Maono yangu kuhusu ushoga na jinsi ya kukomesha

Maono yangu kuhusu ushoga na jinsi ya kukomesha

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Duniani SIRI hakuna tena, kila kitu kipo wazi hata na uliyemtumia meseji kapiga screen shot siku ukijisahau akuumbue.

Usiri ulikuwa unaepusha vitu vingi sana,(Walikuwa wanaumia wacache kuliko sasa hivi ukiweka SIRI wazi ndo inaumiza zaidi kuliko ungetoa habari kwa SIRI au ukaacha).

sasa hivi tunaona kila kitu ukikiweka wazi ndo unakuwa mtu mwema kumbe kuna faida ya baadhi ya mambo kuyaacha kama yalivo ili kuokoa group la watu. Nimegundua kuna watu wanashawishika kujaribu mambo baada ya kusikia jambo fulani nao wanatamani kuthibitisha.

unaweza kuona unatoa taarifa muhimu kwenye jamii kuponya kumbe unaenda kuvuruga na kuleta sintofahamu, kuna binadamu sio wepesi kupokea mambo kwahiyo inawachukua muda kiakili kutulia na kuzoea ,kuna watu mpaka sasa hivi hawajui (Ushoga nini /mapenzi ya jinsia moja yanakuwaje.

Nilikuwa kwenye moja ya group la WhatsApp mdada akawa anahoji sasa mwanaume na mwanaume wakioana wanazaa au inakuwaje?

Sikucheka ila nilisema afadhari, ila huyu jinsi ya kumpelekea elimu ni lahisi na angekuwa mtoto wa kiume angependa kujua au kujaribu. Uzuri wa mwanamke kuna vitu uwaga afuatilii na aviweki akilini ila mtoto wa kiume utataka hajue kulikoni.

Lengo la uzi huu nikukumbusha mambo haya tunayoyaona kwa leo sio kwamba ni mageni sema tu yameongezeka na pia yamekuja kasi kwenye nchi yetu kwakuwa haya mambo tumeiga nje. Na kitu kingine tumejikeep bize na mambo ya utafutaji tumesahau viumbe tulivonavyo na tunatakiwa kuvipa malezi mazuri ili kesho iwe njema kwao.

Maono yangu
• Wanawake wanaenda kuiongoza Dunia.
Hii imekaaje... iko hivi tuna vijana amabao wanalelewa na vijimama,kijana anayelelewa na mwanamke nae ni mwanamke aina ya kiume maana hana mahamuzi yeyote kwa mwanamke. Mwisho wa siku wanawake wanazidi kuongezeka mix wanaume wanaolelewa/kuolewa.

• Mashoga
Ushoga ni janga jingine ambalo wanawake wanalipa kipaumbele maana wanawake wengi wako na ukaribu sana na mashoga, mzazi wakike (single mother) hawana malezi mbali na kumwaribu mtoto wa kiume. Mtoto wa kiume inabidi alelewe kijeshi sio lele mama.

• Wakataa Ndoa
Wakataa ndoa ni miongoni mwavijana (mashoga) unapokataa ndoa unakengeuka maandiko kwa pande zote hata kama ukasema wewe ufuati maandiko mbona wapagani wanaoa we nani usiyekubali kuoa. Lete hoja inayokufanya husioe... mwisho vijana watajikita kwenye mapenzi ya jinsia moja.

Sababu gani mtu anatamani kufanywa au kufanya
Hapa nizungumzie anayefanya. (LHAHANA) huyu anayeenda kinyume na maumbile hana tofauti na mchawi mla nyama ya mtu.

HITIMISHO
Tujaribu kuwa na hofu ya M. Mungu kuna watu wanazama kwenye janga la ushoga kwa tamaa za mali(Utajiri) imani za kishirikina.

Asante naitwa Hemedyjrjunior.
 
Nadhani ni kuelimisha tu wanao Ili wajue ubaya wa jambo Hilo. Ila kuzuia au kukomesha kwa nchi zetu maskini ni ngumu, maana kwenye simu wataona, kwenye premier league wataona, series zote Zina scene hizo n.k.

Na hata ukisema uweke sheria kali utaishia kuwekewa vikwazo vya kiuchumi maana huko nje haki sawa kwa wote whether mwanamke, mtoto, shoga, mlemavu so ni ngumu kubagua kundi Moja na kuliadhibu.

