Tusiombe itokee hii. Zanzibar serikali moja haitakiwi. Ikitokea hivyo Zanzibar imekwisha. Mungu aepushe mbali hilo.Kwenye senario hii, JPM hatojiongezea muda, bali ataacha legacy kubwa ya kutuachia katiba mpya yenye tume huru ya uchaguzi, mamlaka yaliyopunguzwa ya rais, demokrasia ya kweli ya vyama vingi na muundo sustainable wa muungano (serikali moja). Pia vyama vya upinzani vitapata nafasi ya kuzaliwa upya.
Kwa Mataifa yenye machafuko Mungu aliruhusu ?Mungu hatakubali Magu aendelee kutuchakaza.Anaweza kumresitisha ini pisi suni tu.
Ni kweli, mbele kuna giza nene. Lakini bado siamini jinsi TISS, JWTZ, NEC na waandamizi wengine ndani ya serikali walivyoruhusu mambo haya yatokee, inashangaza. Labda kama scenario 2 ndio mpango uliopo.
Hakika umenena vyema kabisaKwa upande wangu naona ujio wa Sheria ngumu zaidi zitakazopitishwa na Bunge hasa Kwenye suala la chama cha mapinduzi kujichimbia zaidi Kwenye madaraka..
(1)...mapungufu yote yaliyojitokeza Kwenye uchaguzi huu yatafanyiwa KAZI Kwa kutungiwa Sheria Kali zaidi
(2).... serikali ya CCM hakuna wanalowaza zaidi ya kubuni mbinu ya kuendelea madarakani hivyo wale wababe wa kutunga Sheria hivi sasa wapo kazini wakidesign namna ya kukandamiza upinzani zaidi
(1)....miaka hii mitano magufuli atakuwa na wakati mwingi wa kuangalia Nani anamwachia kijiti kwahiyo kazi kubwa itakuwa Kwa wateule wake ambao muda mwingi watafanya KAZI Kwa kumlamba miguu magufuli badala ya wananchi
uwe mpinzani au CCM katika miaka hii mitano watanzania watatamani kuhama nchi maana Hali ya utengamano wa nchi utatoweka kabisaaa
Baadhi ya maamuzi yanayofanywa kwa maslahi ya taifa yanaweza yasiwafurahishe wote. Pia upinzani huu wa 1995-2020 ndio umeisha rasmi kwa scenario hiyo. 2020 kwenda mbele utazaliwa upinzani mpya ambao utaaminiwa na dola.Mimi bado nina imani sana na jpm. Hiyo scenario ya pili nadhani ndio lengo 2020-2025, ingawaje inaweza isitekelezwe kwa kufurahisha upinzani.
Kwa ushindi / wizi huu ni wazi kuwa Mungu hatoingilia kati.Mungu hatakubali Magu aendelee kutuchakaza.Anaweza kumresitisha ini pisi suni tu.
Umechambua vizuri mkuu.Ni wazi kuwa uchaguzi wa mwaka huu umegubikwa na udanganyifu mkubwa kuliko uchaguzi mwingine wowote tuliowahi kuufanya. Ushahidi ni mwingi mno hadi imekua kama kichekesho hivi.
Sasa, kuna scenario mbili hapa za kujaribu kuelezea kwanini hali imekua hivyo, na kila moja ina consequences zake tofauti.
Scenerio 1. Haya ni matokeo ya Rais JPM, amefanikiwa kuvunja nguvu za vyombo vyote vya dola na mihimili yake, sasa kila mtu anajaribu kumfurahisha boss kwa kutekeleza maagizo wanayopewa kama yalivyo.
Scenario 2. Huu ni mpango wa kizalendo wa 'deep state', wenye lengo la kurahisisha mabadiliko ya kikatiba kwa mslahi mapana ya taifa.
********************
Tuanze na scenario ya pili, ndani ya state machinery iko wazi kuwa nchi yetu inahitaji katiba mpya, katiba yetu inahitaji marekebisho makubwa ili kuendana na mfumo wa demokrasia ya vyama vingi pasipo kuhatarisha maslahi ya nchi.
