Maono: 2039 wimbi la wanawake litakuwa kubwa. Watauana kwa kugombania wanaume

Sawa Nabii..tukutane 2039
 
"Wakati dunia ikiwa na uhaba wa wanaume, wanaume hao hao wachache mzungu anajitahidi kuwabadili ili wawe mashoga kabisa na useless! "
 
Hali uliyoandika yalishaandijwa kwenye biblia. Na saivi hali ni mbaya. Wanawake wana ushindani mkubwa kwa sababu ya mashoga na mateja.
 
Hakuna jipya chini ya jua. Kama hadithi kama hii imo mpaka ndani ya biblia, nini kitaishangaza hii dunia iliyojaa wana laana?
 
Kanisa lako linapatikana wapi ndugu
Hapana mkuu, sina kanisa. Wala sio mtu wa ibada sana. Ila nimejikita kwenye Yoga, meditaton, Lotrinatuon, Realm Camic na Spiral Soul. Kufungua third eye kwangu ni kawaida tu, aura za watu naziona sana hasa nyakati za jioni
 
Biblia imeandika itafika wakati wanawake 7 watataka mwanamme 1 angalau hata waitwe kwa jina lake

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Biblia imeandika itafika wakati wanawake 7 watataka mwanamme 1 angalau hata waitwe kwa jina lake

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hawa wanawake lazima watakuwa wameshafika kuanzia 40+ maana ndio umri ambao mwanamke hana cha kuringia tena na hata akisema asiwe na time na mahusiano hakuna mtu anakuwa na time nae so anateseka kwa upweke hadi anakuwa kama mwehu.

Kuna siku nipo kitambaa cheupe kuna kona namuona mwanamke wa makamo umri nadhani ni 40+ amesimama sehemu ya pekee yake. Ukimtazama unaona kabisa huyu anaishi mwenyewe tu lazima hakuna namna. Amekaa anacheza cheza miziki ya Amapiano anakeep up na generation ya ujana wakati umri umeshasema baba jeni bai bai.

Nikamtazama nikamuonea huruma yaani kwa muda nilipotea nikawa namtazama na kujiuliza maswali kuwa huyu kuna kipindi kuna mwanaume alimtaka kwa mahaba sana na akamuomba twende tukaishi pamoja na kujenga familia ya baba mama na watoto ila kwasababu ya mvuto na usichana alimchomolea na kumwambia yeye bado hayupo tayari kuna ndoto zake bado anafukuzia. Leo huyo hapo amekaa anazuga kula bata. Miaka 40+ kwa mwanamke sio umri wa kuwa viwanja vya bata ambavyo vimejaa mabinti wa umri chini ya 23 kwa wingi sana. Hao wanaenda huko kujifunza ya Dunia na kuvutia wanaume sehemu ya starehe, wewe wa miaka 40+ unakwenda kufanya nini hapo?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kimsingi mwanamke wa kuanza 30+ ukienda viwanja basi kuna sehemu za kwenda tena na familia yako ya mume, na watoto na wageni wako. Ila sio kama nguruwe tu unakwenda maeneo ya kula bata.
 
Ila kwa mwenendo wa mabinti wa sasa hii hali kuna uwezekano mkubwa ikaja kutokea kweli. Katika kizazi cha wanawake wa hovyo kuwahi kutokea tokea uhuru basi ni hawa mabinti waliozaliwa kuanzia miaka ya 1980's.

Maana wana maamuzi ya hovyo sana na huwa hawajitazami kuwa wataangukia wapi kesho yao. Na idadi inazidi kuongezeka. Sasa hawa wakifika 35+ na hali hizi za sasa ndio basi tena.
 
Siku hizi unakuta wanawake wengi wanakutaka huku wanajua una mke. Yaani unaweza kupata mke bila mahari

Hili nimeliexperience Yani mwanamke anakutongoza kabisa akijua wewe mme wa mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…