Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.

Je itakuwaje watu au mtu atakuwa hajaridhika na taarifa ya barua hiyo ndugu zangu tusali pasitokee jambo kama Hilo itakuwa huzuni kwa Taifa kwa kupindisha mausia yaliomo ndani ya hiyo white paper. Na Uzi huu utakuwa shahidi yakuwa Mungu yupo na anawatumia watu kupata siri ambazo hazipo ktk macho ya wanadam.
Usiache liombea Taifa.
Kumbuka the white paper 2025 will change history of Tz.

Update.
Connect with Bob junior Simba alie uwawa na madume wenzake
Utaratibu utafuatwa hakuna kupindisha matokeo.
 
Unababaika sana kama hujiamini na kile ulichoona..eleza kwa kina watu wa kuelewe kama walivomuelewa mtufulani aliyejiita MAGAMBA MATATU.Ooh mara barua ya siri ooh mara makachero wabobezi..unadhani wote wanajua lugha za mawasiliano?binafsi sikubaliani nawewe kwani unababaika sana.
 
Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.

Je itakuwaje watu au mtu atakuwa hajaridhika na taarifa ya barua hiyo ndugu zangu tusali pasitokee jambo kama Hilo itakuwa huzuni kwa Taifa kwa kupindisha mausia yaliomo ndani ya hiyo white paper. Na Uzi huu utakuwa shahidi yakuwa Mungu yupo na anawatumia watu kupata siri ambazo hazipo ktk macho ya wanadam.
Usiache liombea Taifa.
Kumbuka the white paper 2025 will change history of Tz.

Update.
Connect with Bob junior Simba alie uwawa na madume wenzake
Mzee wasira masatu ataupeleka ujumbe kamati kuu. Code zinaanza kujipanga
 
Karne ya 21 ya sayansi na teke linalokujia bado wapo watu wanaamini katika Utabiri na Mazingaombwe ?!!

Kweli bado tupo mbali sana ! Jamaa watatuburuta kweri kweri 😅😅😱
Wew unaona kama itabiri lakini hiyo ni mipango ili itokee inapewa jina la utabiri kuwaanda watu na kuwa wanapima upepo.

Ikiwa ni pamoja kuwa mitego ya kuwadaka baadhi ya watu.

Endelea kudhani ni zile ndoto zako baada ya kulewa.
 
Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.

Je itakuwaje watu au mtu atakuwa hajaridhika na taarifa ya barua hiyo ndugu zangu tusali pasitokee jambo kama Hilo itakuwa huzuni kwa Taifa kwa kupindisha mausia yaliomo ndani ya hiyo white paper. Na Uzi huu utakuwa shahidi yakuwa Mungu yupo na anawatumia watu kupata siri ambazo hazipo ktk macho ya wanadam.
Usiache liombea Taifa.
Kumbuka the white paper 2025 will change history of Tz.

Update.
Connect with Bob junior Simba alie uwawa na madume wenzake
Utabiri huu bado haujakamilika itakuwa usiku wa manane ndipo utatimia
 
Haya ndio maono ya 2025

Baada ya watu kuchapatana na kuumizana sana na kila mmoja akiwa amechoka kwa mtifuwano wa 2025.
Haya ndio yatatokea.

Pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili ndani yakikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa ktk vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka ktk vyumba vya siri vya Taifa baruwa hii hakuna anaye ijuwa wala kujuwa kilicho ndani.

Ila baruwa hiyo itakuwa na mwandiko wa mwanadam. Ndipo itasomwa wenye nguvu watalia nakufuta machozi wenye imani ndogo watazimia nakukimbizwa hosp za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimima nakukubalika na chama kuja kuwataarifu kwa ufupi yaliomo ndani ya baruwa ya siri.

Namwisho Taifa litapewa Taarifa.

Je itakuwaje watu au mtu atakuwa hajaridhika na taarifa ya barua hiyo ndugu zangu tusali pasitokee jambo kama Hilo itakuwa huzuni kwa Taifa kwa kupindisha mausia yaliomo ndani ya hiyo white paper. Na Uzi huu utakuwa shahidi yakuwa Mungu yupo na anawatumia watu kupata siri ambazo hazipo ktk macho ya wanadam.
Usiache liombea Taifa.
Kumbuka the white paper 2025 will change history of Tz.

Update.
Connect with Bob junior Simba alie uwawa na madume wenzake
nabii wenu lolinga ameshasema kuna rais atakufa madarakani mwaka huu, hatujui ni wa bongolala, wa kenya, wa uganda au kagame. ila ndio uyo alitabiri kifo cha jiwe pia.
 
Back
Top Bottom