Kwa mfano, muundo wa muungano wetu ni kitendawili kikubwa kwenye hizi siasa sa vyama vingi, ikitokea rais wa Zanzibar na rais wa JMT wanatoka vyama tofauti basi kuna hatari kubwa ya kutokuelewana ndani ya muungano na hata kuhatarisha uhai wa muungano wenyewe.
Kwa kulitambua hitaji hilo, wakati wa awamu ya Mh. Kikwete ulianzishwa mchakato wa kutafuta katiba mpya lakini kutokana na mawazo kinzani ambayo yalikua ni mazuri lakini yanahatarisha uhai wa taifa ilibidi mchakato usitiswe.
Sasa kwa bunge lililochaguliwa la JMT ambalo ni la chama kimoja na linadhibitiwa kirahisi na mwenyekiti wa CCM, na serikali ya Zanzibar chini ya Ndugu Mwinyi pamoja na baraza lake la wawakilishi ambavyo navyo vinadhibitiwa vilivyo na mwenyekiti wa CCM, ni wazi kuwa mchakato unaweza kurudishwa na kupita smoothly.
Kwenye senario hii, JPM hatojiongezea muda, bali ataacha legacy kubwa ya kutuachia katiba mpya yenye tume huru ya uchaguzi, mamlaka yaliyopunguzwa ya rais, demokrasia ya kweli ya vyama vingi na muundo sustainable wa muungano (serikali moja). Pia vyama vya upinzani vitapata nafasi ya kuzaliwa upya.
Kwa senario hii, mabeberu watatuunga mkono, hakutakua na vikwazo vya kiuchumi wala kuharibika kwa mahusiano, after all wao wenyewe ni miongoni mwa wadau walio facilitate muungano wetu. Mwisho wa siku mambo yote yatakwenda vizuri na sote (isipokuwa baadhi ya wazanzibari) tutafurahia nchi yetu.
2025 kutakua na uchaguzi safi ulio huru na wa haki.
****************
Tukirudi kwenye Scenario ya kwanza, hii inatisha kwa kweli, na kama matokeo ya uchaguzi huu yametokana na tamaa tu ya JPM isiyo na malengo yoyote ya kizalendo basi tujiandae kisaikilojia.
Nchi yetu itakwenda kupita katika giza nene ambalo wengi wetu hatujawahi kuliona.
Kwanza, kunauwezekano tukatumia fedha nyingi sana kwenye operations za kijeshi za kujaribu kuwazima wale magaidi wa Cabo Delgado Msumbiji, au walau kuwazuia wasiingie upande wetu, na hatutopata msaada wowote wa maana wa kifedha na kiintelijensia kutoka kwa mabeberu. Na kama unadhani tunaweza kukimbilia kwa Urusi basi nikutaarifu kuwa Msumbiji wameshafanya hivyo, Urusi ilituma hadi mercenaries wake lakini kwa hali inavyoendelea ni wazi kuwa wamegongwa mwamba.
Ukizingatia utajiri mkubwa wa mafuta na gesi kwenye eneo la Cabo Delgado na Mtwara, Inaonekana kuna mkono mkubwa wenye nguvu nyingi nyuma ya wale magaidi, siku zinavyozidi kwenda wanazidi kujiimarisha kwa zana za kivita, idadi ya wapiganaji, inteligensia pamoja na eneo wanalodhibiti.
Vilevile, kutokana na matokeo ya uchaguzi huu, ni wazi kuwa kuna watu wengi watakua wanahisi kudhulumiwa haki yao na kuonewa, watu hawa hususani vijana ni perfect target kuwa recruited na vikundi vya kigaidi. Hii ni moja ya madhara mabaya zaidi ya kuminya haki. Watanzania hawa wema kabisa wanaweza kuishia mikononi mwa hao magaidi na kutumiwa kuiumiza nchi yao. Ikumbukwe tayari kuna taarifa za kuwepo watanzania wengi tu kwenye vikundi vya kigaidi kule Somalia na sasa Msumbiji.
