Uchaguzi 2020 Maono yangu juu ya Tanzania ndani ya miaka mitano ijayo

Uchaguzi 2020 Maono yangu juu ya Tanzania ndani ya miaka mitano ijayo

Hiyo scenerio ya kwanza ndiyo yenyewe, hiyo ya pili ni nchi ya kusadikika, Amini nakwambia jiwe walilolikataa waashi sasa limekuwa jiwe la msingi, naona kuna mtu atakaa madarakani for life, hakuna wa kumdhibiti tena, sio TISS wala JWTZ wala mahakama, na ole wake atakayejaribu kimpinga malaika,atakiona cha mtema kuni, kwanza si mmeoma uchaguzi ulivyofanyika pamoja na kufungiwa social media? Mambo ni magumu giza laja tujiandae kisaikolojia,
 
Uzi huu unatafakarisha sana , Scenario namba moja ni ngumu sana kwenda nayo maana matokeo yake yanaeleweka hata isipokiwa leo au kesho ,matokeo yake ni UASI au vikundi mbalimbali vya kujitenga

Scenario namba 2 , hii naikubali kwa 100%
 
Hata tulupofika hatujafika Buhati mbaya ni mipango ya kuanzia 2014, na 2015 ilikiwa ni utekelezaji wake wa kutawaliwa kidikiteta kwa miaka 10, japo watekelezaji wa CCM hawakujua kama mambo yatakuwa hivi , sasa 2020-2025 kuna Mabadiliko makubwa yatatokea , Mosi KATIBA MPYA ambayo itakuwa iko sawa na matakwa ya deep state

Pili, CCM kwa sasa inatumika tu , ili Deep state wakamilishe mipango ya kutengeneza vizuri nchi ,

Tatu, Vyombo vya Dola vitahitaji kujivua toka CCM na hapo kutatengenezwa chama cha mizania au vilivyopo sasa lakini mamlaka makubwa wanasiasa wataondolewa ili kuepusha vibaraka
 
Baadhi ya maamuzi yanayofanywa kwa maslahi ya taifa yanaweza yasiwafurahishe wote. Pia upinzani huu wa 1995-2020 ndio umeisha rasmi kwa scenario hiyo. 2020 kwenda mbele utazaliwa upinzani mpya ambao utaaminiwa na dola.
Upinzani unaoaminiwa na dola ni upinzani bandia.
 
Hata tulupofika hatujafika Buhati mbaya ni mipango ya kuanzia 2014, na 2015 ilikiwa ni utekelezaji wake wa kutawaliwa kidikiteta kwa miaka 10, japo watekelezaji wa CCM hawakujua kama mambo yatakuwa hivi , sasa 2020-2025 kuna Mabadiliko makubwa yatatokea , Mosi KATIBA MPYA ambayo itakuwa iko sawa na matakwa ya deep state

Pili, CCM kwa sasa inatumika tu , ili Deep state wakamilishe mipango ya kutengeneza vizuri nchi ,

Tatu, Vyombo vya Dola vitahitaji kujivua toka CCM na hapo kutatengenezwa chama cha mizania au vilivyopo sasa lakini mamlaka makubwa wanasiasa wataondolewa ili kuepusha vibaraka
Usiamini 100% hiyo ya 10 years limit.
 
Hata tulupofika hatujafika Buhati mbaya ni mipango ya kuanzia 2014, na 2015 ilikiwa ni utekelezaji wake wa kutawaliwa kidikiteta kwa miaka 10, japo watekelezaji wa CCM hawakujua kama mambo yatakuwa hivi , sasa 2020-2025 kuna Mabadiliko makubwa yatatokea , Mosi KATIBA MPYA ambayo itakuwa iko sawa na matakwa ya deep state

Pili, CCM kwa sasa inatumika tu , ili Deep state wakamilishe mipango ya kutengeneza vizuri nchi ,

Tatu, Vyombo vya Dola vitahitaji kujivua toka CCM na hapo kutatengenezwa chama cha mizania au vilivyopo sasa lakini mamlaka makubwa wanasiasa wataondolewa ili kuepusha vibaraka

Mkuu, vyombo vyote vya dola vipo chini ya Deep State.
 
CCM wametukosea sana kumpa madaraka ya juu kabisa mtu huyu! Anafanya mambo kwa mujibu wa akili yake inavompa na akili yenyewe sasa hapo ndipo kwenye mgogoro wenyewe yaani!
Magu hafanyi mambo kwa akili yake mwenyewe.

