Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Dunia ni pembetatu sio tena duara
 
Naona anamaanisha hatari ya maza kukatwa au kurudi kwa bba 2025
 
2025 ccm byebye usanii, uja na ujanga uongo, wizi unafikia mwisho
 
Mnaleta siasa za kipuuzi za kusaka madaraka kwa njia chafu, wananchi wamechoka na hicho chama chenu kinachoshurutisha kukaa madarakani. Mtafanyiana umafia wa kipuuzi lakini kiuhalisia ni kizazi kimewachoka. Fanyianeni umafia wa kijinga lakini kizazi hiki sio Cha chama hicho.
 
⏰️
 
Hii nchi haina kitu chochote kama deep state au wazee wenye siri za taifa.ni kutishiana tishiana tu.Mambo yasingekua yanaenda kiholela holela
Tuna walioshiba wakaoo magorofani wakijifananisha na walala hoi wanaochapa lapa kutwa,kuchwa.
 
Game 🎮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…