Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahah maono yakiwa ya kiduanzi lazma tuyapingeUnapingana na maono mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah maono yakiwa ya kiduanzi lazma tuyapingeUnapingana na maono mkuu?
Sawa Nabii..tukutane 2039Naliiona hali ikianza katika hali ya utani. Taarifa ya kwanza ya habari kuhusu kukatiliwa kwa mwanamama mwenye umri wa miaka zaidi ya arobaini dhidi ya binti wa miaka 20+ itasikika kwenye kituo cha runinga. Habari hii itawaacha midomo wazi wanadamu, ndipo itasikika kauli ya "Wanaume wamejazana kibao tu, wenzetu wanagombania mwanaume mmoja. Ni ajabu"
Hivyo hivyo kimasihala, itasikika habari nyingine na nyingine, kisha nyingine tena. Hali haitokuwa shwari, wanawake wataumizana vibaya, watavunjana viungo vya mwili, watafanyiana ukatili wa kila namna na mwisho wa siku watauana.
Hali hii itaanzia nchi za wenzetu. Ukatili wa kwanza kushangaza akili za mwanadamu utatokea kwenye nchi moja kubwa ya bara la Asia. Haitoishia hapo tu, itafika hadi barani Afrika.
Hakutokuwa na mwanamke wa kuringa tena pindi atakapotongozwa na mwanaume. Awe ni mwanamke mzuri wa shepu, wa sura, mnene, mfupi, mrefu, mwembamba, hawa wote watajigonga kwa mwanaume mmoja
Itafikia mahala wanawake wataingia makubaliano wao kwa wao kuwa watoke na mwanaume mmoja. Familia zitaishi sawa na maisha ya kuku ya jogoo mmoja na mitetea kumi.
Nalimuona mwanamke mrembo akimbembeleza mwanaume asiye na pesa, "Ewe baba yangu, nakuomba unistiri na hii aibu, walau unioe tu, kuhusu mahitaji nitajitegemea mimi kama mimi.
Mashoga wote watajidhihirisha hata mchana kweupe. Italazimika kupishana na wanawake 20 barabarani ili ukutane na mwanaume mmoja. Pia naliwaona wanaume ambao hawatokuwa na hamu ya kuwa na wanawake, rundo la wanaume wasiowaza kuoa kabisa. Wengi watajikita katika kuyasaka maisha.
Nalisikia kilio kingine cha wanawake kudai haja za kimwili kutoka kwa wapenzi na marafiki zao pasi na mafanikio, hata wale waliowaoa wasiwatimizie.
Hali hii itakuja kama jinsi ambavyo ugonjwa wa covid 19 ulivyokuja, hali hii itachelewa sana kutoweka, lakini mwisho wa siku itapotea kusikojulikana na kuacha makovu yasiyo na kifani. Chuki ya mwanamke dhidi ya mwanamke mwenzie haitojificha tena.
Maono mengine bado sijayapatia tafsiri, pindi nitakapofanikiwa tafsiri zake, nitaweka hapa
Iweni na siku njema
Maono kutoka kwa nani? Hilo ndio suala la msingiUnapingana na maono mkuu?
Tuombe uzima ili tushuhudie hilo jangaSawa Nabii..tukutane 2039
Time traveling. Time realm through powerful (excited) meditationMaono kutoka kwa nani? Hilo ndio suala la msingi
Hapana mkuu. Maono ni maono tuHahahah maono yakiwa ya kiduanzi lazma tuyapinge
🤝Tuombe uzima ili tushuhudie hilo janga
Na kweli mkuu. Omba uzima ili ifikapo 2039 utazame maajabu ya duniaHali uliyoandika yalishaandijwa kwenye biblia. Na saivi hali ni mbaya. Wanawake wana ushindani mkubwa kwa sababu ya mashoga na mateja.