Anafuata ilani ya uchaguzi ambayo amekopeshwa.
 
CCM wametukosea sana kumpa madaraka ya juu kabisa mtu huyu! Anafanya mambo kwa mujibu wa akili yake inavompa na akili yenyewe sasa hapo ndipo kwenye mgogoro wenyewe yaani!
CCM haijawahi kuweka tangu 1995 , Marais wanawekwa kwa influences ya Deep states

Kinachofanyika ni utaratibu tu kuonekna jambo limefanyika , Siku Mfumo wakiichoka CCM ndio bye bye lakini ,na uchaguzi wa mwaka huu CCM hawana chao maana wao hawajamuweka Rais
 
Hata tulupofika hatujafika Buhati mbaya ni mipango ya kuanzia 2014, na 2015 ilikiwa ni utekelezaji wake wa kutawaliwa kidikiteta kwa miaka 10, japo watekelezaji wa CCM hawakujua kama mambo yatakuwa hivi , sasa 2020-2025 kuna Mabadiliko makubwa yatatokea , Mosi KATIBA MPYA ambayo itakuwa iko sawa na matakwa ya deep state

Pili, CCM kwa sasa inatumika tu , ili Deep state wakamilishe mipango ya kutengeneza vizuri nchi ,

Tatu, Vyombo vya Dola vitahitaji kujivua toka CCM na hapo kutatengenezwa chama cha mizania au vilivyopo sasa lakini mamlaka makubwa wanasiasa wataondolewa ili kuepusha vibaraka
Yaani ama mnaota, au mmeamua kuja na propaganda kujaribu kuzimua uovu uliofanywa na jiwe. Deep state yenyewe imeshalim amri kwa jiwe mbona!
 
Ni wazi kuwa uchaguzi wa mwaka huu umegubikwa na udanganyifu mkubwa kuliko uchaguzi mwingine wowote tuliowahi kuufanya. Ushahidi ni mwingi mno hadi imekua kama kichekesho hivi.

Sasa, kuna scenario mbili hapa za kujaribu kuelezea kwanini hali imekua hivyo, na kila moja ina consequences zake tofauti.

Scenerio 1. Haya ni matokeo ya Rais JPM, amefanikiwa kuvunja nguvu za vyombo vyote vya dola na mihimili yake, sasa kila mtu anajaribu kumfurahisha boss kwa kutekeleza maagizo wanayopewa kama yalivyo.

Scenario 2. Huu ni mpango wa kizalendo wa 'deep state', wenye lengo la kurahisisha mabadiliko ya kikatiba kwa mslahi mapana ya taifa.

********************

Tuanze na scenario ya pili, ndani ya state machinery iko wazi kuwa nchi yetu inahitaji katiba mpya, katiba yetu inahitaji marekebisho makubwa ili kuendana na mfumo wa demokrasia ya vyama vingi pasipo kuhatarisha maslahi ya nchi.

Kwa mfano, muundo wa muungano wetu ni kitendawili kikubwa kwenye hizi siasa sa vyama vingi, ikitokea rais wa Zanzibar na rais wa JMT wanatoka vyama tofauti basi kuna hatari kubwa ya kutokuelewana ndani ya muungano na hata kuhatarisha uhai wa muungano wenyewe.

Kwa kulitambua hitaji hilo, wakati wa awamu ya Mh. Kikwete ulianzishwa mchakato wa kutafuta katiba mpya lakini kutokana na mawazo kinzani ambayo yalikua ni mazuri lakini yanahatarisha uhai wa taifa ilibidi mchakato usitiswe.

Sasa kwa bunge lililochaguliwa la JMT ambalo ni la chama kimoja na linadhibitiwa kirahisi na mwenyekiti wa CCM, na serikali ya Zanzibar chini ya Ndugu Mwinyi pamoja na baraza lake la wawakilishi ambavyo navyo vinadhibitiwa vilivyo na mwenyekiti wa CCM, ni wazi kuwa mchakato unaweza kurudishwa na kupita smoothly.

Kwenye senario hii, JPM hatojiongezea muda, bali ataacha legacy kubwa ya kutuachia katiba mpya yenye tume huru ya uchaguzi, mamlaka yaliyopunguzwa ya rais, demokrasia ya kweli ya vyama vingi na muundo sustainable wa muungano (serikali moja). Pia vyama vya upinzani vitapata nafasi ya kuzaliwa upya.