Juu ya hayo yote, kutakua na vikwazo vya kiuchumi. Ikumbukwe vikwazo hivi huwa haiwekewi nchi moja kwa moja bali ni viongozi pamoja na makampuni ya kibiashara yenye uhusiano wa karibu na viongozi au serikali. Hii hua inatosha kabisa kuvuruga uchumi wa nchi na kupafanya hapa nchini kuwa jehanamu ndogo.
Sasa haya yakitokea, kila mtu atateseka na hata wale waliomsaidia JPM kuiba uchaguzi na kuminya haki watajuuta, kwasababu nchi ikiharibika inaharibika kwa kila mtu.
Pia, kwakua JPM, amekwisha dhibiti bunge, mahakama, serikali na CCM, anao uwezo wa kufanya chochote kile, hata akitaka kujiongezea muda wa kukaa madarakani basi atafanya hivyo na hakutakua na wa kupinga.
Kabisa aiseeee tutarajie nchi kuwa kama Somalia ndani ya muda mfupi ujao watu wataanza kuikimbia nchi kwenda nchi jirani kutafuta ajira.Kwa upande wangu naona ujio wa Sheria ngumu zaidi zitakazopitishwa na Bunge hasa Kwenye suala la chama cha mapinduzi kujichimbia zaidi Kwenye madaraka..
(1)...mapungufu yote yaliyojitokeza Kwenye uchaguzi huu yatafanyiwa KAZI Kwa kutungiwa Sheria Kali zaidi
(2).... serikali ya CCM hakuna wanalowaza zaidi ya kubuni mbinu ya kuendelea madarakani hivyo wale wababe wa kutunga Sheria hivi sasa wapo kazini wakidesign namna ya kukandamiza upinzani zaidi
(1)....miaka hii mitano magufuli atakuwa na wakati mwingi wa kuangalia Nani anamwachia kijiti kwahiyo kazi kubwa itakuwa Kwa wateule wake ambao muda mwingi watafanya KAZI Kwa kumlamba miguu magufuli badala ya wananchi
uwe mpinzani au CCM katika miaka hii mitano watanzania watatamani kuhama nchi maana Hali ya utengamano wa nchi utatoweka kabisaaa
Sikubaliani na mawazo yako kwenye hii scenario namba 2. Kwamba Deep State ilazimishe muungano wa serikali moja! Huoni kwamba huu ni ukatili kwa wazanzibari? Hio deep state ni nani mpaka ilazimishe kunyang'anya watu nchi yao?Ni wazi kuwa uchaguzi wa mwaka huu umegubikwa na udanganyifu mkubwa kuliko uchaguzi mwingine wowote tuliowahi kuufanya. Ushahidi ni mwingi mno hadi imekua kama kichekesho hivi.
Sasa, kuna scenario mbili hapa za kujaribu kuelezea kwanini hali imekua hivyo, na kila moja ina consequences zake tofauti.
Scenerio 1. Haya ni matokeo ya Rais JPM, amefanikiwa kuvunja nguvu za vyombo vyote vya dola na mihimili yake, sasa kila mtu anajaribu kumfurahisha boss kwa kutekeleza maagizo wanayopewa kama yalivyo.
Scenario 2. Huu ni mpango wa kizalendo wa 'deep state', wenye lengo la kurahisisha mabadiliko ya kikatiba kwa mslahi mapana ya taifa.
********************
Tuanze na scenario ya pili, ndani ya state machinery iko wazi kuwa nchi yetu inahitaji katiba mpya, katiba yetu inahitaji marekebisho makubwa ili kuendana na mfumo wa demokrasia ya vyama vingi pasipo kuhatarisha maslahi ya nchi.
Kwa mfano, muundo wa muungano wetu ni kitendawili kikubwa kwenye hizi siasa sa vyama vingi, ikitokea rais wa Zanzibar na rais wa JMT wanatoka vyama tofauti basi kuna hatari kubwa ya kutokuelewana ndani ya muungano na hata kuhatarisha uhai wa muungano wenyewe.
