Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Utaratibu utafuatwa hakuna kupindisha matokeo.
 
Unababaika sana kama hujiamini na kile ulichoona..eleza kwa kina watu wa kuelewe kama walivomuelewa mtufulani aliyejiita MAGAMBA MATATU.Ooh mara barua ya siri ooh mara makachero wabobezi..unadhani wote wanajua lugha za mawasiliano?binafsi sikubaliani nawewe kwani unababaika sana.
 
Mzee wasira masatu ataupeleka ujumbe kamati kuu. Code zinaanza kujipanga
 
Karne ya 21 ya sayansi na teke linalokujia bado wapo watu wanaamini katika Utabiri na Mazingaombwe ?!!

Kweli bado tupo mbali sana ! Jamaa watatuburuta kweri kweri 😅😅😱
Wew unaona kama itabiri lakini hiyo ni mipango ili itokee inapewa jina la utabiri kuwaanda watu na kuwa wanapima upepo.

Ikiwa ni pamoja kuwa mitego ya kuwadaka baadhi ya watu.

Endelea kudhani ni zile ndoto zako baada ya kulewa.
 
Utabiri huu bado haujakamilika itakuwa usiku wa manane ndipo utatimia
 
nabii wenu lolinga ameshasema kuna rais atakufa madarakani mwaka huu, hatujui ni wa bongolala, wa kenya, wa uganda au kagame. ila ndio uyo alitabiri kifo cha jiwe pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…