Maono: Mpaka uchaguzi ninaziona kama bilioni 5 hivi zikikusanywa; 2 'zitatumika' katika uchaguzi; 3 zitawezesha safari ya Ulaya na Marekani!

Maono: Mpaka uchaguzi ninaziona kama bilioni 5 hivi zikikusanywa; 2 'zitatumika' katika uchaguzi; 3 zitawezesha safari ya Ulaya na Marekani!

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Siasa achana nayo tu jamani.......siasa ni nyoko.

Kila nikiwasikiliza na kuwaona na kurejea taarifa ya 'kusanyaji' kadhaa huko nyuma, naona kabisa hapa hii miamba inatafuta au imelenga bilioni kama tano Hadi sita hivi kufikia uchaguzi. Hiyo ni kutoka kwa tone-tone na wafadhili wengine. Mbili 'zitatumika' kuzugia uchaguzi na tatu au nne zitakazobaki miamba itazipiga kuboreshea maisha yao ya ulaya na Marekani ziliko familia. Okay, najua km m400 au 500 hv zinaweza kutumika kuzugia kupinga matokeo ya 98% ya SSH.

Watz ni wepesi sana wa kusahau, na hii miamba ya tone-tone inajua hilo vizuri saaaana. Na inajua vizuri kuwa baada ya hatua kadhaa za kuzuga kupinga matokeo, plus kutoweka kwenda ulaya na Marekani; watz hawa watasahau kabisa kama kawaida yao. Hapo miamba itarejea tena na kuanzisha 'dondo-dondo' au 'ado-ado'.
 
Siasa achana nayo tu jamani.......siasa ni nyoko.

Kila nikiwasikiliza na kuwaona na kurejea taarifa ya 'kusanyaji' kadhaa huko nyuma, naona kabisa hapa hii miamba inatafuta au imelenga bilioni kama tano Hadi sita hivi kufikia uchaguzi. Hiyo ni kutoka kwa tone-tone na wafadhili wengine. Mbili 'zitatumika' kuzugia uchaguzi na tatu au nne zitakazobaki miamba itazipiga kuboreshea maisha yao ya ulaya na Marekani ziliko familia. Okay, najua km m400 au 500 hv zinaweza kutumika kuzugia kupinga matokeo ya 98% ya SSH.

Watz ni wepesi sana wa kusahau, na hii miamba ya tone-tone inajua hilo vizuri saaaana. Na inajua vizuri kuwa baada ya hatua kadhaa za kuzuga kupinga matokeo, plus kutoweka kwenda ulaya na Marekani; watz hawa watasahau kabisa kama kawaida yao. Hapo miamba itarejea tena na kuanzisha 'dondo-dondo' au 'ado-ado'.
Acha wivu utakuua
 
Siasa achana nayo tu jamani.......siasa ni nyoko.

Kila nikiwasikiliza na kuwaona na kurejea taarifa ya 'kusanyaji' kadhaa huko nyuma, naona kabisa hapa hii miamba inatafuta au imelenga bilioni kama tano Hadi sita hivi kufikia uchaguzi. Hiyo ni kutoka kwa tone-tone na wafadhili wengine. Mbili 'zitatumika' kuzugia uchaguzi na tatu au nne zitakazobaki miamba itazipiga kuboreshea maisha yao ya ulaya na Marekani ziliko familia. Okay, najua km m400 au 500 hv zinaweza kutumika kuzugia kupinga matokeo ya 98% ya SSH.

Watz ni wepesi sana wa kusahau, na hii miamba ya tone-tone inajua hilo vizuri saaaana. Na inajua vizuri kuwa baada ya hatua kadhaa za kuzuga kupinga matokeo, plus kutoweka kwenda ulaya na Marekani; watz hawa watasahau kabisa kama kawaida yao. Hapo miamba itarejea tena na kuanzisha 'dondo-dondo' au 'ado-ado'.
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha.
 
Siasa achana nayo tu jamani.......siasa ni nyoko.

Kila nikiwasikiliza na kuwaona na kurejea taarifa ya 'kusanyaji' kadhaa huko nyuma, naona kabisa hapa hii miamba inatafuta au imelenga bilioni kama tano Hadi sita hivi kufikia uchaguzi. Hiyo ni kutoka kwa tone-tone na wafadhili wengine. Mbili 'zitatumika' kuzugia uchaguzi na tatu au nne zitakazobaki miamba itazipiga kuboreshea maisha yao ya ulaya na Marekani ziliko familia. Okay, najua km m400 au 500 hv zinaweza kutumika kuzugia kupinga matokeo ya 98% ya SSH.

Watz ni wepesi sana wa kusahau, na hii miamba ya tone-tone inajua hilo vizuri saaaana. Na inajua vizuri kuwa baada ya hatua kadhaa za kuzuga kupinga matokeo, plus kutoweka kwenda ulaya na Marekani; watz hawa watasahau kabisa kama kawaida yao. Hapo miamba itarejea tena na kuanzisha 'dondo-dondo' au 'ado-ado'.