Kwa kulitambua hitaji hilo, wakati wa awamu ya Mh. Kikwete ulianzishwa mchakato wa kutafuta katiba mpya lakini kutokana na mawazo kinzani ambayo yalikua ni mazuri lakini yanahatarisha uhai wa taifa ilibidi mchakato usitiswe.
Sasa kwa bunge lililochaguliwa la JMT ambalo ni la chama kimoja na linadhibitiwa kirahisi na mwenyekiti wa CCM, na serikali ya Zanzibar chini ya Ndugu Mwinyi pamoja na baraza lake la wawakilishi ambavyo navyo vinadhibitiwa vilivyo na mwenyekiti wa CCM, ni wazi kuwa mchakato unaweza kurudishwa na kupita smoothly.
Kwenye senario hii, JPM hatojiongezea muda, bali ataacha legacy kubwa ya kutuachia katiba mpya yenye tume huru ya uchaguzi, mamlaka yaliyopunguzwa ya rais, demokrasia ya kweli ya vyama vingi na muundo sustainable wa muungano (serikali moja). Pia vyama vya upinzani vitapata nafasi ya kuzaliwa upya.
Kwa senario hii, mabeberu watatuunga mkono, hakutakua na vikwazo vya kiuchumi wala kuharibika kwa mahusiano, after all wao wenyewe ni miongoni mwa wadau walio facilitate muungano wetu. Mwisho wa siku mambo yote yatakwenda vizuri na sote (isipokuwa baadhi ya wazanzibari) tutafurahia nchi yetu.
2025 kutakua na uchaguzi safi ulio huru na wa haki.
****************
Tukirudi kwenye Scenario ya kwanza, hii inatisha kwa kweli, na kama matokeo ya uchaguzi huu yametokana na tamaa tu ya JPM isiyo na malengo yoyote ya kizalendo basi tujiandae kisaikilojia.
Nchi yetu itakwenda kupita katika giza nene ambalo wengi wetu hatujawahi kuliona.
Kwanza, kunauwezekano tukatumia fedha nyingi sana kwenye operations za kijeshi za kujaribu kuwazima wale magaidi wa Cabo Delgado Msumbiji, au walau kuwazuia wasiingie upande wetu, na hatutopata msaada wowote wa maana wa kifedha na kiintelijensia kutoka kwa mabeberu. Na kama unadhani tunaweza kukimbilia kwa Urusi basi nikutaarifu kuwa Msumbiji wameshafanya hivyo, Urusi ilituma hadi mercenaries wake lakini kwa hali inavyoendelea ni wazi kuwa wamegongwa mwamba.
Ukizingatia utajiri mkubwa wa mafuta na gesi kwenye eneo la Cabo Delgado na Mtwara, Inaonekana kuna mkono mkubwa wenye nguvu nyingi nyuma ya wale magaidi, siku zinavyozidi kwenda wanazidi kujiimarisha kwa zana za kivita, idadi ya wapiganaji, inteligensia pamoja na eneo wanalodhibiti.
Vilevile, kutokana na matokeo ya uchaguzi huu, ni wazi kuwa kuna watu wengi watakua wanahisi kudhulumiwa haki yao na kuonewa, watu hawa hususani vijana ni perfect target kuwa recruited na vikundi vya kigaidi. Hii ni moja ya madhara mabaya zaidi ya kuminya haki. Watanzania hawa wema kabisa wanaweza kuishia mikononi mwa hao magaidi na kutumiwa kuiumiza nchi yao. Ikumbukwe tayari kuna taarifa za kuwepo watanzania wengi tu kwenye vikundi vya kigaidi kule Somalia na sasa Msumbiji.
Juu ya hayo yote, kutakua na vikwazo vya kiuchumi. Ikumbukwe vikwazo hivi huwa haiwekewi nchi moja kwa moja bali ni viongozi pamoja na makampuni ya kibiashara yenye uhusiano wa karibu na viongozi au serikali. Hii hua inatosha kabisa kuvuruga uchumi wa nchi na kupafanya hapa nchini kuwa jehanamu ndogo.