Kanisa lako linapatikana wapi nduguTime traveling. Time realm through powerful (excited) meditation
Inshallah. 🙏Na kweli mkuu. Omba uzima ili ifikapo 2039 utazame maajabu ya dunia
Hakuna jipya chini ya jua. Kama hadithi kama hii imo mpaka ndani ya biblia, nini kitaishangaza hii dunia iliyojaa wana laana?Naliiona hali ikianza katika hali ya utani. Taarifa ya kwanza ya habari kuhusu kukatiliwa kwa mwanamama mwenye umri wa miaka zaidi ya arobaini dhidi ya binti wa miaka 20+ itasikika kwenye kituo cha runinga. Habari hii itawaacha midomo wazi wanadamu, ndipo itasikika kauli ya "Wanaume wamejazana kibao tu, wenzetu wanagombania mwanaume mmoja. Ni ajabu"
Hivyo hivyo kimasihala, itasikika habari nyingine na nyingine, kisha nyingine tena. Hali haitokuwa shwari, wanawake wataumizana vibaya, watavunjana viungo vya mwili, watafanyiana ukatili wa kila namna na mwisho wa siku watauana.
Hali hii itaanzia nchi za wenzetu. Ukatili wa kwanza kushangaza akili za mwanadamu utatokea kwenye nchi moja kubwa ya bara la Asia. Haitoishia hapo tu, itafika hadi barani Afrika.
Hakutokuwa na mwanamke wa kuringa tena pindi atakapotongozwa na mwanaume. Awe ni mwanamke mzuri wa shepu, wa sura, mnene, mfupi, mrefu, mwembamba, hawa wote watajigonga kwa mwanaume mmoja
Itafikia mahala wanawake wataingia makubaliano wao kwa wao kuwa watoke na mwanaume mmoja. Familia zitaishi sawa na maisha ya kuku ya jogoo mmoja na mitetea kumi.
Nalimuona mwanamke mrembo akimbembeleza mwanaume asiye na pesa, "Ewe baba yangu, nakuomba unistiri na hii aibu, walau unioe tu, kuhusu mahitaji nitajitegemea mimi kama mimi.
Mashoga wote watajidhihirisha hata mchana kweupe. Italazimika kupishana na wanawake 20 barabarani ili ukutane na mwanaume mmoja. Pia naliwaona wanaume ambao hawatokuwa na hamu ya kuwa na wanawake, rundo la wanaume wasiowaza kuoa kabisa. Wengi watajikita katika kuyasaka maisha.
Nalisikia kilio kingine cha wanawake kudai haja za kimwili kutoka kwa wapenzi na marafiki zao pasi na mafanikio, hata wale waliowaoa wasiwatimizie.
Hali hii itakuja kama jinsi ambavyo ugonjwa wa covid 19 ulivyokuja, hali hii itachelewa sana kutoweka, lakini mwisho wa siku itapotea kusikojulikana na kuacha makovu yasiyo na kifani. Chuki ya mwanamke dhidi ya mwanamke mwenzie haitojificha tena.
Maono mengine bado sijayapatia tafsiri, pindi nitakapofanikiwa tafsiri zake, nitaweka hapa
Iweni na siku njema
Hapana mkuu, sina kanisa. Wala sio mtu wa ibada sana. Ila nimejikita kwenye Yoga, meditaton, Lotrinatuon, Realm Camic na Spiral Soul. Kufungua third eye kwangu ni kawaida tu, aura za watu naziona sana hasa nyakati za jioniKanisa lako linapatikana wapi ndugu
unamaanisha wanawake wana ushindani mkubwa kwenye nini mkuu Ahmad Abdurahman ?Hali uliyoandika yalishaandijwa kwenye biblia. Na saivi hali ni mbaya. Wanawake wana ushindani mkubwa kwa sababu ya mashoga na mateja.
Hawa wanawake lazima watakuwa wameshafika kuanzia 40+ maana ndio umri ambao mwanamke hana cha kuringia tena na hata akisema asiwe na time na mahusiano hakuna mtu anakuwa na time nae so anateseka kwa upweke hadi anakuwa kama mwehu.Biblia imeandika itafika wakati wanawake 7 watataka mwanamme 1 angalau hata waitwe kwa jina lake
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Siku hizi unakuta wanawake wengi wanakutaka huku wanajua una mke. Yaani unaweza kupata mke bila mahari