovyo, ilikuwa mara kwa mara lazima nizime nieashe tena nikaachana nayo nikachukua ya Vodacom.

Kwa Vodacon na enjoy sana, ni 5G ya uhakika, download speed ni.nzuri sana tofauti na ya Airtel, ikibakia kama siku 5 nafanya top up ya 120,000 yenyewe ikifika siku yankuisha wanafanya malipo naendelea na huduma.
 
Kama taifa tunaelekea wapi? Sasa hivi ni saa 8 usiku mnene upo jamvin JF unachangia mada kweli hii ni sawa? Tendea mwili wako haki bana kuwa mfano mzuri kwa vizazi vijavyo kwa kupanua wigo mpana.

Nimekereka sana asee
..😂😂😂
 
Kama taifa tunaelekea wapi? Sasa hivi ni saa 8 usiku mnene upo jamvin JF unachangia mada kweli hii ni sawa? Tendea mwili wako haki bana kuwa mfano mzuri kwa vizazi vijavyo kwa kupanua wigo mpana.

Nimekereka sana asee
Nimeona video, tajiri mmiliki wa Super feo, akieleza yeye analala masaa manne tu, na anamka saa kumi na moja.
Inamaana tajiri analala kati ya saa saba, na saa nane.

Pia katika maelezo yake, tajiri hutenga muda wa masaa mawili, kwa ajili ya kupitia simu yake, kama kuna watu walimtafuta, ila hakuwasiana nao, na kupitia na kuangalia yanayojili kupitia mitandao.

NDIPO NIKAGUNDUA MASKINI TUNAJALI SANA USINGIZI, MATAJIRI WANAJALI SANA MALI.
 
ilikuwa mara kwa mara lazima nizime nieashe tena nikaachana nayo
Ilikuwa ni swala la kuingia kwenye settings tu, na kutatua tatizo:

1. Ondoa default settings Hiyo ya mwishoni: ( Default settings inaruhusu router kubadili network mode)
1723986833960.png

2. Na badala yake weka: (Hapa tumezuia roter isitmie netwok mode zingine kama 4G zenye kasi ndogo)
1723986881366.png

- Hapo kasi ya internet huwa haishuki. Hata kama signal bar imeshuka na kubakia 1 .

Kwa mwingine yeyote ajaribu na alete mrejesho.
 
Inategemea na unafanya nini, ila kwa nyumban kama wote mnatumia simu tu inaweza tosha, ila kama mnatumia kwa video streaming haitoshi!
Natumia vodacom ile ya 20mbps, inatoshea watu wanne wenye smartphone na tv na stream had 1080p ambayo ni almost hd.
Naomba kukuuliza, hii spidi ya 10mbps kwa matumizi ya kawaida tu ya familia si inatosha kabisa? au ni slow san
 
Ilikuwa ni swala la kuingia kwenye settings tu, na kutatua tatizo:

1. Ondoa default settings Hiyo ya mwishoni: ( Default settings inaruhusu router kubadili network mode)
View attachment 3073429
2. Na badala yake weka: (Hapa tumezuia roter isitmie netwok mode zingine kama 4G zenye kasi ndogo)
View attachment 3073430
- Hapo kasi ya internet huwa haishuki. Hata kama signal bar imeshuka na kubakia 1 .

Kwa mwingine yeyote ajaribu na alete mrejesho.
20240818_164115.jpg


Ngojea nione
 
Back
Top Bottom