Sasa haya yakitokea, kila mtu atateseka na hata wale waliomsaidia JPM kuiba uchaguzi na kuminya haki watajuuta, kwasababu nchi ikiharibika inaharibika kwa kila mtu.
Pia, kwakua JPM, amekwisha dhibiti bunge, mahakama, serikali na CCM, anao uwezo wa kufanya chochote kile, hata akitaka kujiongezea muda wa kukaa madarakani basi atafanya hivyo na hakutakua na wa kupinga.
Wewe na mtoa mada mna mawazo kama yangu. Outcome yote ya huu ubakaji mmeielezea vema na ndo kitachotokeaUhalisia ni kwamba sanctions ziko kwenye pipeline-No but or if.Kijani wameingizwa kingi na Lissu wazimawazima na pasipo kujua wanajiona wameshinda uchaguzi ilihali wameshindwa kwa kukosa international credibility,they are not smart at all.Kenyatta was smart enough kumuita Odinga ili kuiondoa nchi kwenye mkwamo wa kimataifa na alifanikiwa pakubwa mno.Kiburi cha kutokutaka kukaa na Lissu pamoja na upinzani ndo dearth penalty yenyewe kijani inajitengenezea.Marekani hawezi kukubali kilichofanyika nchini kipite bila adhabu kali sababu kitafanya Africa kuingia kwenye kukandamiza demokrasia na kuzalisha machafuko ikiwemo kupitia kuibuka kwa resistancegroups ambayo itahatarisha maslahi ya dunia nzima ikiwemo nchi yao.Mwenye akili timamu ni lazima aweke ushabiki pembeni na kuona hili likija.Uchaguzi huu umevuka hata namna chaguzi za Russia zinavyoendeshwa kw hila,na China anavyoingilia kuiponda Marekani kwa kuongelea mambo ya demokrasia nchini ndo jinsi anavyoipalia nchi makali sababu US anaweza interpret China anaharibu national security yake kwa kuwekeza kuua demokrasia Africa kupitia nchi yetu. Democracy is US national security.
Mkuu, waweza kuwa na hoja kwa kiwango fulani , lakini mtazamo wangu ni tofauti kidogo.Ni wazi kuwa uchaguzi wa mwaka huu umegubikwa na udanganyifu mkubwa kuliko uchaguzi mwingine wowote tuliowahi kuufanya. Ushahidi ni mwingi mno hadi imekua kama kichekesho hivi.
Sasa, kuna scenario mbili hapa za kujaribu kuelezea kwanini hali imekua hivyo, na kila moja ina consequences zake tofauti.
Scenerio 1. Haya ni matokeo ya Rais JPM, amefanikiwa kuvunja nguvu za vyombo vyote vya dola na mihimili yake, sasa kila mtu anajaribu kumfurahisha boss kwa kutekeleza maagizo wanayopewa kama yalivyo.
Scenario 2. Huu ni mpango wa kizalendo wa 'deep state', wenye lengo la kurahisisha mabadiliko ya kikatiba kwa mslahi mapana ya taifa.
********************
Tuanze na scenario ya pili, ndani ya state machinery iko wazi kuwa nchi yetu inahitaji katiba mpya, katiba yetu inahitaji marekebisho makubwa ili kuendana na mfumo wa demokrasia ya vyama vingi pasipo kuhatarisha maslahi ya nchi.
Kwa mfano, muundo wa muungano wetu ni kitendawili kikubwa kwenye hizi siasa sa vyama vingi, ikitokea rais wa Zanzibar na rais wa JMT wanatoka vyama tofauti basi kuna hatari kubwa ya kutokuelewana ndani ya muungano na hata kuhatarisha uhai wa muungano wenyewe.
Kwa kulitambua hitaji hilo, wakati wa awamu ya Mh. Kikwete ulianzishwa mchakato wa kutafuta katiba mpya lakini kutokana na mawazo kinzani ambayo yalikua ni mazuri lakini yanahatarisha uhai wa taifa ilibidi mchakato usitiswe.