% wise Ccm inavyotuibia, no one will ever break hiyo record! Wacha na chadema nao wale, wametoka jasho, wewe usitoe hela zako!
 
Siasa achana nayo tu jamani.......siasa ni nyoko.

Kila nikiwasikiliza na kuwaona na kurejea taarifa ya 'kusanyaji' kadhaa huko nyuma, naona kabisa hapa hii miamba inatafuta au imelenga bilioni kama tano Hadi sita hivi kufikia uchaguzi. Hiyo ni kutoka kwa tone-tone na wafadhili wengine. Mbili 'zitatumika' kuzugia uchaguzi na tatu au nne zitakazobaki miamba itazipiga kuboreshea maisha yao ya ulaya na Marekani ziliko familia. Okay, najua km m400 au 500 hv zinaweza kutumika kuzugia kupinga matokeo ya 98% ya SSH.

Watz ni wepesi sana wa kusahau, na hii miamba ya tone-tone inajua hilo vizuri saaaana. Na inajua vizuri kuwa baada ya hatua kadhaa za kuzuga kupinga matokeo, plus kutoweka kwenda ulaya na Marekani; watz hawa watasahau kabisa kama kawaida yao. Hapo miamba itarejea tena na kuanzisha 'dondo-dondo' au 'ado-ado'.
Wewe mwenzetu umechangia ngapi??, naona unaumia sana. Sio kweli kwamba unawahurumia wanaochangia ila una wivu na hofu. Maana kwa hakika haujui nini kitatokea baada ya hamasa kwa watz. Na kihistoria watz sio wepesi sana wakihamasika katika jambo fulani, kuna wakati unafikia inakuwa ngumu kuwageuza mioyo. Ngoja tuone picha si ndio kwanza linaanza !!😭😭😭😭
 
Siasa achana nayo tu jamani.......siasa ni nyoko.

Kila nikiwasikiliza na kuwaona na kurejea taarifa ya 'kusanyaji' kadhaa huko nyuma, naona kabisa hapa hii miamba inatafuta au imelenga bilioni kama tano Hadi sita hivi kufikia uchaguzi. Hiyo ni kutoka kwa tone-tone na wafadhili wengine. Mbili 'zitatumika' kuzugia uchaguzi na tatu au nne zitakazobaki miamba itazipiga kuboreshea maisha yao ya ulaya na Marekani ziliko familia. Okay, najua km m400 au 500 hv zinaweza kutumika kuzugia kupinga matokeo ya 98% ya SSH.

Watz ni wepesi sana wa kusahau, na hii miamba ya tone-tone inajua hilo vizuri saaaana. Na inajua vizuri kuwa baada ya hatua kadhaa za kuzuga kupinga matokeo, plus kutoweka kwenda ulaya na Marekani; watz hawa watasahau kabisa kama kawaida yao. Hapo miamba itarejea tena na kuanzisha 'dondo-dondo' au 'ado-ado'.
Wewe hauwahurumii wachangiaji bali una hofu tuu. Pole sana. Kaa kwa kutulia , maana hata pesa yetu ya Kodi inapoliwa na majani huwa tunatulia tuu. Acha mihemko wewe haitakusaidia
 
Siasa achana nayo tu jamani.......siasa ni nyoko.

Kila nikiwasikiliza na kuwaona na kurejea taarifa ya 'kusanyaji' kadhaa huko nyuma, naona kabisa hapa hii miamba inatafuta au imelenga bilioni kama tano Hadi sita hivi kufikia uchaguzi. Hiyo ni kutoka kwa tone-tone na wafadhili wengine. Mbili 'zitaayatumika' kuzugia uchaguzi na tatu au nne zitakazobaki miamba itazipiga kuboreshea maisha yao ya ulaya na Marekani ziliko familia. Okay, najua km m400 au 500 hv zinaweza kutumika kuzugia kupinga matokeo ya 98% ya SSH.

Watz ni wep esi sana wa kusahau, na hii miamba ya tone-tone inajua hilo vizuri saaaana. Na inajua vizuri kuwa baada ya hatua kadhaa za kuzuga kupinga matokeo, plus kutoweka kwenda ulaya na Maekani; watz hawa watasahau kabisa kama kawaida yao. Hapo miamba itarejea tena na kuanzisha 'dondo-dondo' au 'ado-ado'.
Dada umechangia kiasi gani?Wewe ni Malaya wa kisiasa .Unatumia tumbo na makalio kufikiri.
 
Siasa achana nayo tu jamani.......siasa ni nyoko.

Kila nikiwasikiliza na kuwaona na kurejea taarifa ya 'kusanyaji' kadhaa huko nyuma, naona kabisa hapa hii miamba inatafuta au imelenga bilioni kama tano Hadi sita hivi kufikia uchaguzi. Hiyo ni kutoka kwa tone-tone na wafadhili wengine. Mbili 'zitatumika' kuzugia uchaguzi na tatu au nne zitakazobaki miamba itazipiga kuboreshea maisha yao ya ulaya na Marekani ziliko familia. Okay, najua km m400 au 500 hv zinaweza kutumika kuzugia kupinga matokeo ya 98% ya SSH.