So tuwe wawazi kwa watoto tokea mapema ila hatuwezi zuia lolote maana utandawazi unaleta Kila taarifa kwa watoto.
 
ianzie nyumbani, ianzie kwenye familia, ukiwakomboa wanao na familia yako kwenye hizi laana, basi umekomboa kizazi chako maana watarithishana tabia njema na maadili uliyowalea. pili viongozi wa dini waibebe hii ajenda, wakemee kila wanapopata nafasi ili ku raise awareness na pia kuiua ile roho ya ushoga na usagaji inayotaka kuchipua taratibu. tatu ni serikali yetu iwe na nia ya dhati ya kukataa hizi tabia, sheria ziseme waziwazi na ziainishe adhabu, ikiwa ni pamoja na utekelezaji. Tatizo hata sheria haziko serious, mashoga maarufu wapo na wana followers wengi, wengine ni presenters, ila serikali ina waogopa. KIZAZI kijacho kiko very exposed kwenye hii cancer ya mapenz ya jinsia moja, ni huzuni kwa tanzania itavyokuwa in next 30 years.
 
Video zinasambaa sana kwenye magroup ya whstpp na teregram why wasifungie mitandao hii kwa Tanzania.
Serikali imeshafungia websites zote za ngono tatizo ni kwamba teknolojia ni pana wengine wanatumia njia kama VPN kufikia hizi websites,pia kwa serikali inatakiwa kufanya jitihada zaidi kudhibiti hawa tourist na public figures
 
Serikali imeshafungia websites zote za ngono tatizo ni kwamba teknolojia ni pana wengine wanatumia njia kama VPN kufikia hizi websites,pia kwa serikali inatakiwa kufanya jitihada zaidi kudhibiti hawa tourist na public figures
Muhimu sana . But me naona jamii ndo inayosababisha kila kitu japo mambo yote tunayapa serikali. Maana jamii ikibadilika kila kitu kitakaa sawa. Sisi wenyewe tubadilike. Mzazi unakuta anamiliki simu afu kwenye simu yake kuna video za pono kweli hapa tutapona.
 
Muhimu sana . But me naona jamii ndo inayosababisha kila kitu japo mambo yote tunayapa serikali. Maana jamii ikibadilika kila kitu kitakaa sawa. Sisi wenyewe tubadilike. Mzazi unakuta anamiliki simu afu kwenye simu yake kuna video za pono kweli hapa tutapona.
Jamii haiwezi kubadilika ila mtu mwenyewe anaamua kubadilika
 
haizuiliki tena hiyo hali, kila mtu alinde chake... kwa malezi bora na kumuomba Mungu aepushe kwenye uzao wake.
 
Jana niliweka Uzi humu kuhusu namna bora ya kuwashughulikia mashoga pasipo kuleta taharuki!

Nilitahadhalisha pia endapo hatutakuwa wastaarabu kwenye kushughulikia ushoga tutaharibu mambo mengi sana!

Timua timua wafanyakazi mashoga kwenye vyombo vya habari pia haifai! Tuwashughulikie kimya kimya pasipo kuleta taharuki!

Zipo aina mbalimbali za mashoga!
  • Wanaume wanaoingiliwa na wanaume wenzao hawa ni aina moja
  • Wanawake wanaoingiliwa na wanaume kinyume hawa ni aina ya pili
  • Wanawake kwa wanawake ni aina ya tatu
Hivyo tatizo siyo dogo kama wengi wanavyodhani!
Tukishughulika na ushoga kwa kupitia wanahabari tutaharibu!

Itatokea siku kiongozi mtu ategewe dawa za kulevya ili mradi tu achafuliwe ili afukuzwe kazi!

Dawa ya kumaliza ushoga ni kuwashughulikia kimya kimya

Kwanza niwaambie tu mashoga wengi hupenda kujinyonga wakibainika!

Naimani hata hao tunaowasikia huko Zanzibar watajinyonga wenyewe ni suala la muda tu! Vuteni subira
 
Ungeweka na mifano nchi gani waliwahi kuwanyonga na tatizo likaisha...
Why usiseme tuache nunua bidhaa zao...mfano iPhone??
 
Dahhhh....
This kind of threads is too much...🤨
Ebu watu waanze kuchukua hatua kutoka kwenye ngazi ya familia please, maana nyuzi zimekua nyingi hadi inakua sasa ndio kuipromote hii tabia
 
Duniani SIRI hakuna tena, kila kitu kipo wazi hata na uliyemtumia meseji kapiga screen shot siku ukijisahau akuumbue.