Sasa kwa bunge lililochaguliwa la JMT ambalo ni la chama kimoja na linadhibitiwa kirahisi na mwenyekiti wa CCM, na serikali ya Zanzibar chini ya Ndugu Mwinyi pamoja na baraza lake la wawakilishi ambavyo navyo vinadhibitiwa vilivyo na mwenyekiti wa CCM, ni wazi kuwa mchakato unaweza kurudishwa na kupita smoothly.
Kwenye senario hii, JPM hatojiongezea muda, bali ataacha legacy kubwa ya kutuachia katiba mpya yenye tume huru ya uchaguzi, mamlaka yaliyopunguzwa ya rais, demokrasia ya kweli ya vyama vingi na muundo sustainable wa muungano (serikali moja). Pia vyama vya upinzani vitapata nafasi ya kuzaliwa upya.
Kwa senario hii, mabeberu watatuunga mkono, hakutakua na vikwazo vya kiuchumi wala kuharibika kwa mahusiano, after all wao wenyewe ni miongoni mwa wadau walio facilitate muungano wetu. Mwisho wa siku mambo yote yatakwenda vizuri na sote (isipokuwa baadhi ya wazanzibari) tutafurahia nchi yetu.
2025 kutakua na uchaguzi safi ulio huru na wa haki.
****************
Tukirudi kwenye Scenario ya kwanza, hii inatisha kwa kweli, na kama matokeo ya uchaguzi huu yametokana na tamaa tu ya JPM isiyo na malengo yoyote ya kizalendo basi tujiandae kisaikilojia.
Nchi yetu itakwenda kupita katika giza nene ambalo wengi wetu hatujawahi kuliona.
Kwanza, kunauwezekano tukatumia fedha nyingi sana kwenye operations za kijeshi za kujaribu kuwazima wale magaidi wa Cabo Delgado Msumbiji, au walau kuwazuia wasiingie upande wetu, na hatutopata msaada wowote wa maana wa kifedha na kiintelijensia kutoka kwa mabeberu. Na kama unadhani tunaweza kukimbilia kwa Urusi basi nikutaarifu kuwa Msumbiji wameshafanya hivyo, Urusi ilituma hadi mercenaries wake lakini kwa hali inavyoendelea ni wazi kuwa wamegongwa mwamba.
Ukizingatia utajiri mkubwa wa mafuta na gesi kwenye eneo la Cabo Delgado na Mtwara, Inaonekana kuna mkono mkubwa wenye nguvu nyingi nyuma ya wale magaidi, siku zinavyozidi kwenda wanazidi kujiimarisha kwa zana za kivita, idadi ya wapiganaji, inteligensia pamoja na eneo wanalodhibiti.
Vilevile, kutokana na matokeo ya uchaguzi huu, ni wazi kuwa kuna watu wengi watakua wanahisi kudhulumiwa haki yao na kuonewa, watu hawa hususani vijana ni perfect target kuwa recruited na vikundi vya kigaidi. Hii ni moja ya madhara mabaya zaidi ya kuminya haki. Watanzania hawa wema kabisa wanaweza kuishia mikononi mwa hao magaidi na kutumiwa kuiumiza nchi yao. Ikumbukwe tayari kuna taarifa za kuwepo watanzania wengi tu kwenye vikundi vya kigaidi kule Somalia na sasa Msumbiji.
Juu ya hayo yote, kutakua na vikwazo vya kiuchumi. Ikumbukwe vikwazo hivi huwa haiwekewi nchi moja kwa moja bali ni viongozi pamoja na makampuni ya kibiashara yenye uhusiano wa karibu na viongozi au serikali. Hii hua inatosha kabisa kuvuruga uchumi wa nchi na kupafanya hapa nchini kuwa jehanamu ndogo.
Sasa haya yakitokea, kila mtu atateseka na hata wale waliomsaidia JPM kuiba uchaguzi na kuminya haki watajuuta, kwasababu nchi ikiharibika inaharibika kwa kila mtu.
Pia, kwakua JPM, amekwisha dhibiti bunge, mahakama, serikali na CCM, anao uwezo wa kufanya chochote kile, hata akitaka kujiongezea muda wa kukaa madarakani basi atafanya hivyo na hakutakua na wa kupinga.