Kwa senario hii, mabeberu watatuunga mkono, hakutakua na vikwazo vya kiuchumi wala kuharibika kwa mahusiano, after all wao wenyewe ni miongoni mwa wadau walio facilitate muungano wetu. Mwisho wa siku mambo yote yatakwenda vizuri na sote (isipokuwa baadhi ya wazanzibari) tutafurahia nchi yetu.

2025 kutakua na uchaguzi safi ulio huru na wa haki.
****************

Tukirudi kwenye Scenario ya kwanza, hii inatisha kwa kweli, na kama matokeo ya uchaguzi huu yametokana na tamaa tu ya JPM isiyo na malengo yoyote ya kizalendo basi tujiandae kisaikilojia.

Nchi yetu itakwenda kupita katika giza nene ambalo wengi wetu hatujawahi kuliona.

Kwanza, kunauwezekano tukatumia fedha nyingi sana kwenye operations za kijeshi za kujaribu kuwazima wale magaidi wa Cabo Delgado Msumbiji, au walau kuwazuia wasiingie upande wetu, na hatutopata msaada wowote wa maana wa kifedha na kiintelijensia kutoka kwa mabeberu. Na kama unadhani tunaweza kukimbilia kwa Urusi basi nikutaarifu kuwa Msumbiji wameshafanya hivyo, Urusi ilituma hadi mercenaries wake lakini kwa hali inavyoendelea ni wazi kuwa wamegongwa mwamba.

Ukizingatia utajiri mkubwa wa mafuta na gesi kwenye eneo la Cabo Delgado na Mtwara, Inaonekana kuna mkono mkubwa wenye nguvu nyingi nyuma ya wale magaidi, siku zinavyozidi kwenda wanazidi kujiimarisha kwa zana za kivita, idadi ya wapiganaji, inteligensia pamoja na eneo wanalodhibiti.

Vilevile, kutokana na matokeo ya uchaguzi huu, ni wazi kuwa kuna watu wengi watakua wanahisi kudhulumiwa haki yao na kuonewa, watu hawa hususani vijana ni perfect target kuwa recruited na vikundi vya kigaidi. Hii ni moja ya madhara mabaya zaidi ya kuminya haki. Watanzania hawa wema kabisa wanaweza kuishia mikononi mwa hao magaidi na kutumiwa kuiumiza nchi yao. Ikumbukwe tayari kuna taarifa za kuwepo watanzania wengi tu kwenye vikundi vya kigaidi kule Somalia na sasa Msumbiji.

Juu ya hayo yote, kutakua na vikwazo vya kiuchumi. Ikumbukwe vikwazo hivi huwa haiwekewi nchi moja kwa moja bali ni viongozi pamoja na makampuni ya kibiashara yenye uhusiano wa karibu na viongozi au serikali. Hii hua inatosha kabisa kuvuruga uchumi wa nchi na kupafanya hapa nchini kuwa jehanamu ndogo.

Sasa haya yakitokea, kila mtu atateseka na hata wale waliomsaidia JPM kuiba uchaguzi na kuminya haki watajuuta, kwasababu nchi ikiharibika inaharibika kwa kila mtu.

Pia, kwakua JPM, amekwisha dhibiti bunge, mahakama, serikali na CCM, anao uwezo wa kufanya chochote kile, hata akitaka kujiongezea muda wa kukaa madarakani basi atafanya hivyo na hakutakua na wa kupinga.
Sasa tushike lipi bwana mchambuzi?
 
CCM haijawahi kuweka tangu 1995 , Marais wanawekwa kwa influences ya Deep states

Kinachofanyika ni utaratibu tu kuonekna jambo limefanyika , Siku Mfumo wakiichoka CCM ndio bye bye lakini ,na uchaguzi wa mwaka huu CCM hawana chao maana wao hawajamuweka Rais
CCM wamejulishwa kuwa JPM anaendelea na mipango yake.

Kama wakumbuka uzuri JK na hayati BWM walikuwa hawaeshi kwenda mjengoni kujaribu kupooza lakini DS wakawa wanakumbusha umuhimu wa kuwa focused na ajenda zao.
 
Hili sio sahihi, na wewe pia unajuwa ukweli ni upi.
Off course anaweza kuwa na idea zake kama zile za alipokuwa waziri wa ujenzi lakini asilimia kubwa ya maamuzi yake anafuata mwongozo pia.
 
Back
Top Bottom