TaiPei
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 572
- 608
Pokeeni Maono yangu haya na wekeni kumbukumbu sahihi,
<<<<<< Tumsikilize kidogo Rais ajae >>>>>>
Huyu ndiye Rais wa awamu ya saba 2030-2040 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mungu amsimamie na ampe afya njema Kwanini ni yeye aliyemchagua.
Nafahamu wanadamu nikiwemo Mimi nilitamani watu flani flani mmoja wao ndio awe rais wa JMT baada ya Dkt. Samia ila Ukweli ni huu ni Dkt. Tullia baada ya Dkt. Samia tunataka hatutaki haya ni matakwa ya Serikali ya Mbinguni.
<<<<<< Tumsikilize kidogo Rais ajae >>>>>>
Huyu ndiye Rais wa awamu ya saba 2030-2040 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mungu amsimamie na ampe afya njema Kwanini ni yeye aliyemchagua.
Nafahamu wanadamu nikiwemo Mimi nilitamani watu flani flani mmoja wao ndio awe rais wa JMT baada ya Dkt. Samia ila Ukweli ni huu ni Dkt. Tullia baada ya Dkt. Samia tunataka hatutaki haya ni matakwa ya Serikali ya Mbinguni.