Sababu? Wivu? Rais huwa anawekwa na Mungu. Mungu akiamua jambo huwezi kupingaItabidi nihame nchi hii kama Tulia Ackson akiwa Raisi wa Tanzania
Sahihi kabisa, Sahihi anaandaliwa na Mungu,Sababu? Wivu? Rais huwa anawekwa na Mungu. Mungu akiamua jambo huwezi kupinga
Jifunze kutokutaja jina la Mungu kwenye mizaha yako chunga sana, usijesema hukujua! Mwambie huyo taipei na makanyaga km si wewe.Sahihi kabisa, Sahihi anaandaliwa na Mungu
KabisaMungu apishie-mbalii
Aisee! kwahiyo mtu akikuvutia tu unatamani apewe PhD ya heshima!!?? 😅 Kama nchi tutasogea kweli mbele?S-Tax nadhani naye anastahili pia PhD ya heshima; yule Waziri wetu wa Mambo ya Kimataifa. Muonekano wake tu huwa unanivutia natamani iwe hivyo, ila sasa sijui kwa vigezo. Nadhani kuna haja ya kumfikiria na huyo pia
Kuna wengine, Mungu huruhusu ili tuuone ukuu wake.Sababu? Wivu? Rais huwa anawekwa na Mungu. Mungu akiamua jambo huwezi kupinga
Ni mvuto wa kazi zake namna zilivyo, siyo sura. Soma tena nilichoandikaAisee! kwahiyo mtu akikuvutia tu unatamani apewe PhD ya heshima!!?? 😅 Kama nchi tutasogea kweli mbele?
Kama MUNGU anahusika kwenye kuweka uongozi basi Africa hatutendei hakiSababu? Wivu? Rais huwa anawekwa na Mungu. Mungu akiamua jambo huwezi kupinga