Uchaguzi 2020 Maono yangu juu ya Tanzania ndani ya miaka mitano ijayo

CCM wamejulishwa kuwa JPM anaendelea na mipango yake.

Kama wakumbuka uzuri JK na hayati BWM walikuwa hawaeshi kwenda mjengoni kujaribu kupooza lakini DS wakawa wanakumbusha umuhimu wa kuwa focused na ajenda zao.
Umeandika hisia zako tu sidhani kama una uhakika.
 
Daaa.yn.nimeisoma.marambili.hadimachozi.yananitirirka.kwakweli.maskini.nchiyangu.hiiyooooooo.mpaka.rwandwaaaaaaaa
 
Umeona mbali mkuu
 
Kuhusu vikwazo, Robert Amsterdam ameandia hivi kupitia twitter akimjibu kamanda wa operation wa Polisi bwana Liberatus:

Libertus- here is a warning for you. There are millions of voters who have been defrauded by a Party that has absolutely no legitimacy. Conduct yourself peacefully or international law will follow you! Sanctions are coming!
 
Mkuu kwani wazanzibari wamewahi kuridhia muungano?

Kama harumu moja imewahi kuhalalishwa huko nyuma basi ujue haitokuwa nongwa kwa hao watu kuhalalisha haramu nyingine.

BTW, ni kweli serikali moja sio haki kwa wazanzibari. Lakini CCM wakiamua iwe hivyo sidhani kama kuna kizingiti chochote mbele yao.
 
Off course anaweza kuwa na idea zake kama zile za alipokuwa waziri wa ujenzi lakini asilimia kubwa ya maamuzi yake anafuata mwongozo pia.
JPM kasha vuruga kila utaratibu wa nchi hi haya maneno ya deep state ya mebaki kama" political science theories" kuua kwa upizani kiujinga katika ulimwengu wa kimataifa kwasasa ni 'political suicide' kwa Tz hamna mjumbe wa deep state wakukishauri hivo, huyu JPM akuandaliwa na CCM kabla ya kupewa madaraka, anafanya political blunders nyingi. Sio mfasi wa political philosophy yoyote,.......Hata Urusi licha kua political giant wanaheshimu vyama vya upizani na wanavihitaji viwepo.
 
Nimekuelewa sana mkuu.
 
Propaganda za kuzimua uovu! Hakuna mtakaemdanganya dunia ya leo. Simple ni bora mkubali tu mmeiba uchaguzi na hili halikubaliki na kuna price yake. Msituleteee story za alinacha hapa! Hakuna cha deep satate wala mavi ya deep state hapa!
Kilicho wazi ni kwamba mmefanya uharamia mkubwa na kutudhulumu haki zetu za msingi. Na kwa hili halisameheki!
 
Wewe mwenyewe hoja zako zinakinzana.


[emoji116] [emoji116] [emoji116]







Kimsingi wananchi hatujui tunapopelekwa.
 
Hongera mkuu,umechambua vizuri sana ingawa yote kwa yote senario ya kwanza ndio mpango mzima wa huyu jamaa ambae kaacha legacy ambayo hata watangulizi wake hawakuwahi kuifanya roho ya ubaguzi iliyokithiri.
 
Hizi habari za deep state ni hadithi za alinacha , ni hadithi za vijiweni, hiyo deep state inafanya kazi kwenye nchi za wenzetu huuko kama UK, USA, israel n.k ndiyo maana umaona kiongozi akivurunda anawekwa kitimoto.

Kwa hapa tz hamna kitu kama hicho eti deep state, Magu kaonyesha kwamba yeye ni mwamba kuliko hao mnaowaita deep state et al.. na anauwezo wa kuwafanya chochote na wakabaki kumsifia na kumwimbia mapambio. Yeye ndiye alpha na omega kwa hapa Tz kwa sasa.

Tuache kuleta propaganda za kusadikika eti deep state. Ingekua hivyo wangeshazuia kupotea kwa 1.5 tr, uchotwaji wa mapesa hazina bila baraka za bunge, kufukuza CAG Kinyume na sheria, kutumia pesa za umma katika white elephant project, na kama kweli kungekua na kitu hicho kiitwacho deep state basi nchi yetu ingekua mbali sana kimaendeleo.
 
Nope. Kila kitu kipo under careful control, take it or frame it! Kinafanyika kwa mipango makini. Unatakiwa uwe mtulivu sana (na pengine uvae uzalendo usio na mashaka) ili uweze kumwelewa vyema huyu Kiongozi mahiri wa Afrika. Sijawahi kamwe kuwa na mashaka na hatua zake madhubuti kwa ajili ya ustawi wetu kama raia na maslahi mapana ya taifa.
 
Well-said. The only critical way to keep Africans down in terms of sustainable growth & development is to keep their leaders dependant on them---regarding the philosophy of leadership and approach to governance. If the leaders are truly 'initiated,' almost everything is liberated and falls into its proper course.
 
LOOoo, mkuu, ulikuwa unatiririka vizuri sana, hadi ulipofika hapa ukaingiliwa na jini nadhani!

Inawezekana uliyoweka huko chini ni mazuri, lakini nimekosa nguvu za kuendelea hadi huko kutokana na aya hiyo hapo juu!
 
Kama deep state Tz ingekuepo na kufanya kazi vizuri JPM asinge pita kwenye venting process nakua Raisi kwasababu sio mwana siasa mzuri, utaweka je Raisi asio jua kuongea kingereza vizuri, ateweza je ktuakirisha uko nje bila kujua kingereza vizuri.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…