Maoni yangu

Maoni yangu

Mkuu soon utakuwa kwenye ignore list yangu. Sikuja JF kutafuta wanaume. Visingizio vya kindezi vya oooh usichukulie JF serious naonaga ni kujikosha kosha kutaka kuonekana jambo ni jokes wakati unamaanisha. Ni nyuzi nyingi nimekwepa huo unaouhisi utani the so called jambo la kawaida ila haukuweza kujiongeza so sad.
Samahani Numbisa sijataka kukuudhi
 
Ruhusu nafsi yako iwe na furaha muda wote, anayekukwaza unaachana naye, maisha yanaendelea.
 
Humu JF watu watakurate kulingana na posts, comments na uandishi wako.

Ila dada yetu Unique watu wanamuandama Sana humu.Bt pliz sister don't be taking everything seriously.
 
Back
Top Bottom