Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba yafana sana. Kwa mara ya kwanza wafanyabiashara Wahindi wengi wa Tanzania wahudhuria, wanunua sana

Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba yafana sana. Kwa mara ya kwanza wafanyabiashara Wahindi wengi wa Tanzania wahudhuria, wanunua sana

Who is the f****ng dudu ley? Acha kuilaumu serikali kwa umasikini Wako piga kazi uondoe huo umasikini ulionao au unadhani chadema ndio itauondosha umasikini wako? Sonona inakutesa
Mimi naifadhili CDM tofauti na wewe unayetegemea kulipwa kwa propaganda kwa ccm. Sijui hata hivyo kwanini kuna vijana wanaisapoti ccm bado wakati umaskini umejaa. Jaribuni kuwa na akili vijana wa Tz.
 
Tantrades hawana huruma na wananchi.

Packing za nje ya viwanja wamezichukua
Wao Safari hii na kuongeza gharama hadi kufikia Tsh.10,000 kwa gari moja na haijalishi unapaki kwa muda mfupi kiasi gani !

Kazi yao kuwakamua wananchi ili wapate pesa za kulipana posho!

Uongozi wa Tantrades salamu hizi ziwafikie popote mlipo.

Mmekwaza watu sana kwa kukwapua zile packing za nje ya uwanja wa maonesho na kuanza kuweka bei zenu kubwa!

Hamna huruma na wananchi.

Mmekwaza watu wengi sana.

Kwanini msingeacha utaratibu wa zamani kutumika?
Sera yetu ni kukusanya pesa kwa namna yoyote ile.

Asante kwa kutusikiliza.
 
Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba ya miaka yote iliyopita ilikuwa vigumu kuona sura ya Mhindi kwenye hivyo viwanja wa Sabasaba Dar es Salaam mwaka huu wako kibao kila hatua chache unakutana nao familia kibao wazee hadi vikongwe , watoto, wanawake wanaume wakihindi ni wahindi kila kona na wananunua sana bidhaa kwenye mabanda na wamefurahi wanapita mabanda yote bila ubaguzi na kununua na kutaka maelezo.

Nimekuwa mwendaji miaka yote leo ni tofauti na miaka yote. Wahindi wamejipambanua kama sehemu ya Watanzania wengine kutembelea hayo maonyesho.

Zamani ukiona muhindi atakuwa lazima ni muonyesha bidhaa sio mtembelea mabanda safari hii ni tofauti.

Hongereni Wahindi kwa kuonyesha kujali haya maonyesho.
Duh! haya basi, namimi pia nimeona waafrika wengi sana haijawahi kuonekana kitu cha namma hio.
 
Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba ya miaka yote iliyopita ilikuwa vigumu kuona sura ya Mhindi kwenye hivyo viwanja wa Sabasaba Dar es Salaam mwaka huu wako kibao kila hatua chache unakutana nao familia kibao wazee hadi vikongwe , watoto, wanawake wanaume wakihindi ni wahindi kila kona na wananunua sana bidhaa kwenye mabanda na wamefurahi wanapita mabanda yote bila ubaguzi na kununua na kutaka maelezo.

Nimekuwa mwendaji miaka yote leo ni tofauti na miaka yote. Wahindi wamejipambanua kama sehemu ya Watanzania wengine kutembelea hayo maonyesho.

Zamani ukiona muhindi atakuwa lazima ni muonyesha bidhaa sio mtembelea mabanda safari hii ni tofauti.

Hongereni Wahindi kwa kuonyesha kujali haya maonyesho.



Hii ni kauli ya kibaguzi, mbona Wasukuma huuwa hawahudhurii wewe umewaona wahindi tu??.
 
Nawashauri Tantrades wajiongeze kwa kuweka vibao kwenye junctions ndani ya viwanja kwa kuonesha majina ya mabanda yaliyopo kwenye mtaa fulani husika.

Kwa sasa ilivyo ni shaghala baghala Yani mtu ufanye kutumia uzoefu tu kwa wale wenye mabanda ya mahali pa kujirudia lakini kwa wale wanaobadilisha wananchi wanapoteza muda kwa kutafuta mabanda husika yalipo.

Unakuta mtu anaenda mwisho mbali kumbe Banda analotafuta kaliaacha mwanzoni.

Wekeni vibao kwa kila mtaa kwenye ile junctions kubwa ili kumsaidia mteja /mwananchi anapotaka kufika bila kupoteza muda.
 
Mimi naifadhili CDM tofauti na wewe unayetegemea kulipwa kwa propaganda kwa ccm. Sijui hata hivyo kwanini kuna vijana wanaisapoti ccm bado wakati umaskini umejaa. Jaribuni kuwa na akili vijana wa Tz.
Una udumavu wa hoja kudhani kuwa sababu sipo chadema Basi nalipwa, CCM chama kikongwe Tena chama dola Ina shida gani kupigiwa propaganda? Kinachotakiwa kupiga propaganda Ni chadema sababu Ni chama Cha mtaani tu na ndicho chenye shida ya kushika dola,sio CCM kimezaliwa Kiko madarakani,Basi wakulipwa kupiga porojo Mitandaoni Ni wewe.na kuhusu kuifadhili chadema inawezekana sababu kinaishi kwa michango ya wanachama,makato ya wabunge na ruzuku sio CCM inayomiliki vitega uchumi wa mabilioni, usipo tuliza akili na huu ukamanda wako(hata sijui ukamanda wa Nini maana hata jeshi la mgambo hamna)utakufa kwa sonona
 