Watz ni wepesi sana wa kusahau, na hii miamba ya tone-tone inajua hilo vizuri saaaana. Na inajua vizuri kuwa baada ya hatua kadhaa za kuzuga kupinga matokeo, plus kutoweka kwenda ulaya na Marekani; watz hawa watasahau kabisa kama kawaida yao. Hapo miamba itarejea tena na kuanzisha 'dondo-dondo' au 'ado-ado'.
Madam umeshakunywa dawa zako???
 
Siasa achana nayo tu jamani.......siasa ni nyoko.

Kila nikiwasikiliza na kuwaona na kurejea taarifa ya 'kusanyaji' kadhaa huko nyuma, naona kabisa hapa hii miamba inatafuta au imelenga bilioni kama tano Hadi sita hivi kufikia uchaguzi. Hiyo ni kutoka kwa tone-tone na wafadhili wengine. Mbili 'zitatumika' kuzugia uchaguzi na tatu au nne zitakazobaki miamba itazipiga kuboreshea maisha yao ya ulaya na Marekani ziliko familia. Okay, najua km m400 au 500 hv zinaweza kutumika kuzugia kupinga matokeo ya 98% ya SSH.

Watz ni wepesi sana wa kusahau, na hii miamba ya tone-tone inajua hilo vizuri saaaana. Na inajua vizuri kuwa baada ya hatua kadhaa za kuzuga kupinga matokeo, plus kutoweka kwenda ulaya na Marekani; watz hawa watasahau kabisa kama kawaida yao. Hapo miamba itarejea tena na kuanzisha 'dondo-dondo' au 'ado-ado'.


Wewe inaonekana umekulia kwenye chama hicho cha dhuluma. Hivyo unaamini kila mmoja ni kama hiyo jamii yenu.

Lisu angekuwa anataka pesa asingeikataa hongo ya CCM. Magufuli aliahidi kumpa nafasi muhimu kwenye Serikali yake, alikataa. Samia kupitia Abdul akaenda na kauli ya hongo akakataa.
 
B5 hawafiki, na wakifika itateketea yote. Maana hizi za mwanzo tu, washaanza kuvaa suti oversize na tai nyekundu.
Bado za mchango wa gari hauendelei wala gari halinunuliki. Anatembelea moja ina namba za zanzibar saiv prado diamond.
 
Siasa achana nayo tu jamani.......siasa ni nyoko.

Kila nikiwasikiliza na kuwaona na kurejea taarifa ya 'kusanyaji' kadhaa huko nyuma, naona kabisa hapa hii miamba inatafuta au imelenga bilioni kama tano Hadi sita hivi kufikia uchaguzi. Hiyo ni kutoka kwa tone-tone na wafadhili wengine. Mbili 'zitatumika' kuzugia uchaguzi na tatu au nne zitakazobaki miamba itazipiga kuboreshea maisha yao ya ulaya na Marekani ziliko familia. Okay, najua km m400 au 500 hv zinaweza kutumika kuzugia kupinga matokeo ya 98% ya SSH.

Watz ni wepesi sana wa kusahau, na hii miamba ya tone-tone inajua hilo vizuri saaaana. Na inajua vizuri kuwa baada ya hatua kadhaa za kuzuga kupinga matokeo, plus kutoweka kwenda ulaya na Marekani; watz hawa watasahau kabisa kama kawaida yao. Hapo miamba itarejea tena na kuanzisha 'dondo-dondo' au 'ado-ado'.
 

Attachments

  • IMG-20250305-WA0007.jpg
    IMG-20250305-WA0007.jpg
    597.9 KB · Views: 1
Nimeona sehemu hiyo. Hivi ni kweli Lissu ni mpigaji? Wakipiga bilioni 3 kweli jamaa mabingwa. Hivi zile fedha za Join The Chain ziko wapi?
 
Siasa achana nayo tu jamani.......siasa ni nyoko.

Kila nikiwasikiliza na kuwaona na kurejea taarifa ya 'kusanyaji' kadhaa huko nyuma, naona kabisa hapa hii miamba inatafuta au imelenga bilioni kama tano Hadi sita hivi kufikia uchaguzi. Hiyo ni kutoka kwa tone-tone na wafadhili wengine. Mbili 'zitatumika' kuzugia uchaguzi na tatu au nne zitakazobaki miamba itazipiga kuboreshea maisha yao ya ulaya na Marekani ziliko familia. Okay, najua km m400 au 500 hv zinaweza kutumika kuzugia kupinga matokeo ya 98% ya SSH.

Watz ni wepesi sana wa kusahau, na hii miamba ya tone-tone inajua hilo vizuri saaaana. Na inajua vizuri kuwa baada ya hatua kadhaa za kuzuga kupinga matokeo, plus kutoweka kwenda ulaya na Marekani; watz hawa watasahau kabisa kama kawaida yao. Hapo miamba itarejea tena na kuanzisha 'dondo-dondo' au 'ado-ado'.
Wewe dada umechangia ngapi? mbona makelele mengi
 
Back
Top Bottom