Usiri ulikuwa unaepusha vitu vingi sana,(Walikuwa wanaumia wacache kuliko sasa hivi ukiweka SIRI wazi ndo inaumiza zaidi kuliko ungetoa habari kwa SIRI au ukaacha).

sasa hivi tunaona kila kitu ukikiweka wazi ndo unakuwa mtu mwema kumbe kuna faida ya baadhi ya mambo kuyaacha kama yalivo ili kuokoa group la watu. Nimegundua kuna watu wanashawishika kujaribu mambo baada ya kusikia jambo fulani nao wanatamani kuthibitisha.

unaweza kuona unatoa taarifa muhimu kwenye jamii kuponya kumbe unaenda kuvuruga na kuleta sintofahamu, kuna binadamu sio wepesi kupokea mambo kwahiyo inawachukua muda kiakili kutulia na kuzoea ,kuna watu mpaka sasa hivi hawajui (Ushoga nini /mapenzi ya jinsia moja yanakuwaje.

Nilikuwa kwenye moja ya group la WhatsApp mdada akawa anahoji sasa mwanaume na mwanaume wakioana wanazaa au inakuwaje?

Sikucheka ila nilisema afadhari, ila huyu jinsi ya kumpelekea elimu ni lahisi na angekuwa mtoto wa kiume angependa kujua au kujaribu. Uzuri wa mwanamke kuna vitu uwaga afuatilii na aviweki akilini ila mtoto wa kiume utataka hajue kulikoni.

Lengo la uzi huu nikukumbusha mambo haya tunayoyaona kwa leo sio kwamba ni mageni sema tu yameongezeka na pia yamekuja kasi kwenye nchi yetu kwakuwa haya mambo tumeiga nje. Na kitu kingine tumejikeep bize na mambo ya utafutaji tumesahau viumbe tulivonavyo na tunatakiwa kuvipa malezi mazuri ili kesho iwe njema kwao.

Maono yangu
• Wanawake wanaenda kuiongoza Dunia.
Hii imekaaje... iko hivi tuna vijana amabao wanalelewa na vijimama,kijana anayelelewa na mwanamke nae ni mwanamke aina ya kiume maana hana mahamuzi yeyote kwa mwanamke. Mwisho wa siku wanawake wanazidi kuongezeka mix wanaume wanaolelewa/kuolewa.

• Mashoga
Ushoga ni janga jingine ambalo wanawake wanalipa kipaumbele maana wanawake wengi wako na ukaribu sana na mashoga, mzazi wakike (single mother) hawana malezi mbali na kumwaribu mtoto wa kiume. Mtoto wa kiume inabidi alelewe kijeshi sio lele mama.

• Wakataa Ndoa
Wakataa ndoa ni miongoni mwavijana (mashoga) unapokataa ndoa unakengeuka maandiko kwa pande zote hata kama ukasema wewe ufuati maandiko mbona wapagani wanaoa we nani usiyekubali kuoa. Lete hoja inayokufanya husioe... mwisho vijana watajikita kwenye mapenzi ya jinsia moja.

Sababu gani mtu anatamani kufanywa au kufanya
Hapa nizungumzie anayefanya. (LHAHANA) huyu anayeenda kinyume na maumbile hana tofauti na mchawi mla nyama ya mtu.

HITIMISHO
Tujaribu kuwa na hofu ya M. Mungu kuna watu wanazama kwenye janga la ushoga kwa tamaa za mali(Utajiri) imani za kishirikina.

Asante naitwa Hemedyjrjunior.
shoga aache kwa kumuogopa mungu !!!! we we [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
• Wakataa Ndoa
Wakataa ndoa ni miongoni mwavijana (mashoga) unapokataa ndoa unakengeuka maandiko kwa pande zote hata kama ukasema wewe ufuati maandiko mbona wapagani wanaoa we nani usiyekubali kuoa. Lete hoja inayokufanya husioe... mwisho vijana watajikita kwenye mapenzi ya jinsia moja.

Sababu gani mtu anatamani kufanywa au kufanya
Hapa nizungumzie anayefanya. (LHAHANA) huyu anayeenda kinyume na maumbile hana tofauti na mchawi mla nyama ya mtu.
Hawa ni machoko kabisa
 
Back
Top Bottom