Una udumavu wa hoja kudhani kuwa sababu sipo chadema Basi nalipwa, CCM chama kikongwe Tena chama dola Ina shida gani kupigiwa propaganda? Kinachotakiwa kupiga propaganda Ni chadema sababu Ni chama Cha mtaani tu na ndicho chenye shida ya kushika dola,sio CCM kimezaliwa Kiko madarakani,Basi wakulipwa kupiga porojo Mitandaoni Ni wewe.na kuhusu kuifadhili chadema inawezekana sababu kinaishi kwa michango ya wanachama,makato ya wabunge na ruzuku sio CCM inayomiliki vitega uchumi wa mabilioni, usipo tuliza akili na huu ukamanda wako(hata sijui ukamanda wa Nini maana hata jeshi la mgambo hamna)utakufa kwa sonona
Sasa kama mpo tangu kale kwanini mnawaogopa sana akina Mbowe na Lissu?
 
Sasa kama mpo tangu kale kwanini mnawaogopa sana akina Mbowe na Lissu?
Wa kuogopwa lisu? Acha masihara hao mbowe na lisu wako Jana na juzi mbowe yupo chadema toka enzi za mkapa lisu nae kajulikana enzi za kikwete waogopwe kwa lipi? Lisu atachuja Kama walivyochuja wengine walioitwa wapinzani Ni mwaka wake wa mwisho huu kusikia mwakani ataenda kulima alizeti singida(Kama atarudi lakini)
 
Nenda katembelee uone mwamko wa wahindi Jana na Leo weekend umekuwa mkubwa mno weekend zao wamehamishia maonyesho ya sabasaba wao na familia zao yaani weekend hii Jana na Leo unakuta vizee vya kihindi vinatembea Hadi na mikongojo vimefurahi mno kwa out vilivyopewa

Wanawake na watoto wa kihindi yaani Kika kona hawafichi furaha Yao .

Sijawahi ona kitu kama hiki miaka yote kwenye maonyesho ya kimataifa ya sabasaba Dar es salaam Raisi Magufuli ana nyota ya kipekee

Kuna umati wa wahindi hasa
Mbona unawataja wahindi sana, kuna nini cha ziada?
 
Wa kuogopwa lisu? Acha masihara hao mbowe na lisu wako Jana na juzi mbowe yupo chadema toka enzi za mkapa lisu nae kajulikana enzi za kikwete waogopwe kwa lipi? Lisu atachuja Kama walivyochuja wengine walioitwa wapinzani Ni mwaka wake wa mwisho huu kusikia mwakani ataenda kulima alizeti singida(Kama atarudi lakini)
Ngoja nikalale lakini endelea kufikiri; watu hawa mmewapiga, mmewavunja miguu. Mmeharibu mali zao, wamelazwa haspitali, mmewaziba midomo, dola mnayo mkononi, lakini mbona hamjiamini kabisa linapokuja suala la CDM?
 
Ngoja nikalale lakini endelea kufikiri; watu hawa mmewapiga, mmewavunja miguu. Mmeharibu mali zao, wamelazwa haspitali, mmewaziba midomo, dola mnayo mkononi, lakini mbona hamjiamini kabisa linapokuja suala la CDM?
Bora ukalale
 
Hivi zama hizi bado kuna watu wanaenda kwenye maonyesho ya saba saba?
Wanaenda kufanya nini?

Hizo vitu ni zilipendwa, kama wewe ni mshamba au una muda wa kuzurura ovyo basi huenda sabasaba ikakuhusu.
 
Mleta maada,atakuwa ana matatizo,eiza ameshawahi kufanya kazi kwa wahindi,
 
Nenda katembelee uone mwamko wa wahindi Jana na Leo weekend umekuwa mkubwa mno weekend zao wamehamishia maonyesho ya sabasaba wao na familia zao yaani weekend hii Jana na Leo unakuta vizee vya kihindi vinatembea Hadi na mikongojo vimefurahi mno kwa out vilivyopewa

Wanawake na watoto wa kihindi yaani Kika kona hawafichi furaha Yao .

Sijawahi ona kitu kama hiki miaka yote kwenye maonyesho ya kimataifa ya sabasaba Dar es salaam Raisi Magufuli ana nyota ya kipekee

Kuna umati wa wahindi hasa
Wahindi wakiwa wengi ndio kufana kwa maonesho au watu waendao kwenye maonesho wakiwa wengi na kununua bidhaa ndio mafanikio...
Ubaguzi wa kikabila na kidini utadumishwa hadi lini na fisiemu?
 
Kwa hiyo maonesho ya 77 yamefaana msimu huu kwa sababu ya wingi wa wahindi?! Hivi hii mentality ya kuabudu watu weupe sijui itakoma lini?!
Ni utumwa wa ubaguzi wa kikabila uliojengwa kitambo na umewafanya akiliccm wengi kuwa na akili mgando!! Kwao Masanja akinunua mashinr ya milioni tano hajanunua bado ila Prem Chopra akinunus popcorn za mia tano ndio habari..
Tunahitaji mapinduzi ya kifikra...
 
Back
Top Bottom