Maonyesho ya Ubunifu UDSM yanafikirisha

Ubunifu wetu ni Kama kupiga ramli. Matumizi ya teknolojia yumeyapuuza kabisa.
 
Amkeni amkeni wameanza tena. Maonyesho ya Saba ya Utafiti na Ubunifu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yameanza jana 20th April, 2022 kwa ngazi ya Vitengo (Colleges, Institutes, Directorates, Schools na Library). Yanatarejiwa kumalizika kesho Tarehe 24 April, 2022. Tujongee tukajifunze na kujionea
 
UDSM nacho ni Chuo Kikuu cha uhakika na Intellectuals kwa sasa nchini Tanzania? Kwa sasa nikiona Mtu anasoma UDSM huwa namdharau mno kwani Hadhi ya UDSM iliishia mwaka 2005 tu.
 
Nelson Mandela African Institution of Science and Technology (NM-AIST) ndo wanajielewa zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…